Zitto Kabwe: Adui, Rafiki, Kipenzi

Zitto Kabwe: Adui, Rafiki, Kipenzi

​hivi huko SISIEM wwe ni nani???mana ungekuwa na u-DC ungepewa ukuu wa Wilaya
 
Juliana Shonza kwanza hakuna Chuo Kikuu cha Mlimani. Pili,kiingereza hakikupendi hivyo achana nacho. Tatu,hongera kwa kujua kutumia computer na mitandao kwa ujumla. Nne,CHADEMA na Zitto hawakuhusu. Tano,maDC wameshateuliwa. Sita,msalimie shemeji.
Ni mjinga tu ambaye hatamuelewa mtu anamaanisha chuo gani pale anapotumia maneno "CHUO KIKUU CHA MLIMANI"
 
jamani kumbe escrow iliibuliwa na zitto?nilikua sijui hili.btw mnanipa raha sana kukiri kuwa cdm imewafanya kitu mbaya serikali za mitaa.
 
Naungana na mtoa mada.Zitto atabaki kuwa mwanasiasa shupavu, makini na mwenye msimamo.Hakika hii ni tunu kwa taifa letu.Hizo siasa uchwara na za kumchafua bado hazimuondolei uimara wake.Chama hakiwezi kuongozwa kwa jazba,ubabe,tetesi na kufukuza walio na mawazo tofauti ya mfalme wa chama.
 
sasa kama unampenda zitto si uhame ccm uende kwenye chama chake cha act
 
Juliana Shonza kwanza hakuna Chuo Kikuu cha Mlimani. Pili,kiingereza hakikupendi hivyo achana nacho. Tatu,hongera kwa kujua kutumia computer na mitandao kwa ujumla. Nne,CHADEMA na Zitto hawakuhusu. Tano,maDC wameshateuliwa. Sita,msalimie shemeji.

Yaani ni majanga kabisa. Huyu ndio majuzi alikuja na hoja eti ana mashaka na elimu ya vijana wenzake. Anyway, ngoja vijana wenzake waje watamjibu.
 
Last edited by a moderator:
CDM imekua,sasa kuna viongozi wa vitongoji na mitaa wa chadema,mnataka uongozi ufanye nn kingine?
 
Yaani ni majanga kabisa. Huyu ndio majuzi alikuja na hoja eti ana mashaka na elimu ya vijana wenzake. Anyway, ngoja vijana wenzake waje watamjibu.
Vipi huyo ambaye hajui chuo kikuu cha mlimani, elimu yake haina mashaka kweli?
 
Ni Kijana wa Makamo mwenye jina kubwa katika medani za siasa nchini Tanzania, ni Kiongozi mwenye misimamo thabiti na ya kipekee, mwenye maamuzi makini yenye kushirikisha akili ipasavyo, ni msomi na mtaalamu wa uchumi, ni mtu ambaye hakati tamaa lakini pia ni mmoja katika watu ambao hawana hofu na hawaogopi..,hizo ni baadhi ya sifa zinazoambatana na Jina Ruyangwa Zubeir.

Binafsi nilikutana nae nikiwa nimemaliza kidato cha sita na naelekea kujiunga na Chuo Kikuu cha Mlimani - Dar es salaam. I didn't find him, he finds me.,kuanzia hapo akawa ni Kaka, Mshauri na Mwalimu wa siasa kwangu, tukashirikiana na kusaidiana katika kila lililohusu siasa na yaliyohusu maisha yetu nje ya siasa.

Siku moja alisafiri kuelekea Malaysia, akiwa huko akanipigia simu, akinieleza kuwa amepatwa na HOFU. Nikataka kuhoji juu ya hofu yake, akaniambia atazungumza na mimi akisharudi, kwa maneno yake alisema "Si vyema nikaielezea HOFU yangu kwa njia ya simu, tutazungumza" Nilimuelewa lakini nikabaki na sintofahamu na shauku ya kutaka kujua nini kilimfika Kaka yangu huyo kipenzi.

Aliporejea nchini, akafanya kama alivyoahidi, akaniita kuzungumza, ilikuwa ni Nyumbani kwa Kaka yake Zitto maeneo ya ADA estate Kinondoni, ndipo alipoizungumza hofu yake ambayo imekuwa ikimsumbua katika moyo na nafsi yake. Akanieleza "ndugu yangu, nimetumia nguvu kubwa ya kila namna katika kuijenga CHADEMA, nguvu na maarifa niliyowekeza ndani ya CHADEMA yanalenga kuboresha maisha ya watanzania na maisha yangu, lengo langu likiwa kuleta ukombozi wa kweli kwa watanzania, kuifanya CHADEMA kuwa mbadala wa CCM na kuipa nguvu CDM ili kuhakikisha inaikomboa Jamii iliyozama katika dimbwi la umasikini ya watanzania.."

Alipofika hapo, akaniangalia usoni na akatambua kuwa bado nilikuwa katika sintofahamu ya yale anayoyasema, akaendelea "Tumefanikiwa kuwafanya watanzania waiamini Chadema, lakini HOFU yangu ni kuwa hatujaiimarisha wala kuiandaa ipasavyo CDM kuwaongoza watanzania, bado katika chama chetu tunalo tatizo la Uongozi..,I HAVE A FEAR OF BEING RULED BY A LESSER"

Alipomaliza maongezi yake nikawa nimemuelewa nadhani kuliko mtu mwingine yeyote kwa wakati huo, na nikawa tayari kuungana nae katika kuondoa HOFU yake, hofu iliyojaa ndani ya kifua chake ya kuongozwa na watu dhaifu wasio na uwezo ndani ya Chama, wasio na maono, wasio na nia njema na waliokosa sifa kuu ya kiongozi bora ya UADILIFU. Zitto akanishauri nami nikaupokea ushauri huo kuwa "we should give the party A NEW BRAND..ili kiimarike zaidi na kiweze kuwakomboa watanzania.

Kwa bahati mbaya sana, na labda ni kwa sababu ya uchu wa madaraka, wenzetu hawakutuelewa, wakadhani na kufikiri kama alivyofikiri FARAO wakati MUSA alipomwambia, niacheni wana wa Israel wawe nyuma yangu, nitawaongoza katika nchi ya maziwa na asali.,Viongozi wa CHADEMA wakasema kama alivyosema FARAO, kuwa ninyi ni WASALITI, FARAO alimwambia MUSA nilikutwaa, nikakulea kama mwanangu na leo unataka kunisaliti..MUSA mwenye hekima aliyofundishwa na MUNGU mwenyewe, akawa hodari wa maneno na matendo akasema "SIFANYI haya kwa ajili ya nafsi yangu, bali kwa maslahi mapana ya Taifa hili" akawaambia maneno hayo wana wa Israeli pia kuwa " Njooni na mimi nitawaongoza njia, tokeni MISRI nitawaonyesha Nchi ya Maziwa na Asali:" nao wana wa Israeli hawakumsikiliza.

Ndio ni Zitto aliyeibua kashfa kubwa ndani ya Serikali na kuitingisha Serikali kwa kipindi chote alichokuwa bungeni, kwa HOJA zenye mashiko, ameibua kashfa za Buzwagi, Escrow na nyinginezo Kubwa ambazo zilitishia kuangusha utawala, hata mafanikio ya Upinzani katika chaguzi za hivi karibuni kwenye Serikali za mitaa unatokana na kazi hiyo ya Zitto bungeni, lakini bado WANA WA ISRAEL wanamuona ni MSALITI kwa sababu FARAO kawaambia kuwa huyo ni MSALITI.

CHAMA CHA SIASA hakiwezi kuendeshwa kwa matukio, ni siasa zilizopitwa na wakati kutengeneza matukio ili kukipa chama KICK, mara CCM wameingiza Kontena la kura feki, mara mashine za BVR zimechakachuliwa, mara DR Slaa anategewa sumu auawe, Mara CCM imeingiza mamluki wake ndani ya CDM na hivyo tutafukuza wasaliti wote, Mara mabomu kwenye mikutano yao, na kila kituko, CHAMA CHA SIASA HAKIFANIKIWI kwa kufanya siasa za vituko na matukio, muda wa kuomba sympathy kwa watanzania umeisha, CHADEMA kina umri wa miaka zaidi ya 20, KINGEWEZA KUWA TAYARI KIMEIMARIKA KAMA KINGEKUWA NA UONGOZI MAKINI NA IMARA, lakini bado kimebaki kuwa chama cha kiharakati ambacho watanzania bado wanahoji na wanakosa uhakika kuwa kinaweza kuwa chama cha siasa na kuweza kuwaongoza.

Zitto aliyaona haya miaka takribani 8 iliyopita, na akataka mabadiliko bahati mbaya akili ya ZITTO ilikuwa mbinguni na ALISHINDWA kui-connect ama kuwasiliama na WAFUASI na VIONGOZI waliopo ardhini na wengine ndani ya udongo ambao hawaoni chochote isipokuwa GIZA TOTORO, hakuna tofauti kwao baina ya mchana na usiku.

ZITTO atabaki kuwa MSALITI na CHADEMA itabaki kuwa ya WANAHARAKATI...

Umesema yote mazuri kuhusu Zitto Kabwe na tumekusikia,Now I am posing a practical question to you:Je,unaiamini ripoti ya Kamati ya Zitto kuhusu kashfa ya ESCROW ambayo iliwang'oa akina Mhongo,Tibaijuka,Werema,Maswi na kuwaacha akina Mkuya,Pinda na maofisa waandamizi wa ikulu?
 
Ndoa ni majanga sana siku hizi, sasa huyu mwanamke utasema usiku alikuwa na mume wake? kumbe anafikiria wanaume wengine tu.

moyo wa mtu Kiza.

Nadhani mume wa huyu mama ni Bushoke, mwanamke umeshaolewa lakini huishi kumsifia bwana wa zamani mbele ya mumeo!! heshimu hata wakwe na ndugu kama mume hana sauti mbele yako!
 
Juliana Shonza,

Kuna wakati nilimuona Zitto kuwa ni kijana mwenye akili na mwenye mvuto kisiasa na nikajuwa yupo kwa ajili ya wananchi. Lakini baada ya sakata la Barrick na alipoanza kuelekezewa misaada jimboni kwake na Barrick na baada ya muda wa kuingizwa kwenye kamati ya madini na Kikwete akaanza kutembelea vogue, nikawa nna doubt nilivyomfikiria awali.

Juzi kuhusu suala la escrow na aliposhindwa kutetea hoja zake bungeni na mpaka alipoulizwa kuhusu na yeye kupokea fedha kutoka kwa Seth akajidai kujiliza bungeni na kusingizia kifo cha mama'ke, isitoshe, ile kukubali kila kilicho azimiwa awali na kamati yake kubadilishwa na nafasi yake kuchukuliwa bungeni na Anna Kilango, nikapata uhakika kabisa kuwa kijana ni bogus tena hafai kabisa na hana zaidi ya maslahi yake binafsi.
 
I didn't find him,he finds me!!!!!!what kind of english is that?!!!!mama umeolewa tulia na mmeo,kama hawezi kupiga kazi pole.Zitto alishawahi kusema mkome kumuhusisha kwenye mambo yenu.

hujaelewa nini kwenye hicho kiingereza?
Hebu onesha aina ya kosa lililotendeka hapo..
Jifunze kujibu hoja kwa hoja sio matusi
 
Ni Kijana wa Makamo mwenye jina kubwa katika medani za siasa nchini Tanzania, ni Kiongozi mwenye misimamo thabiti na ya kipekee, mwenye maamuzi makini yenye kushirikisha akili ipasavyo, ni msomi na mtaalamu wa uchumi, ni mtu ambaye hakati tamaa lakini pia ni mmoja katika watu ambao hawana hofu na hawaogopi..,hizo ni baadhi ya sifa zinazoambatana na Jina Ruyangwa Zubeir.

Binafsi nilikutana nae nikiwa nimemaliza kidato cha sita na naelekea kujiunga na Chuo Kikuu cha Mlimani - Dar es salaam. I didn't find him, he finds me.,kuanzia hapo akawa ni Kaka, Mshauri na Mwalimu wa siasa kwangu, tukashirikiana na kusaidiana katika kila lililohusu siasa na yaliyohusu maisha yetu nje ya siasa.

Siku moja alisafiri kuelekea Malaysia, akiwa huko akanipigia simu, akinieleza kuwa amepatwa na HOFU. Nikataka kuhoji juu ya hofu yake, akaniambia atazungumza na mimi akisharudi, kwa maneno yake alisema "Si vyema nikaielezea HOFU yangu kwa njia ya simu, tutazungumza" Nilimuelewa lakini nikabaki na sintofahamu na shauku ya kutaka kujua nini kilimfika Kaka yangu huyo kipenzi.

Aliporejea nchini, akafanya kama alivyoahidi, akaniita kuzungumza, ilikuwa ni Nyumbani kwa Kaka yake Zitto maeneo ya ADA estate Kinondoni, ndipo alipoizungumza hofu yake ambayo imekuwa ikimsumbua katika moyo na nafsi yake. Akanieleza "ndugu yangu, nimetumia nguvu kubwa ya kila namna katika kuijenga CHADEMA, nguvu na maarifa niliyowekeza ndani ya CHADEMA yanalenga kuboresha maisha ya watanzania na maisha yangu, lengo langu likiwa kuleta ukombozi wa kweli kwa watanzania, kuifanya CHADEMA kuwa mbadala wa CCM na kuipa nguvu CDM ili kuhakikisha inaikomboa Jamii iliyozama katika dimbwi la umasikini ya watanzania.."

Alipofika hapo, akaniangalia usoni na akatambua kuwa bado nilikuwa katika sintofahamu ya yale anayoyasema, akaendelea "Tumefanikiwa kuwafanya watanzania waiamini Chadema, lakini HOFU yangu ni kuwa hatujaiimarisha wala kuiandaa ipasavyo CDM kuwaongoza watanzania, bado katika chama chetu tunalo tatizo la Uongozi..,I HAVE A FEAR OF BEING RULED BY A LESSER"

Alipomaliza maongezi yake nikawa nimemuelewa nadhani kuliko mtu mwingine yeyote kwa wakati huo, na nikawa tayari kuungana nae katika kuondoa HOFU yake, hofu iliyojaa ndani ya kifua chake ya kuongozwa na watu dhaifu wasio na uwezo ndani ya Chama, wasio na maono, wasio na nia njema na waliokosa sifa kuu ya kiongozi bora ya UADILIFU. Zitto akanishauri nami nikaupokea ushauri huo kuwa "we should give the party A NEW BRAND..ili kiimarike zaidi na kiweze kuwakomboa watanzania.

Kwa bahati mbaya sana, na labda ni kwa sababu ya uchu wa madaraka, wenzetu hawakutuelewa, wakadhani na kufikiri kama alivyofikiri FARAO wakati MUSA alipomwambia, niacheni wana wa Israel wawe nyuma yangu, nitawaongoza katika nchi ya maziwa na asali.,Viongozi wa CHADEMA wakasema kama alivyosema FARAO, kuwa ninyi ni WASALITI, FARAO alimwambia MUSA nilikutwaa, nikakulea kama mwanangu na leo unataka kunisaliti..MUSA mwenye hekima aliyofundishwa na MUNGU mwenyewe, akawa hodari wa maneno na matendo akasema "SIFANYI haya kwa ajili ya nafsi yangu, bali kwa maslahi mapana ya Taifa hili" akawaambia maneno hayo wana wa Israeli pia kuwa " Njooni na mimi nitawaongoza njia, tokeni MISRI nitawaonyesha Nchi ya Maziwa na Asali:" nao wana wa Israeli hawakumsikiliza.

Ndio ni Zitto aliyeibua kashfa kubwa ndani ya Serikali na kuitingisha Serikali kwa kipindi chote alichokuwa bungeni, kwa HOJA zenye mashiko, ameibua kashfa za Buzwagi, Escrow na nyinginezo Kubwa ambazo zilitishia kuangusha utawala, hata mafanikio ya Upinzani katika chaguzi za hivi karibuni kwenye Serikali za mitaa unatokana na kazi hiyo ya Zitto bungeni, lakini bado WANA WA ISRAEL wanamuona ni MSALITI kwa sababu FARAO kawaambia kuwa huyo ni MSALITI.

CHAMA CHA SIASA hakiwezi kuendeshwa kwa matukio, ni siasa zilizopitwa na wakati kutengeneza matukio ili kukipa chama KICK, mara CCM wameingiza Kontena la kura feki, mara mashine za BVR zimechakachuliwa, mara DR Slaa anategewa sumu auawe, Mara CCM imeingiza mamluki wake ndani ya CDM na hivyo tutafukuza wasaliti wote, Mara mabomu kwenye mikutano yao, na kila kituko, CHAMA CHA SIASA HAKIFANIKIWI kwa kufanya siasa za vituko na matukio, muda wa kuomba sympathy kwa watanzania umeisha, CHADEMA kina umri wa miaka zaidi ya 20, KINGEWEZA KUWA TAYARI KIMEIMARIKA KAMA KINGEKUWA NA UONGOZI MAKINI NA IMARA, lakini bado kimebaki kuwa chama cha kiharakati ambacho watanzania bado wanahoji na wanakosa uhakika kuwa kinaweza kuwa chama cha siasa na kuweza kuwaongoza.

Zitto aliyaona haya miaka takribani 8 iliyopita, na akataka mabadiliko bahati mbaya akili ya ZITTO ilikuwa mbinguni na ALISHINDWA kui-connect ama kuwasiliama na WAFUASI na VIONGOZI waliopo ardhini na wengine ndani ya udongo ambao hawaoni chochote isipokuwa GIZA TOTORO, hakuna tofauti kwao baina ya mchana na usiku.

ZITTO atabaki kuwa MSALITI na CHADEMA itabaki kuwa ya WANAHARAKATI...

Wewe ndo ulisema una elimu na cv kuliko vijana wa BAVICHA wote duh.....!! Mumeo kala hasara kumbe Zitto nae ulishawahi kumliwaza
 
Sasa angalia ujue hili jitu ni likenge, leo kamsifia Zito shupavu na msomi wakat maada yake ya juz ilisema vijama wa upinzan hawana uwezo wa fikra na hawajasoma
Iweje leo amsifie Zito ni msomi? Ukisema uongo jaribu kukumbuka uongo wako ila ww unajidhalilisha tu Juliana Shonza
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom