Zitto Kabwe ambwaga Tundu Lissu

Zitto Kabwe ambwaga Tundu Lissu

Kwanza ungesema lengo la kushidanisha lilikuwa nini? Pili ulipaswa kujua waliopiga kura no akina nani na wlikuwa na interest zipi? Sampling ya wachangiaji. Labda wapiha kura wako wengi ni ACT. Kwa hili kama ungekuwa na lengo zuri, ingepata wapiga kura wasio na upande wa Act, cdm wala ccm
 
Yaani utafiti uweke facebook kwa maslai ya tumbo lako alafu matokeo ulete jamii forum ujui facebook wengi utumia fomula ya UKUKU ili wasije kupimwa mkojo
 
Zitto ana hoja za Maendeleo na anaungwa mono na wazalendo na watanzania wote, Lissu ana hoja za kudhoofisha maendeleo na anashibikiwa na vibaraka wa mafisadi na wachagga
Hii tu imetosha kujua rangi yako halisi. Haya tumeshakusoma, malizia editing ya andiko jipya uliloagizwa na boss wako ulitume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona asilimia ukijumlisha hazifiki 100? 32+34 au nimeona vibaya mkuu!!! Huu ndio utafiti.
 
Lissu zaizi yake Mkulu,uone jinsi Mkulu atakavyopigwa za kidevu.Watch Out
 
Hutofautiani na kuburu Bother .Wewe nimchochezi unayetamani mauaji ya kimaro unapaswa kushughulikiwa kama mwezi tunathamini AMANI ya nchi aliyotuachia Baba wa Taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto huwa anajitahidi, lakini tatizo lake akiona hela anabadili msimamo. Tabia hii wanayo akina ......... Uchocheziiiii.
 
Hoja namba 3 ya Lissu (Kuhusu umuhimu wa KATIBA) ni zaidi ya hoja zote za Zitto!
 
Lisu amewekeza sana kwenye matusi , sijui alichaguliwa ili aje kutukana au kusaidia mchakato wa maendeleo.
 
Nguvu yote hakuna kilichoingia chochote mfukoni kwako[emoji41][emoji41]



Napita tyu[emoji601]
 
Kura zote zilizopigwa ni 2254 sawa na 100% ya kura zote

Kura zilizoharibika ni 749 sawa na 33% ya kura zote

Kura halali ni 1505 sawa na 67% ya kura zote

TUNDU A. LISSU amepata kura 731 sawa na 32% za kura zote

ZITTO Z. KABWE amepata kura 774 sawa na 34% za kura zote


By: BABA WA DODOMA

Umenikumbusha uchaguzi wa kibongo, kule kwenye upinzani kura zinazoharibika ukaribia kuw asawa na zilizopigwa!
 
Back
Top Bottom