Zitto Kabwe amuomba Rais Samia amuachie Mbowe

Zitto Kabwe amuomba Rais Samia amuachie Mbowe

Viroboto wamemwagwa huku na Hangaya.
Yameshawashinda wanatafuta pakutokea haya MAHAYAWANI.
Mbowe ni SHUJAA.
Katiba mpya ni lazima na ni sasa.
Kumpondea zitto hakumsaidii mbowe. Yes, kesi yake ni ya kubuni tu. Ila mwacheni zitto afanye siasa kwa style yake. Ndiyo maana ana chama chake
 
Nawasalimu wanajukwaa.

Acha niende moja kwa moja kwenye hoja, nimemfuatilia kwa umakini Mh. Zitto jinsi ambavyo amekuwa akiendesha siasa zake na nikiri huyu Mh. hafanyi siasa kwa mihemko bali akili kubwa sana.

Wakati wengine wakisusia mkutano yeye amekwenda na alipopewa nafasi amemuomba Mh. Rais ikiwezekana kiongozi mwenzao mwenye changamoto za kisheria aachiwe, kwakweli ameonesha ukomavu wa kisiasa.

Pongezi kwako Zitto Kabwe.

Niwatakie kazi njema wanajukwaa.

Fala tu, anatafuta value, baadae aje kututesa
 
Wenye nchi ni wananchi sio hicho kibibi cha kiarabu, wala Chama maiti . Mtake msitake.
Kwani mh.Rais naye si mwananchi?!!

Unafikiri kwa lugha hizo chafu,zenye kedi na zisizo staha zinaweza kuwaletea hicho mkitakacho?!!!

Ninyi jamaa badilikeni....badilikeni kwa Kweli.....
 
Nawasalimu wanajukwaa.

Acha niende moja kwa moja kwenye hoja, nimemfuatilia kwa umakini Mh. Zitto jinsi ambavyo amekuwa akiendesha siasa zake na nikiri huyu Mh. hafanyi siasa kwa mihemko bali akili kubwa sana.

Wakati wengine wakisusia mkutano yeye amekwenda na alipopewa nafasi amemuomba Mh. Rais ikiwezekana kiongozi mwenzao mwenye changamoto za kisheria aachiwe, kwakweli ameonesha ukomavu wa kisiasa.

Pongezi kwako Zitto Kabwe.

Niwatakie kazi njema wanajukwaa.
Unamjua shushu Zito mzee wa kuuma na kupuliza
 
Nimekuuliza swali.....

Kwanini katiba mpya ni lazima na TUTAKE TUSITAKE ?!!!!
Kuwa HAYAWANI hakukupi umiliki wa nchi,
Wenye nchi ni wananchi na katiba inaaema peupe.. katiba mpya ni lazima na ni sasa.
Hicho kibibi chenu cha kiarabu kirudi tu kwenye mitala yake. Ndicho anachoweza.
Na nyie viroboto mnastahili kufukiwa mkiwa hai.
 
Kwani mh.Rais naye si mwananchi?!!

Unafikiri kwa lugha hizo chafu,zenye kedi na zisizo staha zinaweza kuwaletea hicho mkitakacho?!!!

Ninyi jamaa badilikeni....badilikeni kwa Kweli.....
Achana naye huyo Zitto ameona busara amehudhuria mkutano na amemuombea msamaha bwana mkubwa badi tunamshukuru Zitto kwa busara zake na akili yake kubwa.
 
Hapo ndio kiwango chako cha mwisho cha kufikiri ujinga ni mzigo
 
Kumpondea zitto hakumsaidii mbowe. Yes, kesi yake ni ya kubuni tu. Ila mwacheni zitto afanye siasa kwa style yake. Ndiyo maana ana chama chake
Akili zako hazina akili.
Kwani CHADEMA tulimtuma Zitto. Au Mbowe alimtuma Zitto?!
Mnawashwa washwa sana na CHADEMA.
 
Kuwa HAYAWANI hakukupi umiliki wa nchi,
Wenye nchi ni wananchi na katiba inaaema peupe.. katiba mpya ni lazima na ni sasa.
Hicho kibibi chenu cha kiarabu kirudi tu kwenye mitala yake. Ndicho anachoweza.
Na nyie viroboto mnastahili kufukiwa mkiwa hai.
Yaani kama CDM ndio mjejaa sampuli yako hiyo basi itabidi tukeshe tukiomba nchi hii CCM iitawale hata millennium 1000 zijazo na kama ni upinzani kushinda msishinde nyie wawe watu ambao wanapenda majadiliano na muafaka.
 
Hawa wanaishi kiharakati sana haya mambo ni ya kizamani kweli kweli yaaani.
Hakika.....

Harakati zao si za Kweli......

Wameshindwa kuzifanya ndani ya chama chao wanataka kutufanyia taifa zima?!!!

Watu walioshindwa kumdhibiti MWENYEKITI wao wa "milele"mwenye makandokando lukuki watawezaje kuwadhibiti watanzania wote?!!!
 
Yaani kama CDM ndio mjejaa sampuli yako hiyo basi itabidi tukeshe tukiomba nchi hii CCM iitawale hata millennium 1000 zijazo na kama ni upinzani kushinda msishinde nyie wawe watu ambao wanapenda majadiliano na muafaka.
Kelele tu nyingi, Fuateni katiba na sheria, muone, mnagopa Chama maiti haliwezi kushinda chaguzi.
 
Nawasalimu wanajukwaa.

Acha niende moja kwa moja kwenye hoja, nimemfuatilia kwa umakini Mh. Zitto jinsi ambavyo amekuwa akiendesha siasa zake na nikiri huyu Mh. hafanyi siasa kwa mihemko bali akili kubwa sana.

Wakati wengine wakisusia mkutano yeye amekwenda na alipopewa nafasi amemuomba Mh. Rais ikiwezekana kiongozi mwenzao mwenye changamoto za kisheria aachiwe, kwakweli ameonesha ukomavu wa kisiasa.

Pongezi kwako Zitto Kabwe.

Niwatakie kazi njema wanajukwaa.
Huyo ni mjinga kama polepole,kesi ya michongo,jaji wa michongo,mashahidi wote ni police uliona wapi
 
Basi tuliza mshono kama hamkutuma sasa unalalamika nini yeye kuwepo pale?
Aende popote awepo popote,asitafute vyeo kwa jina la Mbowe au chadema.
Apambane tu na hali yake.. ya Chadema hayamuhusu na wewe pia hayakuhusu.
 
Kuwa HAYAWANI hakukupi umiliki wa nchi,
Wenye nchi ni wananchi na katiba inaaema peupe.. katiba mpya ni lazima na ni sasa.
Hicho kibibi chenu cha kiarabu kirudi tu kwenye mitala yake. Ndicho anachoweza.
Na nyie viroboto mnastahili kufukiwa mkiwa hai.
Umeona ulivyojawa na UGONJWA WA CHUKI NA HASIRA ZA KINYAMA?!! 🤣🤣

Hata sheria zinatungwa kwa MASIKILIZANO NA NCHA ZA ULIMI.......

Hakuna Jambo la kulazimisha kana kwamba taifa hili lina mawazo yenu tu........😳😳😳
 
Aende popote awepo popote,asitafute vyeo kwa jina la Mbowe au chadema.
Apambane tu na hali yake.. ya Chadema hayamuhusu na wewe pia hayakuhusu.
Zitto hajaanza leo kuongelea hiyo kesi ya Mbowe........

Kosa lake ni kusikika akiongelea Leo hii katika mkutano muhimu wa baraza la vyama vya siasa?!!!🤣🤣

Uko biased sana.......


#Utulivu Na Amani Ndio Nguvu Yetu
#Siempre JMT
 
Umeona ulivyojawa na UGONJWA WA CHUKI NA HASIRA ZA KINYAMA?!! 🤣🤣

Hata sheria zinatungwa kwa MASIKILIZANO NA NCHA ZA ULIMI.......

Hakuna Jambo la kulazimisha kana kwamba taifa hili lina mawazo yenu tu........😳😳😳
Mwenye Chuki ni Hangaya na serikali yake wanaotesa wengine kisiasa kwa kesi za michongo. au ulitaka nifurahi mwenyekiti wangu kutekwa Mwanza na kuhukumiwa na Samia BBC.?!
Msichopenda nyie msitufanyie, vininevyo tuishi tu.. hatuogopi chochote na hatumugopi yeyote yule.
 
Back
Top Bottom