Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Nchi ya matukio na kila tukio ni kichekesho,wenye nchi wanapiga kazi wapinzani kulala ma kutwa kucha,..Majuzi tulikua na la Saanane sasa limekufa sijui kwsharudi mara Lema sasa kimyaaa kaachwa aendelee kula msoto sijui baada ya hili la njaa litafuata lipi