Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 3,088
- 4,492
Kwani yeye SSH hajui kwamba mbowe anapaswa kuachiwa bila ombi?
UCHAGA UNAKUSUMBUA, MNAPENDA SANA KUSUJUDIWA WAKIWA HAMNA KITU KICHWANI.Zitto ni mjinga kama wajinga wengine,anashiriki uchaguzi huku akijua wazi sheria na kanuni za uchaguzi ni mbovu.
Sijawahi kumwamini Zitto hata siku moja ni mwanasiasa wa hovyo na ni hasara kubwa taifa kuendelea kuwa na aina hii ya wanasiasa.
Wewe zaidi ya kuwa nyuma ya keyboard umefanya nini kumsaidia Mbowe? Huenda hata mahakamani hujawahi kukanyaga lakini uko hapa unajikuta mwanaharakati.Aende popote awepo popote,asitafute vyeo kwa jina la Mbowe au chadema.
Apambane tu na hali yake.. ya Chadema hayamuhusu na wewe pia hayakuhusu.
Kwa hiyo huamini kuwa mahakama ndizo zenye haki ya kutafsiri sheria?!!!!Mwenye Chuki ni Hangaya na serikali yake wanaotesa wengine kisiasa kwa kesi za michongo. au ulitaka nifurahi mwenyekiti wangu kutekwa Mwanza na kuhukumiwa na Samia BBC.?!
Msichopenda nyie msitufanyie, vininevyo tuishi tu.. hatuogopi chochote na hatumugopi yeyote yule.
Nyie mmeshinda uchaguzi upi? Acheni uspecial shirikianeni na watu.Kelele tu nyingi, Fuateni katiba na sheria, muone, mnagopa Chama maiti haliwezi kushinda chaguzi.
Bora hata Zitto kaenda na kasema hyo issue ya mbowe hao Susa Susa hawajitambui kabisa
Mbona unakimbilia matokeo ?!!!Mkuu huyu ni 'opportunist ' tu.. Kwani nani kamtuma? Anataka isemekane kuwa yeye ndiyo kashawishi Mbowe aachiwe..
Mimi ni mwana Chadema kujua nakisaidia vipi chama changu na viongozi ili uniteke sio. ?!Wewe zaidi ya kuwa nyuma ya keyboard umefanya nini kumsaidia Mbowe? Huenda hata mahakamani hujawahi kukanyaga lakini uko hapa unajikuta mwanaharakati.
Akili zake hazina akili kiroboto huyo, mpuuze.Akina Shibuda, Mrema, John Cheyo ambao kwako unaona "wanajitambua" wameleta mabadiliko gani? Chama gani cha siasa chenye akili kitaona yaliyofanyika Oktoba 2020 ni sawa tu????
Hawana uchaguzi walioshinda......Nyie mmeshinda uchaguzi upi? Acheni uspecial shirikianeni na watu.
Yani kumbe unaogopa hata kivuli... Mimi nikuteke kwani mimi jambazi au mwanausalama? Nikuteke kwani mimi ni nani mpaka nikuteke. Shida ni pale unapofikiri kila mwenye mawazo tofauti na wewe basi ni CCM.Mimi ni mwana Chadema kujua nakisaidia vipi chama changu na viongozi ili uniteke sio. ?!
Acheni kuwashwa washwa na ya CHADEMA
Si mna Chama maiti na zambarau al-maarufu CCM B vinawatosha
Pongezi kwako Zitto Kabwe.
Na ndio unataka HESHIMA ,, yaani nyinyi nyani wa pwani ya hindi hamjuhi hata maana ya heshima.Kwa hiyo huamini kuwa mahakama ndizo zenye haki ya kutafsiri sheria?!!!!
Unaposema katekwa Unamaanisha nini ?!!!!
Ulitaka akakamatwe na IGP Simon Sirro ili uuite ukamataji HURU NA WA HAKI?!!!!
Akuna anaewagopa nyinyi watekaji, watesaji na wauaji wakubwa.Yani kumbe unaogopa hata kivuli... Mimi nikuteke kwani mimi jambazi au mwanausalama? Nikuteke kwani mimi ni nani mpaka nikuteke. Shida ni pale unapofikiri kila mwenye mawazo tofauti na wewe basi ni CCM.
Mbowe ni afadhali atoke aje aendeleze chama. Akifungwa mtamsahau maana alipokamatwa hata yeye alidhani kitanuka lakini hakuna kilichoendelea. Sasa akifungqa si ndo mtamsahau kabisa.
Sasa na huko kususa kumebadilisha nini Sasa?Akina Shibuda, Mrema, John Cheyo ambao kwako unaona "wanajitambua" wameleta mabadiliko gani? Chama gani cha siasa chenye akili kitaona yaliyofanyika Oktoba 2020 ni sawa tu????
Nadhani umeyasikia majibu ya huyo unayemuita mkubwa.Siunajua kibongo mkubwa lazima ujikombe kwake na ujinyenyekeze Ili akutatulie shida yako