Maridhiano at CHADEMA's grave expense. Kinachotafutwa tangu awamu ya nne, hasa ya tano, ni ama CHADEMA ife kabisa (literally) au ipoteze ushawishi (credibility) mbele ya Watanzania. Serikali ya CCM haitakaa ikubali uwepo wa chama aina ya CHADEMA nchini. Ni suala la kufa na kupona. CHADEMA and CCM are mutually exclusive. Hence, CHADEMA has to die for CCM to exist.
Hivyo, msamaha wa mama kwa mtuhumiwa wa ugaidi Mbowe ukipokelewa bila masharti yoyote litakuwa deni zito sana kwa CHADEMA ambalo litawakata makali ya kisiasa kisawasawa. Kwa bahati mbaya sana, hakuna maridhiano na CCM/serikali yenye heri kwa CHADEMA: There is only death and the (ongoing) fight to death for the party. - And, consequently, de-facto death to multiparty politics in Tanzania. Labda tutaishi kwa amani baada ya hapo.