Zitto Kabwe anahitaji ulinzi

Zitto Kabwe anahitaji ulinzi

Tayari
IMG_20180422_122538_591.JPG
 
Km ndiyo hivyo basi mungu amlinde kwa hali yoyot
 
Siyo Zitto tu Mkuu hata CAG ajilinde sana. Tayari kuna chuki ya kutisha dhidi yake ndani ya Serikali mpaka Bungeni wakati hana hatia yoyote ile zaidi ya kufanya kazi yake ambayo ni kwa mujibu wa nafasi yake ambayo aliteuliwa na Kikwete. Tangu jiwe liingie madarakani kumekuwepo na msukumo mkubwa kukwamisha kazi ya CAG na hata kumuondoa pia ili kiwekwe kikaragosi cha jiwe.

Taifa linayumba sana na linapitia kipindi kigumu mno tangu tupate uhuru.
Maana yake huu utawala ni fisadi na dhalimu kupata kuwepo toka uhuru.
Tujifiche chini ya mbawa za Muumba ana ulinzi usio kifani. Kamba aliweza kumlinda Musa aliyekuwa na fimbo tu dhidi ya farao aliyekuwa na magari ya vita na wapanda farasi mahiri, tukiamini tuko salama.
.
Isaya 7
9...... Kwamba hamtaki kusadiki, bila shaka hamtathibitika.
 
Zitto angalia Pliers isije ikaingia kwenye suruali yako.
 
Habari wakuu,

Kutokana na hali ya kiusalama hapa nchink kuwa ndogo hasa kwa wapinzani wa mwenye nchi, ikiwemo kupigwa risasi kwa wabunge, utekaji na uepo wa kundi la kiasi lisilojulikana

Ni wazi shahiri mheshimiwa mbunge Zitto kabwe anahitaji ulinzi wa kiwango cha juu, lakini ni nani atapaswa kuwa mlinzi wa Zitto katika nchi hii yenye mapandikizi kila kona?

kwa kazi nzuri, kubwa na nzito anayoifanys mheshiwa Zitto kwa watanzania dhidi ya serikali badhilifu na gandamizi kwa wapinzani, ni bora Zitto atafutiwe ulinzi mapema sana kabla yajamkuta mengine yanayoendelea hapa nchini.

Zitto unahitaji ulinzi, huenda umejipanga na unajilinda lakini hao walinzi wako wamepia mafunzo wapi? Vipi watu wasiojulikana hawawezi pitisha mikono yao kwa hao walinzi

Zitto alindwe hata kwa gharama yoyote!
mmeacha kuamini kuwa ni msaliti?
 
Hata Zitto ni sehemu ya watu wanafki tu ingawa kwa hili la kuichambuwa CAG report amefanyakazi nzuri.

Labda tu kama humjui Zitto ni kwamba yeye ni muislamu, ametoka Kigoma na ameaga kwao, yeyote atakayejaribu kumdhuru basi kwenye ukoo wao hata panya hatosalia.

Kwahiyo nikutowe hofu kuhusu Zitto huyu ana ulinzi wa kisayansi za chini ya bahari.

uhai wa chadema unategemea ACT sikuwahi kudhania zama hizi zitakuja so soon

unaogopa kumeza maneno yako kiwa zitto msaliti unabaki ..lakino, ingawa katika hili....

so sad
 
uhai wa chadema unategemea ACT sikuwahi kudhania zama hizi zitakuja so soon

unaogopa kumeza maneno yako kiwa zitto msaliti unabaki ..lakino, ingawa katika hili....

so sad
ukweli lazima usemwe, weka mbali tofauti zilizowahi tokea huko. Mkulu lazima aambiwe ukweli na nilazima viongozi kama zitto walindwe kutokana na hali tuliyonayo
 
Habari wakuu,

Kutokana na hali ya kiusalama hapa nchink kuwa ndogo hasa kwa wapinzani wa mwenye nchi, ikiwemo kupigwa risasi kwa wabunge, utekaji na uepo wa kundi la kiasi lisilojulikana

Ni wazi shahiri mheshimiwa mbunge Zitto kabwe anahitaji ulinzi wa kiwango cha juu, lakini ni nani atapaswa kuwa mlinzi wa Zitto katika nchi hii yenye mapandikizi kila kona?

kwa kazi nzuri, kubwa na nzito anayoifanys mheshiwa Zitto kwa watanzania dhidi ya serikali badhilifu na gandamizi kwa wapinzani, ni bora Zitto atafutiwe ulinzi mapema sana kabla yajamkuta mengine yanayoendelea hapa nchini.

Zitto unahitaji ulinzi, huenda umejipanga na unajilinda lakini hao walinzi wako wamepia mafunzo wapi? Vipi watu wasiojulikana hawawezi pitisha mikono yao kwa hao walinzi

Zitto alindwe hata kwa gharama yoyote!
Ulinzi wa nini sasa. Amefanya nini, kusema 2.5t haionekani? Tena kwa kunukuu CAG repirt?
Aendelee na maisha yake ajichanganya mango garden kama kawaida kujificha ndio rahisi kuuawa
 
kwani lissu alisema nini na yaliyomkuta ni yapi?
wacha kujitoa ufahamu mkuu
Ulinzi wa nini sasa. Amefanya nini, kusema 2.5t haionekani? Tena kwa kunukuu CAG repirt?
Aendelee na maisha yake ajichanganya mango garden kama kawaida kujificha ndio rahisi kuuawa
 
Zito ajilinde Mwenyewe,kama kuna mtu aliyedhoofisha upinzani nchi hii basi ni Zito,na lazima alipe gharama ya usaliti wake,mpaka awamu hii ya jiwe iishe Zito atakua ashalipa gharama za usaliti aloifanya kipindi cha JK.
Mpizani wa kweli nchi hii ni Zitto hao wengine ni waganga njaa tu.
 
ila Zitto siyo wa kawaida, mzee wa chama kwenye flash anasumbuwa chama chenye members +8m?!
Duh....
 
Zitto kawasaliti Chadema,Zitto kamsaliti Nondo,Zitto ni msaliti mnafiki mzushi muongopeaji,nk.bk
 
zitto hawana cha kumfanya...ana ulinzi locally kutoka kgm....tujikumbushe vifo vya salome mbatia na mkono wa mudhihir
 
Back
Top Bottom