HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,509
hakyamungu ukubwa jalala hebu fikiria ww ndo raisi ungefanyaje???watu wana mawazo tofauti sana dunia hii kila mtu anawaza lake alafu eti uwaongoze...inahitaji moyo kwelikweli na magufuli anao maaana duuuu ni hatari