Suala la maandamano ni la kikatiba na Rais Samia aliapa kulinda katiba tena akishika Quran kabisa. Iweje atake kuvunja kiapo chake tena kwa kulishirikisha jeshi waivunje pamoja. Hivi yeye isingekuwa kulinda katiba angekuwa raisi kweli?
Jeshi letu mbona liko tofauti na majeshi mengine duniani. Kwingine jeshi lisingekubali katiba kuvunjwa hata nukta. Jeshi ni wananchi siyo la serikali.
Jeshi lijitafakari na Rais Samia ajitafakari kama anastahili kuwa rais.
Jeshi letu mbona liko tofauti na majeshi mengine duniani. Kwingine jeshi lisingekubali katiba kuvunjwa hata nukta. Jeshi ni wananchi siyo la serikali.
Jeshi lijitafakari na Rais Samia ajitafakari kama anastahili kuwa rais.