Wajinga tunahitaji upinzani makini Sasa kususa ndio solution ya matatizo au kuzitatua?
Tangu dunia iumbwe kususa hakujawahi kuwa solution ya matatizo
Umewahi kumsikia Ghandi?
Wajinga tunahitaji upinzani makini Sasa kususa ndio solution ya matatizo au kuzitatua?
Tangu dunia iumbwe kususa hakujawahi kuwa solution ya matatizo
Sasa chadema wangeenda kufanya nini kama Zitto ndio kashafanya mpaka ya chadema.. kutuona watanzania mazwazwa kama nyie na njaa zenu, mnatukosea sana.Nawasalimu wanajukwaa.
Acha niende moja kwa moja kwenye hoja, nimemfuatilia kwa umakini Mh. Zitto jinsi ambavyo amekuwa akiendesha siasa zake na nikiri huyu Mh. hafanyi siasa kwa mihemko bali akili kubwa sana.
Wakati wengine wakisusia mkutano yeye amekwenda na alipopewa nafasi amemuomba Mh. Rais ikiwezekana kiongozi mwenzao mwenye changamoto za kisheria aachiwe, kwakweli ameonesha ukomavu wa kisiasa.
Pongezi kwako Zitto Kabwe.
Niwatakie kazi njema wanajukwaa.
Muhimu Zitto amewasaidia na sasa nuru itaonekana, ila hizi siasa za muundo huu sasa mzibadilishe muwe watu wa mikakati.Sasa chadema wangeenda kufanya nini kama Zitto ndio kashafanya mpaka ya chadema.. kutuona watanzania mazwazwa kama nyie na njaa zenu, mnatukosea sana.
Zitto namkubali uwa anasimamia anachokiaminiNawasalimu wanajukwaa.
Acha niende moja kwa moja kwenye hoja, nimemfuatilia kwa umakini Mh. Zitto jinsi ambavyo amekuwa akiendesha siasa zake na nikiri huyu Mh. hafanyi siasa kwa mihemko bali akili kubwa sana.
Wakati wengine wakisusia mkutano yeye amekwenda na alipopewa nafasi amemuomba Mh. Rais ikiwezekana kiongozi mwenzao mwenye changamoto za kisheria aachiwe, kwakweli ameonesha ukomavu wa kisiasa.
Pongezi kwako Zitto Kabwe.
Niwatakie kazi njema wanajukwaa.
Chama maiti yamewashinda sio mnaomba msaada kwa Ztto . Endeleeni tu na tusipangiane. Hakuna anaeogopa viroboto na chawa kama nyie.. pumbavu kabisa kabisaMuhimu Zitto amewasaidia na sasa nuru itaonekana, ila hizi siasa za muundo huu sasa mzibadilishe muwe watu wa mikakati.
MmmmmhBora hata Zitto kaenda na kasema hyo issue ya mbowe hao Susa Susa hawajitambui kabisa
Haya wewe kama wewe umefanya nini kwa upande wako? Au unabaki kuishauri CDM jinsi ya kukutatulia matatizo yako?Wajinga tunahitaji upinzani makini Sasa kususa ndio solution ya matatizo au kuzitatua?
Tangu dunia iumbwe kususa hakujawahi kuwa solution ya matatizo
Mh.Zitto Kabwe ni aina ya wanasiasa wenye KUITANGULIZA TANZANIA NA MASLAHI YAKE......Nawasalimu wanajukwaa.
Acha niende moja kwa moja kwenye hoja, nimemfuatilia kwa umakini Mh. Zitto jinsi ambavyo amekuwa akiendesha siasa zake na nikiri huyu Mh. hafanyi siasa kwa mihemko bali akili kubwa sana.
Wakati wengine wakisusia mkutano yeye amekwenda na alipopewa nafasi amemuomba Mh. Rais ikiwezekana kiongozi mwenzao mwenye changamoto za kisheria aachiwe, kwakweli ameonesha ukomavu wa kisiasa.
Pongezi kwako Zitto Kabwe.
Niwatakie kazi njema wanajukwaa.
MaCCM akili zenu hazina akili.Zito Kichwa uwezo wake sawa na halmashauri kuu yote ya chadema
Mob psychology.....Ili uwe na akili kubwa lazima ufuate kile CDM wanachotaka na kuamini...ukienda tofauti nao tu kidogo basi wewe ni akili ndogo, msaliti nk..
Kwanini iwe TUTAKE TUSITAKE?!!!!MaCCM akili zenu hazina akili.
Viroboto mnatia mpaka huruma..
Hangaya yamemshinda eheee anawatuma mje kupima upepo.
Mtake msitak, katiba mpya ni lazima na ni sasa.
Ndo aina ya watu waliopo CDM sasa hawa wakipata madaraka wananchi situtapigwa bakora hawa?Kwanini iwe TUTAKE TUSITAKE?!!!!
Zitto namkubali uwa anasimamia anachokiamini
Muhimu Zitto amewasaidia na sasa nuru itaonekana, ila hizi siasa za muundo huu sasa mzibadilishe muwe watu wa mikakati.
Mh.Zitto Kabwe ni aina ya wanasiasa wenye KUITANGULIZA TANZANIA NA MASLAHI YAKE......
Amedhihirisha hayo kwa mwafaka wa Zanzibar Kati ya ACT- WAZALENDO NA CCM.....
Kongole kwake mkomavu wa siasa zetu mh.Zitto Zuberi Kabwe💪
#Siempre JMT
#Utulivu Na Amani Ndio Nguvu Yetu
Viroboto wamemwagwa huku na Hangaya.Zito Kichwa uwezo wake sawa na halmashauri kuu yote ya chadema
Bora kuwa OPPORTUNIST kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa.......Hata wenzake walivyomsusia Magufuli bungeni yeye alijifanya akili kubwa akabaki akijua uenyekiti wa PAC atapewa Kama kawa,Kilichofuata alinyimwa huo uenyekiti na hapo ndipo akili ilimkaa kichwani akaanza kupiga mayowe Sasa.
Opportunist.
Nimekuuliza swali.....Viroboto wamemwagwa huku na Hangaya.
Yameshawashinda wanatafuta pakutokea haya MAHAYAWANI.
Mbowe ni SHUJAA.
Katiba mpya ni lazima na ni sasa.
Wenye nchi ni wananchi sio hicho kibibi cha kiarabu, wala Chama maiti . Mtake msitake.Kwanini iwe TUTAKE TUSITAKE?!!!!
Watatunyonga hadharani kama walivyofanya wakoloni wa kijerumani kwa baba wa mababu zetu!Ndo aina ya watu waliopo CDM sasa hawa wakipata madaraka wananchi situtapigwa bakora hawa?