Zitto Kabwe achunguzwa kuvuna PAP

Zitto Kabwe achunguzwa kuvuna PAP

Hivi mbona munakua na akili ndogo hzo nyaraka ziliibuliwa kipindi kile PAC wananasilisha masuala ya escrow ilikua ni upuuzi wa kubumba lkn siwashangai nyie watazania mna wivu hampendi kuona mtu anang'ara kwa lolote juu ya mafanikio yake ndo haya haya ya diamond mnamfanyia shinda kweli nyie. Wivu usio na maana kabisa mtu anasapoti ujinga kweli hamtaweza fka.

Hivi Weeeee mgeni kwenye hii Nchi, kama una psychological problem kafanyiwe counselling, Maana umechomoka akili
 
milioni 10!ha ha ha ha ha!!

Watanzania bana hadi raha tunapenda mno TUHUMA Za kitoto
Yaan kwa RG kiasi kidogo kabisa kilikuwa 40m
Kwa hiyo zito ndo apewe 10ml
Kweli dili la zaidi Ya 300 bl
Halafu mtu mwenye nyaraka mhim apewe 10m ?
 
Watanzania bana hadi raha tunapenda mno TUHUMA Za kitoto
Yaan kwa RG kiasi kidogo kabisa kilikuwa 40m
Kwa hiyo zito ndo apewe 10ml
Kweli dili la zaidi Ya 300 bl
Halafu mtu mwenye nyaraka mhim apewe 10m ?

Dr.Omar Juma alishasema tatizo la watanzania wanahongwa pesa ndogo mno, ndo maana kinawauma baada ya kugundua kule kwa ruge kumbe kulikuwa na mishiko mirefu, mbona kapewa nyingi unawajua masingasinga wewe?
 
Ok, hujaridhika kuwa Sugu, lisu na lema wameitendea haki nafasi zao kama wabunge kwa jamii? Nini wajibu wa mbunge? Au kwako wewe mbunge bora ni yupi?

Nimeridhika na naamini ni makamanda hodari na wanawajibika ipasavyo, ndo maana nawasihi wamshike mkono wamtoe nje na huyu kotapini
 
Watanzania bana hadi raha tunapenda mno TUHUMA Za kitoto
Yaan kwa RG kiasi kidogo kabisa kilikuwa 40m
Kwa hiyo zito ndo apewe 10ml
Kweli dili la zaidi Ya 300 bl
Halafu mtu mwenye nyaraka mhim apewe 10m ?

Sasa unaweweseka nini ndugu...inashauriwa tu achunguzwe, so atakayethibitisha amaepokea MIL 10 au BIL 10 ni ripoti kama ile aliyowasilisha yeye bungeni...uoga wa nini ?
 
Hivi mbona munakua na akili ndogo hzo nyaraka ziliibuliwa kipindi kile PAC wananasilisha masuala ya escrow ilikua ni upuuzi wa kubumba lkn siwashangai nyie watazania mna wivu hampendi kuona mtu anang'ara kwa lolote juu ya mafanikio yake ndo haya haya ya diamond mnamfanyia shinda kweli nyie. Wivu usio na maana kabisa mtu anasapoti ujinga kweli hamtaweza fka.

Kama mlivyomuonea wivu muhongo
 
WE ARE NOT SERIOUS, ANATUHUMIWA KUPOKEA MILIONI 15??? TANZANIA NI ZAIDI YA UIJUAVYO. HAPO SIJUI UCHUNGUZI HUO UTATUMIA SHILINGI NGAPI??? NADHANI ZITATUMIKA ZAIDI YA Shs MILIONI 400 KUCHUNGUZA MILIONI 15??? INATIA HURUMA
KWELI CCM IMEISHA KTK RAMANI, IYO NI ELA KIDUCHU AMBAYO HATA MIMI KAPUKU NINGEWEZA KUMPATIA ZZK

Wengine hawakupokea hata shilingi mliwashadadia waondoke milioni kumi nyingi sana nasema ATIMULIWE TU
 
Nimeridhika na naamini ni makamanda hodari na wanawajibika ipasavyo, ndo maana nawasihi wamshike mkono wamtoe nje na huyu kotapini

Ok hapo kiongozi umesomeka vizuri sana.Tupo pamoja kiongozi
 
Tayari tumeshatuma ujumbe kwa RPC wa dodoma kuomba kibali cha kuandamana, pia tunaandaa barua ya kumpelekea mama makinda kumwomba amwondoe kupisha uchunguzi. ieleweke hatujamtuhumu wizi ila tunataka kujiridhisha kuwa ni mtu safi kuendelea kusimamia rasilimali zetu kupitia PAC.
 
WE ARE NOT SERIOUS, ANATUHUMIWA KUPOKEA MILIONI 15??? TANZANIA NI ZAIDI YA UIJUAVYO. HAPO SIJUI UCHUNGUZI HUO UTATUMIA SHILINGI NGAPI??? NADHANI ZITATUMIKA ZAIDI YA Shs MILIONI 400 KUCHUNGUZA MILIONI 15??? INATIA HURUMA
KWELI CCM IMEISHA KTK RAMANI, IYO NI ELA KIDUCHU AMBAYO HATA MIMI KAPUKU NINGEWEZA KUMPATIA ZZK

Mkuu finishing yako inaonyesha unashida, kwani uchunguzi huwa unafanywa nanani?
 
Simpendi kabisa zitto hasa kwa unafiki wake. Lakini nachukia sn km takukuru wanachunguza mil 10 wkt kuna mabilioni hawatuambii yanachunguzwa na nani na lini. Mbona hawajasema wanachunguza lini maafisa wa ikulu waliomchukulia kikwete mgao wa escrow???? Au wale maafisa waliohuku mgao kwa niaba y pinda mpaka akapata nguvu za utetea wizi mkubwa namna ile. Kwa nini hawamchunguz tibaijuka ili aseme kwa uwazi kati ya zile 1.2bil alimgawia pinda kikwete naviongozi wengine waandamizi kiasi gani?? Au kwa nn hawatuambii wanachunguza lini pesa zile zilizobebwa kwa lumbesa na Rambo pale stanbic?
BINAFSI SIKUBALIANI NAUHUNI ULIOPITILIZ NAMNA HII.

Akili yako ndogo, huna hoja toka ndani ya box.
 
baada ya kupigwa nje-ndani naona mmepata pa kupumulia. yani wiki-jana iliisha vibaya sana kwenu, mlijifungia ndani kama panya. hahahaha!!! msalimie TataMadiba

We hujui siasa ya Nchi hii, wiki jana tulikuwa na furaha zaidi, Maana tulijuwa mlichokuwa mnakitaka, ndo hamtaweza kukipata tena mrudi tuu shimoni mkafanye udalali wa vitunguu.
 
Zitto yupo bungeni kwa huruma ya mahakamani kama amekula hizo pesa anatakiwa kuacha uenyekiti wa PAC kwanza huyu zito tulisema kibaraka wa ccm mkabisha ccm ukoo wa panya wote mafisadi wakubwa zitto ni bonge la fisadi
 
Zitto yupo bungeni kwa huruma ya mahakamani kama amekula hizo pesa anatakiwa kuacha uenyekiti wa PAC kwanza huyu zito tulisema kibaraka wa ccm mkabisha ccm ukoo wa panya wote mafisadi wakubwa zitto ni bonge la fisadi
Kwani PCCB wao wanasemaje? Katika uchunguzi wao hawakuona,?
 
Ninachofahamu fika ni kuwa wahalifu waliungana kumkomoa Muhongo. Wapo waliomchukia Muhongo kutokana na kuwazibia ulaji (Mkono et al), wapo waliomchukia Muhongo kwa kuwazuia wasihodhi utajiri wa mali asilia ambayo ni kwa manufaa ya wote (Mengi et al), wapo waliotaka kumkomoa Muhongo kwa kuwaeleza ukweli wao juu ya uwezo na uelewa wao mdogo kuhusu sekta ya madini na gas (Zito, Olesendeka et al.), na pia wapo waliofanya kazi ya kumwondoa Muhongo katika nafasi yake ili biashara zao ziweze kuendelea vizuri (Zito, Olesendeka et al.), wapo waliofanya kazi ya kumwondoa Muhongo kwaajili ya faida za kisiasa (wengi wa wabunge wa upinzani), wapo waliofanya kwa nia ya kumkomoa Kikwete (baadhi ya wabunge wa CCM), na wapo waliofanya jitihada ya kumwondoa Muhongo ili wapate nafasi za uwaziri (Filikunjombe et al.), mwisho kabisa tupo tulioshabikia bila kuwa na msingi wowote ule.

Ukiona una nchi ambayo waovu wanaweza kuungana kutimiza malengo yao na wakafanikiwa kuwa na viongozi wanaowataka, kuwaondoa viongozi wasiowataka; na umma ukachezeshwa mchakamchaka kuunga mkono matakwa binafsi ya waovu, Taifa la namna hiyo lipo kwenye hatari ya kushindwa kabisa kulinda maslahi ya walio wengi, na watu wengi hawawezi kuwa tumaini la uhakika kuwa siku moja maslahi yao yatakuwa mbele kuliko ya watu wachache.

Hela yoyote ambayo inatolewa kwa Mwenyekiti wa PAC au mjumbe kutoka Mashirika ya umma, inatafsiriwa kuwa ni rushwa mpaka pale kutakapotolewa maelezo ya kina kwa nini hiyo pesa ilitolewa, na je Zito ali-declaire kuwa amepokea hela kutoka kwenye taasisi ambayo anaisimamia? La sivyo, bila shaka yoyote Zito na taasisi iliyotoa, wote wana hatia.

👊👊👊✔✔ wonderful inamashiko,
 
Back
Top Bottom