Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,148
- 162,557
Hata Zitto mwenye ame-retweet hii twitter ya Ansbert Ngurumo.
Yakitokea utasamaje?.Huyu ndiyo Great thinkers wa Ufipa..
Kwa hiyo ndiyo kawajibu maaskofu hivyo ?! Zamani haya mambo tukiyasikia nchi za watu, na tuliweza kukemea, lakini leo?!Si tuliambiwa mratibu wa haya mambo ameteuliwa kwenda Tabora?
wewe ni mzalendo?Rudini Tanzania tujue ni wazalendo.
Unataka arudi mumuue ?Rudini Tanzania tujue ni wazalendo.
Nyie ndio mmebakia ni wazalendo ndio maana mnapewa ukumbi wa Bunge kufanya vikao vyenuRudini Tanzania tujue ni wazalendo.
Basi serikali impe ulinzi Zitto!Niliposikia LISSU kashambuliwa akiwa kwenye gari nilishangaa sana - mtu unalipwa zaidi tshs 12M kwa mwezi halafu unatembea na gari linaloruhusu risasi kupenya
Zipo gari nyingi mpya au used tena za bei ndogo ambazo hata ziangukiwe chuma ww unadunda tu afu mnafanya masihala. Nitoe rai kwa waovu kutotumia mwanya huo kuichanganisha serikali kupitia kupanga njama za kipuuzi.
Mimi nimejitolea bure.Basi serikali impe ulinzi Zitto!