mtahengerwa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 384
- 173
Ingekuwa hivyo kwa ninavyomfahamu Profesa Muhongo basi pale kwenye utetezi wake angeshambulia kwa hilo kombora.Ukiona alikaa kimya basi halikuwepo.
zitto ni mnafiki wa kufa kazi yake ni kutembelea na kuwapigia simu wakurugenzi wa mashirika ya umma wampe hela wasipompa anawatafutia scandal hivi sasa kijana mdogo huyu ana nyumba 4 za ghorofa hivyo basi naye anahitaji kuchunguzwa.