Handsome Boy 2014
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 605
- 152
Bado nina imani na Zitto,japokuwa maadui wake kisiasa wanamuwinda kila kukicha.
Luqman hapa nimekuvulia kofia wewe ni mbaya
kunawatu wengi watamuona zitto shujaa eti alitaka kumuwajibisha pinda. kwanza mtu wakwanza kusema itamuhusu mpaka punda hakua olesendika bali alikua wenje baada ya kuona zitto akizomewa ndipo alipo fwata Olesendeka?.
ISSUE nioendekezo gani hilo lililo ungwa mkono na zitto?
bunge litoe azimio kumtaka Rais afikilie namna ya kumuwajibisha katibu mkuu wa wizara
ndipo zitto akasema hilo azimio litumike mpaka kwa Pinda
swali je liilikua azimio sahihi?
bunge lenye uwezo wakupiga kura ya kumn'goa pinda ndio litumike kumuomba Rais afikilie kumn'goa Pinda. kama sio unafki ni nini? Rais huyu huyu ndio amuwajibishe PM wakati hata kumuwajibisha muhongo tu ameshindwa? zitto alijua azimio hilo halitekelezeki kama ilivyo kwa azimio la rais kuwawajibisha viongozi wa kamati. hapa ndipo utakapo jua unafki wa zitto.
Ni ukwel mtupu, naunga mkono hoja mia kwa mia!Hakika zitto ni
kijana msomi uwezo wake na weledi wake n wakutukuka.ameonyesha njia na
nia na kuwa mfano wa kuigwa kwa wanasiasa wasomi hasa vijana.hakika
bwana huyu amaeonyesha uwezo wake na kukubalika bila ya unafiki mkubwa
kwa makundi yote ya siasa upinzani na hata chama tawala wanajua huyu
jamaa ni akili kubwa na kwa ukwel uliowazi n kuwa huyu ni miongon mwa
hazina ghali sana na tunu iliyotukuka kwa taifa letu.amezongwa na mengi
amepitia magumu na machungu mengi amejizzolea pia maadui wengi kutoka
pande zote bali amesimama imara bila kutetereka na mwishowe maadui zake
wameishia kupata aibu.lakin mh zitto asikate tamaa kwan afaham kuwa mti
mzuri ndo hurushiwa mawe.mh zitto endelea kutekeleza wajibu wako kwa
jamii kuitoa jamii gizan na umaskin uliokithiri endelea kutekeleza
wajibu wako kwa weledi,hekima,busara uadilifu na kutenda haki uliomkubwa
wwe ni hazina na tunu iliyotukuka kwa taifa letu songa mbele.kazana
huko mbele banapo uzima uliongoze taifa letu la tanzania na kulirudisha
kwenye mstari ulionyooka wa uadilifu na haki
alluta continua
alluta continua
alluta continua
mapambano yanaendelea katika
kufuta ujinga
umaskini
ufisadi na ubadhirifu
Kupata huduma bora za kiafya
Upatikanaji wa maji safi na salama
NAOMbA KuWasilisHA
uwezekano wa Rais kiumuwajibisha PM ulikua mdogo sana yaan lile lingekua azimio la kisiasa lisilo wezekana ila kutaka sifa, Lissu alisema bunge linauwezo wa kumuwajibisha PM sasa kwann iende kwa Rais?kushindwa kwa raisi kumuwajibisha mhongo au PM iweje liwe kosa la Zitto?
uwezekano wa Rais kiumuwajibisha PM ulikua mdogo sana yaan lile lingekua azimio la kisiasa lisilo wezekana ila kutaka sifa, Lissu alisema bunge linauwezo wa kumuwajibisha PM sasa kwann iende kwa Rais?
Mleta mada anafikiri sisi wote ni wapuuzi, angemsifia zitto kwa hoja za kweli, anafikiri tumesahau kuwa Ole sendeka ndie aliestukia na Wenje akasisitiza ipaki kama zitto alivyo sema.
wacha uongo wewe, Siku ya uzinduzi wa Kampeni Jangwani nilikuwepo, na Zitto alikuwa miongoni mwa wazungumzaji wakuu, na alizungumza
Hujamalizia 2010 hiyo hiyo majimbo aliyopita kuwapigia kampeni ambayo kazi hata mwenyekiti wa chama ilimshinda kufanya asilimia 94 wote walipita na kuwa wabunge na wakayi wanaapishwa walikuwa wakisema shukrani Zitto na hadi kesho wanakiri kuwepo kwa Zitto katika kampeni ndio yshindi wao mkubwa,malizia na hili kuwa ndio mbunge wa upinzani aliyekuja na hoja nyingi sana kuliko wabunge wote