Zitto Kabwe achunguzwa kuvuna PAP

Zitto Kabwe achunguzwa kuvuna PAP

asipoachia ngazi tutaenda kumtoa kwa nguzu bungeni, tumeshaanza kuhamasishana na kufikia jmosi haja ng'oka tutaanza kupanda mabasi kuelekea dodoma tayari kwa kazi ya kumng'oa asijifanye kotapini. tundu lissu lema na sugu kama mtamshindwa basi tegemeeni mshikemshike wiki ijayo, hakianani dodoma haitakalika.


Nguvu ya Soda
 
Uchunguzi wa kiuoga huo!! Akaunti ya Stanbic ije upya tujue wafaidika!

Hatunashida na Stanbic bank, shida yetu mwenyekiti wetu wa PAC katuhumiwa kula mlungula, akae pembeni tuchunguze akiwa safi hamna shida ataendelea kuchapa mzigo.
 
Ungesema kuwa akaunti ya PAPiliyoko stanbic ichunguzwe upya kabisa na wengineo woooote wale waliofaidika na chochote kile nao waadhibiwe! zaidi ya hapo uko husomeki unakuwa kama mchochezi! Shauri wakubwa wako suala hili lirudi upya bungeni! Tujue mwenyekiti wa baraza la mawaziri kama yuko msafi!
Kwanini unamtetea jambazi zitto au aliiba akawaletea mkatumia pamoja au kunakitu unanufaiaka nacho.
 
ccm wameumia sana sakata la escrow na saivi upinzani uangalie sana hasira za hawa jamaa, lazima watataka kulipiza kwa other side
 
Kwanini unamtetea jambazi zitto au aliiba akawaletea mkatumia pamoja au kunakitu unanufaiaka nacho.

Tukamate yote hayo unayoita majambazi ili tuwe salama katika nchi yetu! Kama zito umemuona jambazi basi na hayo mengineo yasemwayo nayo yaondoshwe!!
 
Zitto naye jambazi tu la Kalamu.

WE ARE NOT SERIOUS, ANATUHUMIWA KUPOKEA MILIONI 15??? TANZANIA NI ZAIDI YA UIJUAVYO. HAPO SIJUI UCHUNGUZI HUO UTATUMIA SHILINGI NGAPI??? NADHANI ZITATUMIKA ZAIDI YA Shs MILIONI 400 KUCHUNGUZA MILIONI 15??? INATIA HURUMA
KWELI CCM IMEISHA KTK RAMANI, IYO NI ELA KIDUCHU AMBAYO HATA MIMI KAPUKU NINGEWEZA KUMPATIA ZZK
 
Upepo unageuzwa kiaina hii imekua hatari kwa nchi kila mtu ana jipanga kumwanga miza mwenzie, kwa mwelekeo huu hakuna atakae anza muhula na kuumaliza bila kupewa kashfa, imekua ni mwendo wa kuchomekeana leo zitto lakini mjue kesho Lissu
 
aahahahah stori za Muhongo zimekwisha hiyo ndiyo Tanzania
 
WE ARE NOT SERIOUS, ANATUHUMIWA WIZI WA MILIONI 15??? TANZANIA NI ZAIDI YA UIJUAVYO. HAPO SIJUI UCHUNGUZI HUO UTATUMIA SHILINGI NGAPI??? NADHANI ZITATUMIKA ZAIDI YA Shs MILIONI 400 KUCHUNGUZA MILIONI 15??? INATIA HURUMA

wewe vipi jinai haingalii gharama, mwizi ni mwizi tu hata akiiba buku ni mwizi.
 
ccm wameumia sana sakata la escrow na saivi upinzani uangalie sana hasira za hawa jamaa, lazima watataka kulipiza kwa other side
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu siyo?
 
WE ARE NOT SERIOUS, ANATUHUMIWA KUPOKEA MILIONI 15??? TANZANIA NI ZAIDI YA UIJUAVYO. HAPO SIJUI UCHUNGUZI HUO UTATUMIA SHILINGI NGAPI??? NADHANI ZITATUMIKA ZAIDI YA Shs MILIONI 400 KUCHUNGUZA MILIONI 15??? INATIA HURUMA
KWELI CCM IMEISHA KTK RAMANI, IYO NI ELA KIDUCHU AMBAYO HATA MIMI KAPUKU NINGEWEZA KUMPATIA ZZK
acha kujiondoa uelewa , haiundwi tume, tayari Takukuru wako kazini na jukumu lao kama walivyochunguza tuhuma zingine , suala hapa apishe uchunguzi kama utaratibu unavyosema.
 
Upepo unageuzwa kiaina hii imekua hatari kwa nchi kila mtu ana jipanga kumwanga miza mwenzie, kwa mwelekeo huu hakuna atakae anza muhula na kuumaliza bila kupewa kashfa, imekua ni mwendo wa kuchomekeana leo zitto lakini mjue kesho Lissu
Unataka kusema akina Muhongo nao walichomekewa?
 
Back
Top Bottom