Mkuu mmeshamaliza lisuUlisema unakwenda Bungeni kuanzisha kura ya kutokuwa na Imani na Raisi wetu ili umuondoea Madarakani, umefikia wapi? Mara ya mwisho nilikuona Bunge letu likikuhoji, kwa utovu wa nidhamu, ...
Hiyo kura ya kutokuwa na imani namba anazo? Yeye mwenyewe ni mbunge mmoja kwenye chama chake, wenzke wa upinzani huwa wanasema ni ccm B, ccm kwa ccm watamtoaje rais wao mkuu?
Ha ha ha,we jamaa asubuhi asubuhi hata hatujakata hangover ushaanza siasa?.
Au mwenzetu unalipwa kwa hii kazi?,maana wengine huwa tunapost kama njia tu ya kupoteza mda ila wewe sio bure hii ndo kazi yako.
Umemchoka wewe, usiunganishe watu wengine kwenye msimamo wako.Huyu Zitto nae tumeshamchoka sasa
watanzania gani hao unaowazungumzia labda??Watz ndo wanatakiwa watoke majumbani waandamane kumuondoa dikteta uchwara sio kazi ya zitto
Hana jipya yuleee, tunguli zake juzi zimeungua motoAlihutubia jukwaani Dar na kumuonya Raisi wetu tena alisema walikuwa wanamsubiri Spika Ndugai arudi ktk India kwa maana Naibu Spika ni ,,pandikizi" ndo maana namuuliza kwani kimya kingi!