Zitto Kabwe amuomba Rais Samia amuachie Mbowe

Zitto Kabwe amuomba Rais Samia amuachie Mbowe

Na ndio unataka HESHIMA ,, yaani nyinyi nyani wa pwani ya hindi hamjuhi hata maana ya heshima.
Mnabana na sauti kabisa kuwa kuna kujadiliana
Nani nyani wa pwani ya hindi?!!!!!

Kumbe si mkomavu wa mijadala ?!!!

Kinyume chake usingetanguliza ARGUMENTUM AD HOMINEM kwa kunihusisha na pwani bila ya kujua nitokako.......tena ukanitukana mimi na hao watu wa pwani.....😳😳

Bado mko na safari ndefu sana ya KUTOELEWEKA.....
 
Akuna anaewagopa nyinyi watekaji, watesaji na wauaji wakubwa.
Mlimteka mzee Mbowe Mwanza sasa mnatia ulimi puani na kujifanya hukumbuki.
MAHAYAWANI wakubwa.
Kumbe nimeshakuwa mtekaji tena? 🤣🤣🤣 Utakuja kuogopa mpaka kivuli chako sasa. Acha kuwa assume mambo ambayo hayapo.
Mimi sijawahi hata kuwa mwenyekiti wa kijiji au hata kada wa chama.
In short mimi sina Chama.
Ila ukweli ndiyo huo, ni muhimu sana mbowe aachiliwe maana akifungwa wewe hapo hakuna msaada utakaompatia.
 
Okay, sasa kushirikiana na CCM kuliwahi kubadilisha nini? Tangu 1995 wanaiba chaguzi kwa nguvu. Kuna mwaka CUF wanaunda nao serikali. 2015 Maalim kashinda Urasi wa Zanzibar, wakafuta matokeo. Hebu nambie kushirikiana nao kumebadilisha nini? If you do not have the courage to stand for your rights, keep quiet. Don't discourage those who have the courage.
Sasa na huko kususa kumebadilisha nini Sasa?
 
Akuna anaewagopa nyinyi watekaji, watesaji na wauaji wakubwa.
Mlimteka mzee Mbowe Mwanza sasa mnatia ulimi puani na kujifanya hukumbuki.
MAHAYAWANI wakubwa.
2991488_images_7.jpeg
 
Wa kupongeza wako wengi - Askofu Mwamakula, Shoo, James Mbatia, Mnyika na CHADEMA wengine, wote wamekuwa wakisema Mbowe si gaidi, aachiwe huru. Sioni jipya. Labda kama haukuwepo Tanzania, umerudi hivi karibuni tu.
Shujaa wangu halisi katika hili ni ZZK
 
Haya wewe kama wewe umefanya nini kwa upande wako? Au unabaki kuishauri CDM jinsi ya kukutatulia matatizo yako?
Nawashauri wasitumbukie shimoni hata kipindi Samia amekuwa Rais nilishauri humu mno CDM wawe wasikivu na wanyenyekevu kipindi hichi Cha transition baada ya jiwe kuhusu katiba hawakusikia
Wakaanza kutukana wakataka katiba kinguvu, tena mdude alisamewa case ambayo ingekuwa kifungo Cha maisha, akamtukana Rais kuwa atamnyoa, Matokeo mbowe yuko ndani na kelele za katiba kwishney kabisa, Sasa nani ka loose, fanyeni siasa zenye akili zenye kusaidia taifa sio ujinga wa kususa.
N. B fisi hasusiwi bucha shekhe
 
mnakuaga hivi, sina Chama ila kutwa kuangaika na chadema mitandaoni, ni nyie viroboto wa Lumumba vilivyomwaga mitandaoni.
🤣🤣🤣Narudia tena utakuja kuogopa mpaka kivuli chako. Utaanza hisi kila mtu ni adui yako.
 
Okay, sasa kushirikiana na CCM kuliwahi kubadilisha nini? Tangu 1995 wanaiba chaguzi kwa nguvu. Kuna mwaka CUF wanaunda nao serikali. 2015 Maalim kashinda Urasi wa Zanzibar, wakafuta matokeo. Hebu nambie kushirikiana nao kumebadilisha nini? If you do not have the courage to stand for your rights, keep quiet. Don't discourage those who have the courage.
Sasa na nyie kususa kime change nini?
Heri kije chama mbadala Cha kusemea wananchi matatizo Yao kulingana na jinsi siasa zetu zilivo pia, wanasiasa mnaangalia masilahi yenu ya kujaza tumbo, mbona sijaona wakishikia Bango umaskini wao wataka tume huru Ili wapate Madaraka mambo ya wananchi wanaweka pending
 
Sasa na huko kususa kumebadilisha nini Sasa?
Mkuu nawe mbona unakuwa kama mgeni kwenye siasa za Tanzania,umekazania Chadema washiriki ili iweje yaani??? mnafanya majafiliano na mpinzani wako halafu badaye mkitoka bado unatumia dola kumdhibiti sasa nini faida ya hayo makubaliano??.
Kumbuka kuwa katika karn hii ambapo zaidi ya 60% ya Watanzania ni vijana ambao wengi ni supporters wa CDM,bado kuna Watanzania lukuki ambao wamekichoka chama cha CCM wanaiona mbadala ni CDM.So,CDM kutoshiriki katika kikao hicho ni sawa na hicho kikao kutokuwa na maana.

Chochote kinachofanywa na Serikali na CCM against kanununi na sheria za kisiasa lengo ni kuiondoa CDM kwenye ramani za siasa na sio Chama kingine Chochote,sasa CDM nao wakiamua kushirikiana na wapinzani wao CCM ambao wanawakandamiza Siku zote wanachama wao watawaelewaje viongozi was CDM.
 
Mbowe akishasamehewa aache kujiita Mwamba, Mwamba gani miezi 4 tu Mahabusu hadi anatuma watu wakampigie magoti kwa Samia asamehewe? Wafuasi wake wametukana hadi wamechoka, sasa wamebaki kudandia habari za CCM tu! Mwamba ni Mzee Ruge, amekaza miaka 4 na ushee na bado alisimama na msimamo wake hadi serikali ikamwachia yenyewe
 
Haya mama, umeshinda. Washauri waungane na CCM labda itaipunguzia nchi matatizo ya umeme, maji nk!! Akina Waitara, Silinde, Halima, Esther... wamekwisha fanya hivyo tayari.
Sasa na nyie kususa kime change nini?
Heri kije chama mbadala Cha kusemea wananchi matatizo Yao kulingana na jinsi siasa zetu zilivo pia, wanasiasa mnaangalia masilahi yenu ya kujaza tumbo, mbona sijaona wakishikia Bango umaskini wao wataka tume huru Ili wapate Madaraka mambo ya wananchi wanaweka pending
 
Nawashauri wasitumbukie shimoni hata kipindi Samia amekuwa Rais nilishauri humu mno CDM wawe wasikivu na wanyenyekevu kipindi hichi Cha transition baada ya jiwe kuhusu katiba hawakusikia
Wakaanza kutukana wakataka katiba kinguvu, tena mdude alisamewa case ambayo ingekuwa kifungo Cha maisha, akamtukana Rais kuwa atamnyoa, Matokeo mbowe yuko ndani na kelele za katiba kwishney kabisa, Sasa nani ka loose, fanyeni siasa zenye akili zenye kusaidia taifa sio ujinga wa kususa.
N. B fisi hasusiwi bucha shekhe
We Dada una mambo yani CHADEMA wamnyenyekee SAMIA ili aruhusu mchakato wa Katiba Mpya?? uliwahi kuona wapi mtawala ambae Katiba ina mfeva aruhusu mabafikiko ya katiba.
 
Nawashauri wasitumbukie shimoni hata kipindi Samia amekuwa Rais nilishauri humu mno CDM wawe wasikivu na wanyenyekevu kipindi hichi Cha transition baada ya jiwe kuhusu katiba hawakusikia
Wakaanza kutukana wakataka katiba kinguvu, tena mdude alisamewa case ambayo ingekuwa kifungo Cha maisha, akamtukana Rais kuwa atamnyoa, Matokeo mbowe yuko ndani na kelele za katiba kwishney kabisa, Sasa nani ka loose, fanyeni siasa zenye akili zenye kusaidia taifa sio ujinga wa kususa.
N. B fisi hasusiwi bucha shekhe
We Dada una mambo yani CHADEMA wamnyenyekee SAMIA ili aruhusu mchakato wa Katiba Mpya?? uliwahi kuona wapi mtawala ambae Katiba ina mfeva aruhusu mabafikiko ya katiba.
We Dada una mambo yani CHADEMA wamnyenyekee SAMIA ili aruhusu mchakato wa Katiba Mpya?? uliwahi kuona wapi mtawala ambae Katiba ina mfeva aruhusu mabafikiko ya katiba.
Kenya walikufa watu zaidi ya 200 hadi katiba kupatikana,na Nchi nyingine nyingi-hakuna siasa za ustaarabu zinazoleta matokeo Duniani kote.Jambo lolote kubwa linalohitaji mabadiliko inabidi watu kujitoa kwa njia yoyote.
 
Hata wenzake walivyomsusia Magufuli bungeni yeye alijifanya akili kubwa akabaki akijua uenyekiti wa PAC atapewa Kama kawa,Kilichofuata alinyimwa huo uenyekiti na hapo ndipo akili ilimkaa kichwani akaanza kupiga mayowe Sasa.

Opportunist.
Kuna mwanasiasa Ambae si opportunist? Hivi ilikuwaje kwa Lowasa kwenda UKAWA? hakika nyinyi wajinga Mliwao
 
[emoji1][emoji1] Ashindwe kuikoa ACT yenye bendera nyingi kuliko wanachama aje kuikoa Chadema [emoji1][emoji1]

Unachoongea ukijua Tangu Chadema mmeanza siasa ad leo nmaenda kupotea hamjawai shika madalaka makubwa ktk Nchi hii ila ACT ni chama kikuu cha upinzani kwa sasa na pia ACT ni moja ya chama kinachounda serikali ya zanzibar kwa lugha fupi ACT ni sehemu ya serikal ya Tanzania
 
Back
Top Bottom