Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

Zitto Kabwe More Than Meets the Eye!

mkuu ebu fafanua vizuri, zito alienda ujerumani mwaka gani? urafiki wa cdm na cdu umeanza mwaka gani? hizo media za mbowe zipo tokea mwaka gani? tumia brain kuleta thread mkuu.
 
Press conference ya kwanza alidanganya. Ya pili hakusema kama ametudanganya.......HAAMINIKI TENA. achilia mbali mabilioni ya USWISI na mara naacha hiki oooo sikitaki kileeee. Heri wewe unakula hata pesa yake as siamini kama unafanya haya bure
 
Anayo siri nzito sana kifuani mwake.

1. Akiwa masomoni ujerumani, ndio alianzisha urafiki na chama cha CDU na chadema ambacho kiliipa chadema ufadhili wa mabilioni ya fedha kuanzisha media zake yaani tv, radio na magazeti. Zitto aliandika very scholary write up, ikawavutia CDU wakatoa mapesa kwa chadema, Matokeo yake fedha hizo mbowe alizitumia kuanzisha free media kama kampuni binafsi ambayo ndio mchapaji wa gazeti la tanzania daima. Zitto alipohoji hali hiyo akaambiwa unatafuta matatizo. Na ndio chanzo kikuu cha ugomvi wake ma mbowe na ndio kilichomsukuma kugombea uenyekiti mwaka 2009.

2. Sabodo kuifadhili chadema ni efforts za write up za zitto.

3. Kustawi kwa chadema kanda ya ziwa ni ushawishi na ukubalikaji wa zitto maeneo hayo.

sasa dogo amenyamaza, mnamuona mjinga. Ole wenu siku akifunguka..

Hivi CDU ya Ujerumani wana TV na magazeti Yao? Je Republican na Democrats za Marekani zina TV na Magazeti Yao? Pia conservative na Labour Party vya Uingereza zina vyombo hivyo?
 
Acha kupoteza mda wako kwa unoko tu,kwai hao wote unao wasema wanajua kinachoendelea cdm na si mpaka zitto aseme hao cdu walishakuwa marafiki na cdm hata kabla ya zkk kuijua hiyo ujerumani........acha upotoshaji wewe ni mfa maji tu
Ole wenu siku dogo akifunguka
 
Hivi CDU ya Ujerumani wana TV na magazeti Yao? Je Republican na Democrats za Marekani zina TV na Magazeti Yao? Pia conservative na Labour Party vya Uingereza zina vyombo hivyo?
Mada inazungumzia pesa alizoomba zitto kuisaidia chadema kuanzisha media zake
 
Anayo siri nzito sana kifuani mwake.

1. Akiwa masomoni ujerumani, ndio alianzisha urafiki na chama cha CDU na chadema ambacho kiliipa chadema ufadhili wa mabilioni ya fedha kuanzisha media zake yaani tv, radio na magazeti. Zitto aliandika very scholary write up, ikawavutia CDU wakatoa mapesa kwa chadema, Matokeo yake fedha hizo mbowe alizitumia kuanzisha free media kama kampuni binafsi ambayo ndio mchapaji wa gazeti la tanzania daima. Zitto alipohoji hali hiyo akaambiwa unatafuta matatizo. Na ndio chanzo kikuu cha ugomvi wake ma mbowe na ndio kilichomsukuma kugombea uenyekiti mwaka 2009.

2. Sabodo kuifadhili chadema ni efforts za write up za zitto.

3. Kustawi kwa chadema kanda ya ziwa ni ushawishi na ukubalikaji wa zitto maeneo hayo.

sasa dogo amenyamaza, mnamuona mjinga. Ole wenu siku akifunguka..

Mwanaume ukitumiwa na mwanaume mwenzako ni hatari sana hasa kama mwanaume mwenyewe anajulikana kuwa ni mnafiki. Jaribu kutafuta mwanaume ambaye sio mnafiki akutumie walau utakuwa salama.
 
Nchi yetu inakabiliwa na tatizo kubwa kweli, tatizo la wananchi wake kuugua ugonjwa wa uzushi. Uzushi ni ugonjwa unaolitafuna sasa taifa letu. Na bahati mbaya sana ni kwamba wanaoongoza kwa ugonjwa huu ni vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa, inasikitisha sana.
Na vijana wanaoongoza kwa ugonjwa huu ni wale wanaojiita wafuasi au waungaji mkono wa mbunge wa kigoma kaskazini-Zitto kabwe. Wao kila zuri linaloonekana Chadema eti limeletwa au kufanywa na zitto, kwa watu hawa zitto ndiyo chadema na chadema ni zitto, kwamba zitto akiondoka ni mwisho wa uhai wa chadema.
Sikiliza uzushi wao, eti mahusiano ya CDU/CSU na Chadema yamewezeshwa na zitto, na eti zitto aliwashawishi wajermani hao kufadhili chadema ikiwemo kuanzisha vyombo vya habari vya chama, na kwamba hela walizotoa ili kuanzisha vyombo hivyo mbowe aliziiba na kuanzisha gazeti lake la Tanzania Daima!
Kwa hakika huu si uzushi tu, bali ni ujinga na ushetani uliopindukia mipaka.Waingereza wanasema bila utafiti huna haki ya kuzungumza. Yaani huyu bwana anaandika upuuzi hapa alimradi tu amfurahishe huyo anayempenda, huu ni uzuzu, upopotenge wa akili, ni ujuha, ni ulimbukeni, ni ukuadi wa kijinga.
Nenda kawaulize waliolianzisha gazeti hilo, Deodatus Balile na Manyerere Jackton ambao kwa sasa ni wamiliki wa gazeti la jamhuri watakuambia nani alitoa hela za kuanzisha Tanzania Daima, hawa wanajua kila kitu, usizushe ujinga tu eti kwasababu hulipii chochote JF.
Halafu kuhusu mahusiano kati Chadema na CDU/CSU hujui chochote, unaropoka tu. Mahusiano hayo yameanzishwa na mbowe, baada ya kuchaguliwa mwenyekiti. kabla ya hapo Chadema kilikuwa karibu na SPD, chama cha kijamaa ambacho Zitto binafsi anakiunga mkono, maana kama hujui zitto ni mjamaa na alitangaza hilo hadharani mwaka 2009 wakati alipoomba kugombea uenyekiti wa chadema, kwahiyo zitto yupo chadema kama boya tu maana hakubaliani na itikadi ya chama ya mlengo wa kati, mlengo unaokubaliana na itikadi ya kibepari, CDU/CSU ni vyama vya kibepari.
Mahusiano na vyama vya kibepari yaliyoanzishwa na Mbowe hayakuishia kwa CDU/CSU pekee, bali yalikwenda mpaka kwa vyama vya Republican cha Marekani, Conservative cha Uingereza, na vyama vingine vya mlengo huo katika nchi za Denmark, Norway, Sweden, na kwingineko.
Halafu kuhusu fedha za Sabodo, huu nao ni uzushi wa kijinga, Sabodo amekuwa akisaidia chadema kwa mapenzi yake na siyo kwa ushawishi wa andiko la mradi, anasaidia harakati za siasa za chadema chini ya mbowe, kama hujui kitu nyamaza maana hiyo nayo ni busara.
Na kuhusu madai kuwa eti chadema inakubalika kanda ya ziwa kwasababu ya zitto huu nao ni ujuha mwingine, mimi ni msukuma kwetu kahama na chama hiki kimekuwa imara suklumaland na miko ya kagera na mara tangu kiloposajiliwa mwaka 1992, na mtu aliyekijenga sana mika ya karibuni ni mbowe hata kama hampendi kusikia jina lake, lakini hamwezi kuzuia ukweli usisemwe, wasukuma siyo washabiki wa mtu, ni washabiki wa hoja, kama ni kushabikia watu tungemshabikia John cheyo mzee wa mapesa, lakini hali siyo hivyo.
Na la mwisho sisi wasukuma siyo wabaguzi na hatuna harufu ya ubaguzi, hivyo msituletee ubaguzi wenu na chuki zenu dhidi ya mbowe na wachaga kwa ujumla. wasukuma ni watu wakarimu na wenye upendo kwa wote, na kama mnataka kutufundisha ubaguzi miaka ijayo tanzania itatawaliwa na wasukuma na mtalazimika kupigana vita ili kutuondoa madarakani kama ilivyofanyika rwanda na Burundi, maana hatutakubali kuruhusu vikabila vidogo vidogo na maskini kututawala, hata huyo zitto hana sifa za kututawala wasukuma, en delezeni ubaguzi mtajuta.

Mimi ni George Maziku, mwandishi wa habari na mchambuzi wa mambo ya siasa.
 
Mwanaume ukitumiwa na mwanaume mwenzako ni hatari sana hasa kama mwanaume mwenyewe anajulikana kuwa ni mnafiki. Jaribu kutafuta mwanaume ambaye sio mnafiki akutumie walau utakuwa salama.
Punguza hasira, haya matusi ndio kaburi la chadema. Jenga hoja, utafukuzwa kazi au kutelekezwa km walivotelekezwa akina deus malya baada ya kumuua wangwe
 
Punguza hasira, haya matusi ndio kaburi la chadema. Jenga hoja, utafukuzwa kazi au kutelekezwa km walivotelekezwa akina deus malya baada ya kumuua wangwe

Mkuu wala usiwe mkali tulia uambiwe ukweli. Mtoto wa kiume kushupaa shingo ili kutetea uongo haifai. Hiyo kazi waachie wanawake tena wenye ndoa za wake wenza.

Au na wewe ndio wale mnaofugwa mjini kama ngedere? Kuna mbinu nyingi za kuishi mjini bila kutegemea mwanaume mwenzio. Fikirisha ubongo wako dogo.
 
Hatuhitaji msaliti ndani ya cdm even if he did wonders, don't care indeed.
 
Anayo siri nzito sana kifuani mwake.

1. Akiwa masomoni ujerumani, ndio alianzisha urafiki na chama cha CDU na chadema ambacho kiliipa chadema ufadhili wa mabilioni ya fedha kuanzisha media zake yaani tv, radio na magazeti. Zitto aliandika very scholary write up, ikawavutia CDU wakatoa mapesa kwa chadema, Matokeo yake fedha hizo mbowe alizitumia kuanzisha free media kama kampuni binafsi ambayo ndio mchapaji wa gazeti la tanzania daima. Zitto alipohoji hali hiyo akaambiwa unatafuta matatizo. Na ndio chanzo kikuu cha ugomvi wake ma mbowe na ndio kilichomsukuma kugombea uenyekiti mwaka 2009.

2. Sabodo kuifadhili chadema ni efforts za write up za zitto.

3. Kustawi kwa chadema kanda ya ziwa ni ushawishi na ukubalikaji wa zitto maeneo hayo.

sasa dogo amenyamaza, mnamuona mjinga. Ole wenu siku akifunguka..

Na wewe siku CDM ikichukua nchi ndo itakua mwisho wako,nyama wewe!
 
Wabunge wote kanda ya ziwa ni effort zake na ushawishi wake including madiwani na wanachama
Hujui hata kudanganya. Ingekuwa hivyo kule Kigoma CDM ingechukua majimbo yote badala yake alifanya usaliti akawapigia kampeni David Kafulila na Moses Machalia wa NCCR Mageuzi. Msaliti Yuda Iskariote huyo.
 
Zitto hana Effort kubwa kanda ya Ziwa yalikuwa ni Maamuzi ya wanakanda ya ziwa mwisho mta sema kamsaidia na Lisu Singida au Msigwa Iringa au Sugu Mbeya,Ukiwa na upeo mdogo wa kufikiri utasema wabunge wa kanda ya ziwa na juhudi zake mie nipo hapa Kigoma iweje aweze Mwanza ashindwe Kasulu,Kibondo,Uvinza,Manyovu na Kigoma mjini apite yeye tu.Huyu anafanya kazi ya ccm hata huku kigoma wameshamshtukia.Unajua kwanini alisema hagombei tena ubunge alisoma nyakati kuwa hakubaliki tena kwake na akigombea leo jimboni kwake nakuhakikishia hapiti tena.Zitto ajirudi vinginevyo naunga mkono chadema wamtoe uanachama,Watu wataondoka na wengine watafukuzwa lakini chadema kama chama kitabaki pale pale ni bora wamfukuze aondoke na wale wanaofuata mtu na sio sera za chama.Ccm wengi waamejidai ni wanachadema na kuleta post za majungu kama Zitto anakubalika kwenu mchukueni na watu wake iacheni chadema na wanachama wake.
 
Mkuu wala usiwe mkali tulia uambiwe ukweli. Mtoto wa kiume kushupaa shingo ili kutetea uongo haifai. Hiyo kazi waachie wanawake tena wenye ndoa za wake wenza.

Au na wewe ndio wale mnaofugwa mjini kama ngedere? Kuna mbinu nyingi za kuishi mjini bila kutegemea mwanaume mwenzio. Fikirisha ubongo wako dogo.

tatizo lenu viroba, mnavinywa ovyo halafu mda wote mnafikiria uzinifu kama slaa wenu alivopora mke wa mtu ndio imekuwa kama laana kwenu
 
Anayo siri nzito sana kifuani mwake.

1. Akiwa masomoni ujerumani, ndio alianzisha urafiki na chama cha CDU na chadema ambacho kiliipa chadema ufadhili wa mabilioni ya fedha kuanzisha media zake yaani tv, radio na magazeti. Zitto aliandika very scholary write up, ikawavutia CDU wakatoa mapesa kwa chadema, Matokeo yake fedha hizo mbowe alizitumia kuanzisha free media kama kampuni binafsi ambayo ndio mchapaji wa gazeti la tanzania daima. Zitto alipohoji hali hiyo akaambiwa unatafuta matatizo. Na ndio chanzo kikuu cha ugomvi wake ma mbowe na ndio kilichomsukuma kugombea uenyekiti mwaka 2009.

2. Sabodo kuifadhili chadema ni efforts za write up za zitto.

3. Kustawi kwa chadema kanda ya ziwa ni ushawishi na ukubalikaji wa zitto maeneo hayo.

sasa dogo amenyamaza, mnamuona mjinga. Ole wenu siku akifunguka..

Mchukueni nyie ccm awasaidie muanzishe TV na chama cha wanunua meno ya tembo China
 
Back
Top Bottom