Zitto Kabwe anahitaji ulinzi

Zitto Kabwe anahitaji ulinzi

KWA MWENDO HUU ZITO ANAKUJA KWA KASI SNA KUIJENGA CHAMA CHAKE YUPO KAMA MALEMA.CHADEMA IMESINZIA SNA TENA KWENYE ISHU NZITO KM HII WAPO KMYA.NAKOSA IMANI NAO
Chadema ni majizi.
 
Hivi yule CAG yuko free au ndio Lubuva style?

Nakumbuka Lowasa na Sumaye wakati wanataka kwenda Bahari beach hotel kujiunga na UKAWA wazee wa suti nyeusi waliwazongazonga kweli ila walikomaa mpaka wazee wa suti nyeusi wakaregea.

Kwa maoni yangu tumuombee zaidi CAG maana huu muziki ni yeye ndio ameweka Cd halafu ametuachia tuucheze.

Sidhani hapa duniani kama kuna mtu ana jeuri ya kumkatalia Rais hadharani swali kama aliloulizwa.

Nimemsikiliza Dr Chegeni jana kwenye kipima joto badala ya kuonesha yeye ni mtu wa kuisimamia serikali lakini ameonesha dhahiri yeye ni dekio la executive.

Watanzania tumeliwa hatuna bunge na huyo CAG repoti ya mwakani ni lazima ataandikiwa na aliye juu.

Hivi Tanzania tumemkosea nini Mungu wa kweli?
Yule nafsini mwake amekataa kuwa ndondocha la magu.
 
Ni kweli.

Ubabe wao wakupoteza wanahoji ukweli unakweta mwisho.
Habari wakuu,

Kutokana na hali ya kiusalama hapa nchink kuwa ndogo hasa kwa wapinzani wa mwenye nchi, ikiwemo kupigwa risasi kwa wabunge, utekaji na uepo wa kundi la kiasi lisilojulikana

Ni wazi shahiri mheshimiwa mbunge Zitto kabwe anahitaji ulinzi wa kiwango cha juu, lakini ni nani atapaswa kuwa mlinzi wa Zitto katika nchi hii yenye mapandikizi kila kona?

kwa kazi nzuri, kubwa na nzito anayoifanys mheshiwa Zitto kwa watanzania dhidi ya serikali badhilifu na gandamizi kwa wapinzani, ni bora Zitto atafutiwe ulinzi mapema sana kabla yajamkuta mengine yanayoendelea hapa nchini.

Zitto unahitaji ulinzi, huenda umejipanga na unajilinda lakini hao walinzi wako wamepia mafunzo wapi? Vipi watu wasiojulikana hawawezi pitisha mikono yao kwa hao walinzi

Zitto alindwe hata kwa gharama yoyote!
 
Habari wakuu,

Kutokana na hali ya kiusalama hapa nchink kuwa ndogo hasa kwa wapinzani wa mwenye nchi, ikiwemo kupigwa risasi kwa wabunge, utekaji na uepo wa kundi la kiasi lisilojulikana

Ni wazi shahiri mheshimiwa mbunge Zitto kabwe anahitaji ulinzi wa kiwango cha juu, lakini ni nani atapaswa kuwa mlinzi wa Zitto katika nchi hii yenye mapandikizi kila kona?

kwa kazi nzuri, kubwa na nzito anayoifanys mheshiwa Zitto kwa watanzania dhidi ya serikali badhilifu na gandamizi kwa wapinzani, ni bora Zitto atafutiwe ulinzi mapema sana kabla yajamkuta mengine yanayoendelea hapa nchini.

Zitto unahitaji ulinzi, huenda umejipanga na unajilinda lakini hao walinzi wako wamepia mafunzo wapi? Vipi watu wasiojulikana hawawezi pitisha mikono yao kwa hao walinzi

Zitto alindwe hata kwa gharama yoyote!
Hivi mnakumbuka tukio lililomkuta Mudhihir Mudhihir na Agnes Mbatia? ZZK ni Mwami...sio mtoto mdogo vile vidoti usoni ukiweza kuvihesabu viko vingapi ndio unaweza kummliza huyu bwana...otherwise sahau.
 
Huyu si anawazilinzi hata wa kuua sisimizi ya nini preemptive measures? "Amtegemeaye mwanadamu amelaaniwa."
 
Tunahitaji walinzi wa bunge kama hawa,mbunge akileta uzushi wanang'ang'ania kor*dani mpaka zinavimba,kama Malema alipoleta uzushi.
d631c3ab211343a290d2a435d615db95.jpg
 
Hivi yule CAG yuko free au ndio Lubuva style?

Nakumbuka Lowasa na Sumaye wakati wanataka kwenda Bahari beach hotel kujiunga na UKAWA wazee wa suti nyeusi waliwazongazonga kweli ila walikomaa mpaka wazee wa suti nyeusi wakaregea.

Kwa maoni yangu tumuombee zaidi CAG maana huu muziki ni yeye ndio ameweka Cd halafu ametuachia tuucheze.

Sidhani hapa duniani kama kuna mtu ana jeuri ya kumkatalia Rais hadharani swali kama aliloulizwa.

Nimemsikiliza Dr Chegeni jana kwenye kipima joto badala ya kuonesha yeye ni mtu wa kuisimamia serikali lakini ameonesha dhahiri yeye ni dekio la executive.

Watanzania tumeliwa hatuna bunge na huyo CAG repoti ya mwakani ni lazima ataandikiwa na aliye juu.

Hivi Tanzania tumemkosea nini Mungu wa kweli?
Cag kaweka cd afu kabonyeza play tunaokata mauno ni sisi
 
Zito ajilinde Mwenyewe,kama kuna mtu aliyedhoofisha upinzani nchi hii basi ni Zito,na lazima alipe gharama ya usaliti wake,mpaka awamu hii ya jiwe iishe Zito atakua ashalipa gharama za usaliti aloifanya kipindi cha JK.
Well said
Yaani nashangaa mpaka sasa hivi watu wengine hawajamuelewa Zitto!
Na hiyo ni tabia yake si rahisi kuicha walahi nakwambia!
 
D
Mwangalie vizuri Profesa Assad ana sigida kubwa kwenye paji la uso, hii ni moja ya ishara kwamba huyu mtu ni swala tano.

Kwa jinsi ninavyowafahamu mimi watu wenye hamu na nia ya kuiona firdaus hata umtishe vipi huyu hawezi kupindisha ukweli, ccm wajifunze katika hili wakitaka kuendelea na wizi wao hivi vyeo wawe wanawapa makafir wala kitimoto na wanywa pombe waliojaa urafi roho mbaya na hawana khofu na Mungu.

Mimi ni Mkristo ila nawajuwa vizuri waislamu wa kweli wengi kwenye hizi nafasi wana roho za kibinadamu.
Duh, Mkuu na wewe ni mmoja wa malaika?
 
nimesikia mnuarwanda kesharatibu tayari
Mungu mlinde mtetezi wa kodi zetu, ZITTO RUYANGWA KABWE.
 
Habari wakuu,

Kutokana na hali ya kiusalama hapa nchink kuwa ndogo hasa kwa wapinzani wa mwenye nchi, ikiwemo kupigwa risasi kwa wabunge, utekaji na uepo wa kundi la kiasi lisilojulikana

Ni wazi shahiri mheshimiwa mbunge Zitto kabwe anahitaji ulinzi wa kiwango cha juu, lakini ni nani atapaswa kuwa mlinzi wa Zitto katika nchi hii yenye mapandikizi kila kona?

kwa kazi nzuri, kubwa na nzito anayoifanys mheshiwa Zitto kwa watanzania dhidi ya serikali badhilifu na gandamizi kwa wapinzani, ni bora Zitto atafutiwe ulinzi mapema sana kabla yajamkuta mengine yanayoendelea hapa nchini.

Zitto unahitaji ulinzi, huenda umejipanga na unajilinda lakini hao walinzi wako wamepia mafunzo wapi? Vipi watu wasiojulikana hawawezi pitisha mikono yao kwa hao walinzi

Zitto alindwe hata kwa gharama yoyote!
Atalindwa na nani?
 
Alshababy mje umtusaidie uonezi umezidi huku tumepata viongozi wehu matahaira ambao wanadhani kuuua ndo njia pekee ya kuumaliza upinzani
 
Back
Top Bottom