mwa 4
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 3,390
- 754
Hakika bunge linatakiwa kujitathimini hawako salama wala sahihi inaonekana kunavitu vinavyowahusu baadhi ya watu au wabunge hawavigusi ila mengine ya watu au wabunge wasiojua kujikosha wala kujipendekeza ndiyo yanajadiliwa hii siyo sawa zitto lazima ashughurikiwe ipasavyo.Ni kweli Lizaboni kulikuwa na hot debate siku ile na hata maelezo ya Zitto yaweza kuwa ilikuwa ni kutafuta huruma ya wabunge na jamii kwa ujumla lakini still haiwezi kuwa excuse ya bunge lenye dhamana kubwa ya kusimamia uwajibikaji kwa mihimili mingine lishindwe kuwajibika lenyewe.
Binafsi bado naona bunge lilipotoka sana kuachia tuhuma zile zipite bila uchunguzi wowote.