Juliana Shonza, anakabiliwa na tatizo la kisaikolojia linaloitwa 'deep rooted neurosis', tatizo la tatizo hilo halina any physical symptoms bali linatambulika kwa maneno na matendo ya mgonjwa huyo. Ndio maana majuzi ni Juliana huyu huyu amekuja kutuvulia chu.. yake humu hadharani kuhusu tatizo la vijana wa Chadema!. Baada ya watu kumtukana humu kuwa ni mala.. tuu ana amewavulia sana chu... CCM hadi kumchukua, lengo la thread hii sio kuelezea umuhimu wa ZZK bali kuonyesha walikuwa karibu kiasi na ZZK, ili wenye akili tuelewa kuwa kama kule alituhumiwa kuwavulia chu... CCM, sasa hii ndio taarifa kwenu kuwa hata ZZK alimvulia!, na mkizidi kumzonga mwishowe atatoa siri za wote aliowavulia chu...!.
Kisaikolojia, ukiona mtu anavaa sana mi cheni ya gold, mi pete, mihereni, ili kuonyesha how worth she is, ujue ametoka kwenye backround masikini sana, na ni masikini wa roho, hivyo ili kujifariji kuwa ana thamani kubwa, lazima aioneshee huo utajiri kwa worldly things!.
Juliana aliingia CCM kwa kishindo kikubwa na kupokelewa na JK mwenyewe, akajiona amethaminiwa sana, hivyo akajiaminisha she is so worthy kwa CCM!, lakini as times goes by, ameanza kujishtukia kuwa ndani ya CCM, she is totally worthless!. Kokosa thamani huku, kunampelekea kupata 'psychological depression' hivyo kujikuta anany'ong'onyea na kusononeka kimoyo moyo!, hana popote pa kutolea sononeka lake, hivyo kujikuta ana intense pressure inside her ilichanganyika na hasira ya kuwa ignored!. Namna pekee ya ku rease pressure hii ni strike on anything!, wanawake wengi huishia kulia, presure inashuka, anatulia, Juliana ni shujaa, yeye halii, bali ana strike kwa kuistab Chadema from back as an attention seeking mechanism, kuwajulisha CCM nipo, mnikumbuke!.
Juliana tafuta 'psychological concealing', haraka, kabla hiyo 'deep rooted neurosis' haijaanza kukutafuna ndani kwa ndani!, dalili za kutafuna ndani ni kwa kupata ugonjwa unaoitwa 'pseudo frigidity' ambapo atajikuta mumeo hana tena hamu ya ... na wewe!, ili kujipima, utajikuta unagawa kama pipi na kuwasikilizia hao unaowagaiya kama watasema 'tamu!', na sisi wanaume wa Kiafrika tulivyo wanafiki, ukigaiwa hata kama umekuta nothing!, bado utasema tuu 'tamu!', ili kumfariji mgawaji, ila atajikuta akishapita mtu harudi tena!.
Sasa huu ni uzi wa kumuulizia ZZK kuwa Juliana bado anakukumbuka na anayakumbuka mambo yako!, na kwa vile ZZK bado hajatangaza ndoa rasmi, hili ni tangazo la loneliness ya Juliana kuwa ZZK, I'm there for you!, bado nakukumbuka!, naomba unikumbuke!.
Mkuu ZZK, kama vipi, kumbushia dada yetu atulie, akieendelea kuachwa hivi hivi, mwisho wa siku, atavua chu.. hadharani, wa kujipitia wapite na kutazama watazame!.
Sisi tunaowapenda watu kama hawa huwa tunawaambia ukweli tuu ili kuwasadia!.
Ushauri kwa dada yetu Juliana, ili kujitunzia heshima kidogo uliobakiwa nayo wakati ukisubiria viti maalum mwezi October, maadam uko CCM, jikite kwenye kuhubiri sera za CCM!, Chadema achana nao kabisa!, kama lengo ni kumtafuta ZZK kukumbushia, mtafute kimya kimya, don't drag him kwenye njaa yako ili muonekane wewe na ZZK ni kitu kimoja!, badala ya` kumsaidia akukumbuke na kukutafuta kukumbushia!, ndio kwanza unamponza zaidi!.
Pasco.