Zitto Kabwe: Adui, Rafiki, Kipenzi

Zitto Kabwe: Adui, Rafiki, Kipenzi

Juliana Shonza kwanza hakuna Chuo Kikuu cha Mlimani. Pili,kiingereza hakikupendi hivyo achana nacho. Tatu,hongera kwa kujua kutumia computer na mitandao kwa ujumla. Nne,CHADEMA na Zitto hawakuhusu. Tano,maDC wameshateuliwa. Sita,msalimie shemeji.

Teh teh teh teh he
 
Last edited by a moderator:
Eti ndoa yako, kwani wewe una ndoa na Mwingulu. Kwa akili yako nani atakuoa wewe, labda awe zimefyatuka. zaidi wewe toa uroda tu watu wafaidi. Nasitikika kuona unazidi kuwa pasi na kiuno kulegea. Hizo ni dalili za kukongoroka


Ni Kijana wa Makamo mwenye jina kubwa katika medani za siasa nchini Tanzania, ni Kiongozi mwenye misimamo thabiti na ya kipekee, mwenye maamuzi makini yenye kushirikisha akili ipasavyo, ni msomi na mtaalamu wa uchumi, ni mtu ambaye hakati tamaa lakini pia ni mmoja katika watu ambao hawana hofu na hawaogopi..,hizo ni baadhi ya sifa zinazoambatana na Jina Ruyangwa Zubeir.

Binafsi nilikutana nae nikiwa nimemaliza kidato cha sita na naelekea kujiunga na Chuo Kikuu cha Mlimani - Dar es salaam. I didn't find him, he finds me.,kuanzia hapo akawa ni Kaka, Mshauri na Mwalimu wa siasa kwangu, tukashirikiana na kusaidiana katika kila lililohusu siasa na yaliyohusu maisha yetu nje ya siasa.

Siku moja alisafiri kuelekea Malaysia, akiwa huko akanipigia simu, akinieleza kuwa amepatwa na HOFU. Nikataka kuhoji juu ya hofu yake, akaniambia atazungumza na mimi akisharudi, kwa maneno yake alisema "Si vyema nikaielezea HOFU yangu kwa njia ya simu, tutazungumza" Nilimuelewa lakini nikabaki na sintofahamu na shauku ya kutaka kujua nini kilimfika Kaka yangu huyo kipenzi.

Aliporejea nchini, akafanya kama alivyoahidi, akaniita kuzungumza, ilikuwa ni Nyumbani kwa Kaka yake Zitto maeneo ya ADA estate Kinondoni, ndipo alipoizungumza hofu yake ambayo imekuwa ikimsumbua katika moyo na nafsi yake. Akanieleza "ndugu yangu, nimetumia nguvu kubwa ya kila namna katika kuijenga CHADEMA, nguvu na maarifa niliyowekeza ndani ya CHADEMA yanalenga kuboresha maisha ya watanzania na maisha yangu, lengo langu likiwa kuleta ukombozi wa kweli kwa watanzania, kuifanya CHADEMA kuwa mbadala wa CCM na kuipa nguvu CDM ili kuhakikisha inaikomboa Jamii iliyozama katika dimbwi la umasikini ya watanzania.."

Alipofika hapo, akaniangalia usoni na akatambua kuwa bado nilikuwa katika sintofahamu ya yale anayoyasema, akaendelea "Tumefanikiwa kuwafanya watanzania waiamini Chadema, lakini HOFU yangu ni kuwa hatujaiimarisha wala kuiandaa ipasavyo CDM kuwaongoza watanzania, bado katika chama chetu tunalo tatizo la Uongozi..,I HAVE A FEAR OF BEING RULED BY A LESSER"

Alipomaliza maongezi yake nikawa nimemuelewa nadhani kuliko mtu mwingine yeyote kwa wakati huo, na nikawa tayari kuungana nae katika kuondoa HOFU yake, hofu iliyojaa ndani ya kifua chake ya kuongozwa na watu dhaifu wasio na uwezo ndani ya Chama, wasio na maono, wasio na nia njema na waliokosa sifa kuu ya kiongozi bora ya UADILIFU. Zitto akanishauri nami nikaupokea ushauri huo kuwa "we should give the party A NEW BRAND..ili kiimarike zaidi na kiweze kuwakomboa watanzania.

Kwa bahati mbaya sana, na labda ni kwa sababu ya uchu wa madaraka, wenzetu hawakutuelewa, wakadhani na kufikiri kama alivyofikiri FARAO wakati MUSA alipomwambia, niacheni wana wa Israel wawe nyuma yangu, nitawaongoza katika nchi ya maziwa na asali.,Viongozi wa CHADEMA wakasema kama alivyosema FARAO, kuwa ninyi ni WASALITI, FARAO alimwambia MUSA nilikutwaa, nikakulea kama mwanangu na leo unataka kunisaliti..MUSA mwenye hekima aliyofundishwa na MUNGU mwenyewe, akawa hodari wa maneno na matendo akasema "SIFANYI haya kwa ajili ya nafsi yangu, bali kwa maslahi mapana ya Taifa hili" akawaambia maneno hayo wana wa Israeli pia kuwa " Njooni na mimi nitawaongoza njia, tokeni MISRI nitawaonyesha Nchi ya Maziwa na Asali:" nao wana wa Israeli hawakumsikiliza.

Ndio ni Zitto aliyeibua kashfa kubwa ndani ya Serikali na kuitingisha Serikali kwa kipindi chote alichokuwa bungeni, kwa HOJA zenye mashiko, ameibua kashfa za Buzwagi, Escrow na nyinginezo Kubwa ambazo zilitishia kuangusha utawala, hata mafanikio ya Upinzani katika chaguzi za hivi karibuni kwenye Serikali za mitaa unatokana na kazi hiyo ya Zitto bungeni, lakini bado WANA WA ISRAEL wanamuona ni MSALITI kwa sababu FARAO kawaambia kuwa huyo ni MSALITI.

CHAMA CHA SIASA hakiwezi kuendeshwa kwa matukio, ni siasa zilizopitwa na wakati kutengeneza matukio ili kukipa chama KICK, mara CCM wameingiza Kontena la kura feki, mara mashine za BVR zimechakachuliwa, mara DR Slaa anategewa sumu auawe, Mara CCM imeingiza mamluki wake ndani ya CDM na hivyo tutafukuza wasaliti wote, Mara mabomu kwenye mikutano yao, na kila kituko, CHAMA CHA SIASA HAKIFANIKIWI kwa kufanya siasa za vituko na matukio, muda wa kuomba sympathy kwa watanzania umeisha, CHADEMA kina umri wa miaka zaidi ya 20, KINGEWEZA KUWA TAYARI KIMEIMARIKA KAMA KINGEKUWA NA UONGOZI MAKINI NA IMARA, lakini bado kimebaki kuwa chama cha kiharakati ambacho watanzania bado wanahoji na wanakosa uhakika kuwa kinaweza kuwa chama cha siasa na kuweza kuwaongoza.

Zitto aliyaona haya miaka takribani 8 iliyopita, na akataka mabadiliko bahati mbaya akili ya ZITTO ilikuwa mbinguni na ALISHINDWA kui-connect ama kuwasiliama na WAFUASI na VIONGOZI waliopo ardhini na wengine ndani ya udongo ambao hawaoni chochote isipokuwa GIZA TOTORO, hakuna tofauti kwao baina ya mchana na usiku.

ZITTO atabaki kuwa MSALITI na CHADEMA itabaki kuwa ya WANAHARAKATI...

Ni kama nilivyofikiri awali, fikra zangu hazikunidanganya kuwa baada ya kuyaandika haya watakuja vijana wa chadema walioamka na mning'inio kuanza kutukana na kutaja habari ya ndoa yangu na kila kashfa...

Kwa bahati mbaya, nililitegemea hilo tangu mwanzo kabisa hivyo halinikatishi tamaa hata kidogo...nitaendelea kuwaangushia vitu vizito vyenye ncha kali..
 
Jamani ...sasa mbona kila siku unaiwaza chadema .......ulishakataliwa huku...Na huyo x wako alishakataliwa chadema.....Endeleeni na vyama vyenu vipya
 
Kwo kwi kwi kwi kwi mtu ukipata zoba akakuoa tulia asijue Historia yako ya nyuma
UTAFANYA WÀTU WAJUE KWAMBA "ULIWEKA CHUPI ZAKO, (UNDERWEAR) KWENYE BEGI LA ZITO ILI AGOMBANE NA GIRL FRIEND WAKE AKUOE WEWE DODOMA 2011"
 
Ni kama nilivyofikiri awali, fikra zangu hazikunidanganya kuwa baada ya kuyaandika haya watakuja vijana wa chadema walioamka na mning'inio kuanza kutukana na kutaja habari ya ndoa yangu na kila kashfa...

Kwa bahati mbaya, nililitegemea hilo tangu mwanzo kabisa hivyo halinikatishi tamaa hata kidogo...nitaendelea kuwaangushia vitu vizito vyenye ncha kali..

Sisi sio vijana wa Chadema ....sisi tunakata ISHu humu ndani toka miaka Hiyo hata kabla ukiwa umemaliza form six " Zitto hajakutafuta" .....Patamu hapo alikujua Mapema ....

Hapa tunachokihoji ni CONTENT ...dhaifu ya andiko lako la kujiliwaza ambalo linafanya tuhoji uwezo wa vyuo vyetu hasa kwa kuangalia uwezo wa wahitimu Kama wewe kua ARGUE ...
 
Ni kama nilivyofikiri awali, fikra zangu hazikunidanganya kuwa baada ya kuyaandika haya watakuja vijana wa chadema walioamka na mning'inio kuanza kutukana na kutaja habari ya ndoa yangu na kila kashfa...

Kwa bahati mbaya, nililitegemea hilo tangu mwanzo kabisa hivyo halinikatishi tamaa hata kidogo...nitaendelea kuwaangushia vitu vizito vyenye ncha kali..
I find you weeee....but where. Where are you my dear.
 
Juliana waliokuja sio wote ni vijana wa Chadema, sisi wengine sio Chadema, ila kiukweli, una matatizo ya 'deep rooted neurosis' bila wewe kujitua!. Usipoitibu, utapata 'frigidity!".

Pasco

Ni kawaida ya wafuasi wa chadema kuikana mbele ya macho ya watu.,labda ni kutokujiamini lakini najua ni kwa sababu ya ujinga, ujinga wa kutoelewa nini hasa wanakiamini na kukifuata. Nikikuuliza utaniambia wewe ni mwanaharakati.,nitashindwa kukuelewa unatofautisha vipi harakati zako na chadema.

kimsingi, Pasco wa JF, umeendelea kuonyesha ni kwa kiasi gani wewe ni mtu wa kudharauliwa, kwa matusi yako ambayo umejitahidi kuyatoa kwa ustadi mkubwa ili ushangiliwe na wajinga wenzako wa chadema...

zamani watu walikuona ni mtu mwenye kujielewa kiasi ila kila uchao unapoteza mvuto na utabaki kuwa sawa na manung'ayembe mengine yaliyojaa humu JF
 
Sisi sio vijana wa Chadema ....sisi tunakata ISHu humu ndani toka miaka Hiyo hata kabla ukiwa umemaliza form six " Zitto hajakutafuta" .....Patamu hapo alikujua Mapema ....

Hapa tunachokihoji ni CONTENT ...dhaifu ya andiko lako la kujiliwaza ambalo linafanya tuhoji uwezo wa vyuo vyetu hasa kwa kuangalia uwezo wa wahitimu Kama wewe kua ARGUE ...
SIJAONA KATIKA COMMENTS ZAKO ZOOOTE kwenye thread hii ambayo imejadili contents..,zote zinataja jina July na kumshambulia, hakuna iliyojibu ama kushambulia hoja.

Lakini hili pia linanirudisha kule kule kwenye andiko langu lililopita kuwa Vijana wa Chadema mna uwezo mdogo sana wa kufikiri...mdogo mno.
 
Ni Kijana wa Makamo mwenye jina kubwa katika medani za siasa nchini Tanzania, ni Kiongozi mwenye misimamo thabiti na ya kipekee, mwenye maamuzi makini yenye kushirikisha akili ipasavyo, ni msomi na mtaalamu wa uchumi, ni mtu ambaye hakati tamaa lakini pia ni mmoja katika watu ambao hawana hofu na hawaogopi..,hizo ni baadhi ya sifa zinazoambatana na Jina Ruyangwa Zubeir.

Binafsi nilikutana nae nikiwa nimemaliza kidato cha sita na naelekea kujiunga na Chuo Kikuu cha Mlimani - Dar es salaam. I didn't find him, he finds me.,kuanzia hapo akawa ni Kaka, Mshauri na Mwalimu wa siasa kwangu, tukashirikiana na kusaidiana katika kila lililohusu siasa na yaliyohusu maisha yetu nje ya siasa.

Siku moja alisafiri kuelekea Malaysia, akiwa huko akanipigia simu, akinieleza kuwa amepatwa na HOFU. Nikataka kuhoji juu ya hofu yake, akaniambia atazungumza na mimi akisharudi, kwa maneno yake alisema "Si vyema nikaielezea HOFU yangu kwa njia ya simu, tutazungumza" Nilimuelewa lakini nikabaki na sintofahamu na shauku ya kutaka kujua nini kilimfika Kaka yangu huyo kipenzi.

Aliporejea nchini, akafanya kama alivyoahidi, akaniita kuzungumza, ilikuwa ni Nyumbani kwa Kaka yake Zitto maeneo ya ADA estate Kinondoni, ndipo alipoizungumza hofu yake ambayo imekuwa ikimsumbua katika moyo na nafsi yake. Akanieleza "ndugu yangu, nimetumia nguvu kubwa ya kila namna katika kuijenga CHADEMA, nguvu na maarifa niliyowekeza ndani ya CHADEMA yanalenga kuboresha maisha ya watanzania na maisha yangu, lengo langu likiwa kuleta ukombozi wa kweli kwa watanzania, kuifanya CHADEMA kuwa mbadala wa CCM na kuipa nguvu CDM ili kuhakikisha inaikomboa Jamii iliyozama katika dimbwi la umasikini ya watanzania.."

Alipofika hapo, akaniangalia usoni na akatambua kuwa bado nilikuwa katika sintofahamu ya yale anayoyasema, akaendelea "Tumefanikiwa kuwafanya watanzania waiamini Chadema, lakini HOFU yangu ni kuwa hatujaiimarisha wala kuiandaa ipasavyo CDM kuwaongoza watanzania, bado katika chama chetu tunalo tatizo la Uongozi..,I HAVE A FEAR OF BEING RULED BY A LESSER"

Alipomaliza maongezi yake nikawa nimemuelewa nadhani kuliko mtu mwingine yeyote kwa wakati huo, na nikawa tayari kuungana nae katika kuondoa HOFU yake, hofu iliyojaa ndani ya kifua chake ya kuongozwa na watu dhaifu wasio na uwezo ndani ya Chama, wasio na maono, wasio na nia njema na waliokosa sifa kuu ya kiongozi bora ya UADILIFU. Zitto akanishauri nami nikaupokea ushauri huo kuwa "we should give the party A NEW BRAND..ili kiimarike zaidi na kiweze kuwakomboa watanzania.

Kwa bahati mbaya sana, na labda ni kwa sababu ya uchu wa madaraka, wenzetu hawakutuelewa, wakadhani na kufikiri kama alivyofikiri FARAO wakati MUSA alipomwambia, niacheni wana wa Israel wawe nyuma yangu, nitawaongoza katika nchi ya maziwa na asali.,Viongozi wa CHADEMA wakasema kama alivyosema FARAO, kuwa ninyi ni WASALITI, FARAO alimwambia MUSA nilikutwaa, nikakulea kama mwanangu na leo unataka kunisaliti..MUSA mwenye hekima aliyofundishwa na MUNGU mwenyewe, akawa hodari wa maneno na matendo akasema "SIFANYI haya kwa ajili ya nafsi yangu, bali kwa maslahi mapana ya Taifa hili" akawaambia maneno hayo wana wa Israeli pia kuwa " Njooni na mimi nitawaongoza njia, tokeni MISRI nitawaonyesha Nchi ya Maziwa na Asali:" nao wana wa Israeli hawakumsikiliza.

Ndio ni Zitto aliyeibua kashfa kubwa ndani ya Serikali na kuitingisha Serikali kwa kipindi chote alichokuwa bungeni, kwa HOJA zenye mashiko, ameibua kashfa za Buzwagi, Escrow na nyinginezo Kubwa ambazo zilitishia kuangusha utawala, hata mafanikio ya Upinzani katika chaguzi za hivi karibuni kwenye Serikali za mitaa unatokana na kazi hiyo ya Zitto bungeni, lakini bado WANA WA ISRAEL wanamuona ni MSALITI kwa sababu FARAO kawaambia kuwa huyo ni MSALITI.

CHAMA CHA SIASA hakiwezi kuendeshwa kwa matukio, ni siasa zilizopitwa na wakati kutengeneza matukio ili kukipa chama KICK, mara CCM wameingiza Kontena la kura feki, mara mashine za BVR zimechakachuliwa, mara DR Slaa anategewa sumu auawe, Mara CCM imeingiza mamluki wake ndani ya CDM na hivyo tutafukuza wasaliti wote, Mara mabomu kwenye mikutano yao, na kila kituko, CHAMA CHA SIASA HAKIFANIKIWI kwa kufanya siasa za vituko na matukio, muda wa kuomba sympathy kwa watanzania umeisha, CHADEMA kina umri wa miaka zaidi ya 20, KINGEWEZA KUWA TAYARI KIMEIMARIKA KAMA KINGEKUWA NA UONGOZI MAKINI NA IMARA, lakini bado kimebaki kuwa chama cha kiharakati ambacho watanzania bado wanahoji na wanakosa uhakika kuwa kinaweza kuwa chama cha siasa na kuweza kuwaongoza.

Zitto aliyaona haya miaka takribani 8 iliyopita, na akataka mabadiliko bahati mbaya akili ya ZITTO ilikuwa mbinguni na ALISHINDWA kui-connect ama kuwasiliama na WAFUASI na VIONGOZI waliopo ardhini na wengine ndani ya udongo ambao hawaoni chochote isipokuwa GIZA TOTORO, hakuna tofauti kwao baina ya mchana na usiku.

ZITTO atabaki kuwa MSALITI na CHADEMA itabaki kuwa ya WANAHARAKATI...
labda wewe zito humjui vizuri usimfananishe na musa,mtu ambaye ameshindwa kuishinda tamaa hivi wewe unaona zito ni kiongozi mzuri kwa lipi hasa kuongoza siyo kuibua tuhuma hata hizo tuhuma alikuwa anapewa na watu akazungumze siyo yeye alitafuta taarifa.ni vizuri ajifunze namna ya kuendesha siasa
 
hujaelewa nini kwenye hicho kiingereza?
Hebu onesha aina ya kosa lililotendeka hapo..
Jifunze kujibu hoja kwa hoja sio matusi

Unaonaje angesema ''I didnt find him, he found me'' manake she was talking the past. Badala ya kusema ''rejected brainy''' angesema rejected brain! Understand young man? Inaonekana na wewe ni product ya shule za kata kama huyo mwenzio Shonza! Rudini shule.
 
Juliana Shonza, anakabiliwa na tatizo la kisaikolojia linaloitwa 'deep rooted neurosis', tatizo la tatizo hilo halina any physical symptoms bali linatambulika kwa maneno na matendo ya mgonjwa huyo. Ndio maana majuzi ni Juliana huyu huyu amekuja kutuvulia chu.. yake humu hadharani kuhusu tatizo la vijana wa Chadema!. Baada ya watu kumtukana humu kuwa ni mala.. tuu ana amewavulia sana chu... CCM hadi kumchukua, lengo la thread hii sio kuelezea umuhimu wa ZZK bali kuonyesha walikuwa karibu kiasi na ZZK, ili wenye akili tuelewa kuwa kama kule alituhumiwa kuwavulia chu... CCM, sasa hii ndio taarifa kwenu kuwa hata ZZK alimvulia!, na mkizidi kumzonga mwishowe atatoa siri za wote aliowavulia chu...!.

Kisaikolojia, ukiona mtu anavaa sana mi cheni ya gold, mi pete, mihereni, ili kuonyesha how worth she is, ujue ametoka kwenye backround masikini sana, na ni masikini wa roho, hivyo ili kujifariji kuwa ana thamani kubwa, lazima aioneshee huo utajiri kwa worldly things!.

Juliana aliingia CCM kwa kishindo kikubwa na kupokelewa na JK mwenyewe, akajiona amethaminiwa sana, hivyo akajiaminisha she is so worthy kwa CCM!, lakini as times goes by, ameanza kujishtukia kuwa ndani ya CCM, she is totally worthless!. Kokosa thamani huku, kunampelekea kupata 'psychological depression' hivyo kujikuta anany'ong'onyea na kusononeka kimoyo moyo!, hana popote pa kutolea sononeka lake, hivyo kujikuta ana intense pressure inside her ilichanganyika na hasira ya kuwa ignored!. Namna pekee ya ku rease pressure hii ni strike on anything!, wanawake wengi huishia kulia, presure inashuka, anatulia, Juliana ni shujaa, yeye halii, bali ana strike kwa kuistab Chadema from back as an attention seeking mechanism, kuwajulisha CCM nipo, mnikumbuke!.

Juliana tafuta 'psychological concealing', haraka, kabla hiyo 'deep rooted neurosis' haijaanza kukutafuna ndani kwa ndani!, dalili za kutafuna ndani ni kwa kupata ugonjwa unaoitwa 'pseudo frigidity' ambapo atajikuta mumeo hana tena hamu ya ... na wewe!, ili kujipima, utajikuta unagawa kama pipi na kuwasikilizia hao unaowagaiya kama watasema 'tamu!', na sisi wanaume wa Kiafrika tulivyo wanafiki, ukigaiwa hata kama umekuta nothing!, bado utasema tuu 'tamu!', ili kumfariji mgawaji, ila atajikuta akishapita mtu harudi tena!.

Sasa huu ni uzi wa kumuulizia ZZK kuwa Juliana bado anakukumbuka na anayakumbuka mambo yako!, na kwa vile ZZK bado hajatangaza ndoa rasmi, hili ni tangazo la loneliness ya Juliana kuwa ZZK, I'm there for you!, bado nakukumbuka!, naomba unikumbuke!.

Mkuu ZZK, kama vipi, kumbushia dada yetu atulie, akieendelea kuachwa hivi hivi, mwisho wa siku, atavua chu.. hadharani, wa kujipitia wapite na kutazama watazame!.

Sisi tunaowapenda watu kama hawa huwa tunawaambia ukweli tuu ili kuwasadia!.

Ushauri kwa dada yetu Juliana, ili kujitunzia heshima kidogo uliobakiwa nayo wakati ukisubiria viti maalum mwezi October, maadam uko CCM, jikite kwenye kuhubiri sera za CCM!, Chadema achana nao kabisa!, kama lengo ni kumtafuta ZZK kukumbushia, mtafute kimya kimya, don't drag him kwenye njaa yako ili muonekane wewe na ZZK ni kitu kimoja!, badala ya` kumsaidia akukumbuke na kukutafuta kukumbushia!, ndio kwanza unamponza zaidi!.

Pasco.
.........................................................................................................................

Juliana Shonza,

Kuna wakati nilimuona Zitto kuwa ni kijana mwenye akili na mwenye mvuto kisiasa na nikajuwa yupo kwa ajili ya wananchi. Lakini baada ya sakata la Barrick na alipoanza kuelekezewa misaada jimboni kwake na Barrick na baada ya muda wa kuingizwa kwenye kamati ya madini na Kikwete akaanza kutembelea vogue, nikawa nna doubt nilivyomfikiria awali.

Juzi kuhusu suala la escrow na aliposhindwa kutetea hoja zake bungeni na mpaka alipoulizwa kuhusu na yeye kupokea fedha kutoka kwa Seth akajidai kujiliza bungeni na kusingizia kifo cha mama'ke, isitoshe, ile kukubali kila kilicho azimiwa awali na kamati yake kubadilishwa na nafasi yake kuchukuliwa bungeni na Anna Kilango, nikapata uhakika kabisa kuwa kijana ni bogus tena hafai kabisa na hana zaidi ya maslahi yake binafsi.
================================================================

Ebu Juli na Zitto zisomeni kwa makini hizo post mbili hapo juu.
 
Last edited by a moderator:
Sijaelewa Pasco sababu za kumshambulia kiasi hicho Juliana Shonza.

Unavisa gani na huyu binti ya watu ambae ni mke wa mtu?

Au kwakuwa kammsifia ZZK ambae inaonekana huna maslahi nae siku hizi?

Au unadhani jinsi anavyomsifia Zitto ndio atazidi kumharibia yeye na chama chake CDM na wewe unatamani kumuona akiwa ndani ya chama hicho?.

Au wewe umemtongoza huyu binti ya watu akakunyima kwahyo unatoa frustration zako hapa mtandaoni manake wewe na mabinti si haba?
 
Last edited by a moderator:
hata chege ni msomi mzuri sana lakini si kiongozi mzuri vilevile zito ni msemaji mzuri ila si kiongozi mzuri
 
  • Thanks
Reactions: 999
Hapo kwenye damu ya Kunguni umekosea. Damu ya Zito ni damu ya watu wa kigoma. Kwa mtu aliyewahi kuishi au kufanya kazi na watu wa kigoma atakuwa anaelewa nnachoongea. Watu wa kigoma ni watu wakorofi sana, sana.

ila umesema pia kuwa Zitto na Chenge wote wana damu ya kunguni kwamba wako kapu moja - interesting maana ni kweli Chenge na Zitto they have a lot in common!
 
Sijaelewa Pasco sababu za kumshambulia kiasi hicho Juliana Shonza.

Unavisa gani na huyu binti ya watu ambae ni mke wa mtu?

Au kwakuwa kammsifia ZZK ambae inaonekana huna maslahi nae siku hizi?

Au unadhani jinsi anavyomsifia Zitto ndio atazidi kumharibia yeye na chama chake CDM na wewe unatamani kumuona akiwa ndani ya chama hicho?.

Au wewe umemtongoza huyu binti ya watu akakunyima kwahyo unatoa frustration zako hapa mtandaoni manake wewe na mabinti si haba?

Pasco anajiheshimu na anaheshimika huku jukwaani kwa kuongea ukweli mtupu...Bila kujali unamuumiza nani.
 
Last edited by a moderator:
Tangia utimuliwe chadema bado unaweweseka
Unaendelea na utaendelea kuiwwaza chadema maisha yako yote, chadema walishasahau kama walikuwa na Shonza,
Na huu mkong'oto wa juzi waliopata CCM huko Mwanza, Shinyanga, na Sumbawabga unazidi kukuumiza,
Hivi kama Mbowe asingekuwa kiongozi mzuri kama unavyotaka kutuaminisha, chadema ingeendelea kustawi? Unamfananisha Mbowe na Zito?
Wewe endelea kupiga domo huko magambani CDM ni mwendo mdundo
 
Ni kawaida ya wafuasi wa chadema kuikana mbele ya macho ya watu.,labda ni kutokujiamini lakini najua ni kwa sababu ya ujinga, ujinga wa kutoelewa nini hasa wanakiamini na kukifuata. Nikikuuliza utaniambia wewe ni mwanaharakati.,nitashindwa kukuelewa unatofautisha vipi harakati zako na chadema.

kimsingi, Pasco wa JF, umeendelea kuonyesha ni kwa kiasi gani wewe ni mtu wa kudharauliwa, kwa matusi yako ambayo umejitahidi kuyatoa kwa ustadi mkubwa ili ushangiliwe na wajinga wenzako wa chadema...

zamani watu walikuona ni mtu mwenye kujielewa kiasi ila kila uchao unapoteza mvuto na utabaki kuwa sawa na manung'ayembe mengine yaliyojaa humu JF
Dada yangu Juliana, pole!, unamatatizo bila ya wewe kujijua!.

Pasco wa jf sio Chadema, hajawahi kuwa na hatawahi kuwa!.

Hayo niliyokueleza sio matusi ni ugonjwa na seriously ukiumwa magonjwa ya ndani, ukifika kwa daktari ni lazima umvulie!, hivyo hayo matatizo yako ya kisaikolojia ambayo wewe hujajijua, unapokuja humu kila uchao kutuvulia hiyo ..yako, wasiokujali wanakuacha tuu eundelee!, sisi tunaokujali ndio tunaokushauri, acha kutuvulia ,,na kutukalia ...!.
Mimi ni mwana saikolojia, hivyo nikisoma 'the motive behind' baadhi ya mabandiko yako, ni 'attention seeking!'. haitakusaidia huko ulipo, utaishia kutumika tuu kama pe.. na kuwa disposed off!.

Athari kubwa kwa tatizo lako sio siasa, sio chama bali ni familia!, please it from me!, kwa mwanamke, 'deep rooted neurosis' isipotibiwa, inaweza hata kusababisha 'frigidity!" na wengi wenye tatizo hili wanaweza wasijijue na kwa sababu haliwatesi wao!.

Pasco wa jf sio mwanachama wa chama chochote, hategeme cheo chochochote kutoka kwa yeyote, amekuwa hivyo toka uchaguzi wa 1995 alipokuja na "Mada Moto!" na baadae "Kiti Moto". Uchaguzi wa 2000 nikaja na "Ulingo wa Siasa!", uchaguzi wa 2005 nilikuwa UDSM na uchaguzi wa 2010 nilikuwa nahudumu kwa wazungu fulani!. Uchaguzi huu wa 2015 niko tena free, narudi tena ulingoni, CCM nitakuja, Chadema nikwenda, CUF nitapita na NCCR nitakanyaga, heshima yangu itabaki pale pale!, tena thank God huwa sithubutu kuwataja hawa wanasiasa wavua ch... wanaosubiri kupanda kisiasa kwa kupitia migongo ya watu, vinginevyo ungeniona!, ungenikimbia!.

Kiukweli Juliana nakupenda mno kwa ndati ndio maana nakuambia haya!, tibu tatizo lako!.
Ulipotimuliwa Chadema, sikumbuka kama kuna yeyoye aliyekulilia humu kama mimi!, naomba nikukumbushe tuu
[h=3]Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili ...[/h]
Pasco
 
Dada yangu Juliana, pole!, unamatatizo bila ya wewe kujijua!.

Pasco wa jf sio Chadema, hajawahi kuwa na hatawahi kuwa!.

Hayo niliyokueleza sio matusi ni ugonjwa na seriously ukiumwa magonjwa ya ndani, ukifika kwa daktari ni lazima umvulie!, hivyo hayo matatizo yako ya kisaikolojia ambayo wewe hujajijua, unapokuja humu kila uchao kutuvulia hiyo ..yako, wasiokujali wanakuacha tuu eundelee!, sisi tunaokujali ndio tunaokushauri, acha kutuvulia ,,na kutukalia ...!.
Mimi ni mwana saikolojia, hivyo nikisoma 'the motive behind' baadhi ya mabandiko yako, ni 'attention seeking!'. haitakusaidia huko ulipo, utaishia kutumika tuu kama pe.. na kuwa disposed off!.

Athari kubwa kwa tatizo lako sio siasa, sio chama bali ni familia!, please it from me!, kwa mwanamke, 'deep rooted neurosis' isipotibiwa, inaweza hata kusababisha 'frigidity!" na wengi wenye tatizo hili wanaweza wasijijue na kwa sababu haliwatesi wao!.

Pasco wa jf sio mwanachama wa chama chochote, hategeme cheo chochochote kutoka kwa yeyote, amekuwa hivyo toka uchaguzi wa 1995 alipokuja na "Mada Moto!" na baadae "Kiti Moto". Uchaguzi wa 2000 nikaja na "Ulingo wa Siasa!", uchaguzi wa 2005 nilikuwa UDSM na uchaguzi wa 2010 nilikuwa nahudumu kwa wazungu fulani!. Uchaguzi huu wa 2015 niko tena free, narudi tena ulingoni, CCM nitakuja, Chadema nikwenda, CUF nitapita na NCCR nitakanyaga, heshima yangu itabaki pale pale!, tena thank God huwa sithubutu kuwataja hawa wanasiasa wavua ch... wanaosubiri kupanda kisiasa kwa kupitia migongo ya watu, vinginevyo ungeniona!, ungenikimbia!.

Kiukweli Juliana nakupenda ndio maana nakuambia haya!, tibu tatizo lako!.

Pasco
Ndege Wafananao huruka pamoja

Mwanahabari Huru
 
Siasa za Bongo hazitaki watu makini, b'se majority ni daraja C.. Pass etc....

Sishangai Zitto , kitila mkumbo, prof. Yule wa CDM...

Hawa waunga unga unga shule kama Mnyika, Lema, Sugu, mch. Wa jimbo la Iringa etc ndio mashujaa, hii ndio Tanzania yetu.
 
Back
Top Bottom