James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 9,187
- 15,534
Hahaaa....mkuu umesema hata panya hatosalia.....hahaa...uchunguzi wa vifo vyao vitakuwa na utata assume watu wankutwa wamekufa na panya waliopo darini nao wamekufa...Hata Zitto ni sehemu ya watu wanafki tu ingawa kwa hili la kuichambuwa CAG report amefanyakazi nzuri.
Labda tu kama humjui Zitto ni kwamba yeye ni muislamu, ametoka Kigoma na ameaga kwao, yeyote atakayejaribu kumdhuru basi kwenye ukoo wao hata panya hatosalia.
Kwahiyo nikutowe hofu kuhusu Zitto huyu ana ulinzi wa kisayansi za chini ya bahari.