Zitto Kabwe ambwaga Tundu Lissu

Zitto Kabwe ambwaga Tundu Lissu

yule aliyetutajia majina ya wacheza sinema wa bollywood eti ndio walioficha hela nje...zitto hakuna hoja anayoifikisha mwisho,na bahati yake alibebwa sana na jk...this time around hakuna mbeleko.
hivi mtu mwoga wa kukamatwa anaweza kuwa mpambanaji!!!!toa ujinga wako humu.
 
unawakilisha Taasisi ipi? Twaweza underground?
 
Usimlinganishe Lissu na vitu vya kijinga.
Nachojua Zitto alijificha ofisi ya Spika kuanzia saa 2 mpaka saa 6 usiku kuogopa kukamatwa na polisi
 
Zito anauelewa mkubwa sana tuu hata mimi naona ila sio wakumlinganisha na Lisu lissu ni sawa na zito buku.
 
Nonsense kabisa! Badala MTU uingie shambani kulima! Unashindanisha watu!
 
Baba wa Dodoma wewe matibabu yako unapata mirembe naona. kwanza hakuna anaekujua ili aingie ktk huu upuuzi wako.

Tumia dawa kama unavyolekezwa na dr wako hapo mirembe.
 
Napata shida kukuelewa yaani mtandao mmoja wa facebook umeweka hoja moja sehemu tatu na wachangiaji ni wale wale ama tofauti na je ulijuaje kuwa huyu kapiga kura sehemu zote tatu, nne ama mara moja tu. Huo utafiti wako hauko kitaalamu umepwaya mno.
Una mapungufu balaa. ila ni haki yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio utafiti ni mpambano kwa vigezo alivopanga mtu mmoja na kusimamia kila hatua yeye mwenyewe.

Ni mchezo tu ameamua kufanya asishambuliwe ila ashauriwe kuboresha kazi yake kwa siku za usoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni aibu kumlinganisha kamanda Lissu na kibaraka ambae yupo kunusa fursa za kimagumashi!
 
ongeza kura yangu hapo kwa zzk
 
Ni kama tume ya uchaguzi kushangilia matokeo ya uraisi, au kwa wapenzi wa soka la Uingereza, kamera ziliwahi kumnasa refa kipara Mike Dean akishangilia goli la Spurs dhidi ya Arsenal! Umenielewa mtoa mada?
 
Hehehe siku zote wapigania haki hawaungwi mkono na watu wajinga wajinga na kwa kuwa taifa hili wajinga ni wengi kuliko werevu matokeo hayo yanaweza kuwa na usahihi
 
Lissu anapigania fedha zipatiane ili serikali ihudumie wananchi wote ikiwemo Kigoma.
Zitto anataka Kigoma tu ipate maendeleo ilihali hajui fedha zitatoka wapi
 
Back
Top Bottom