Zitto Kabwe achunguzwa kuvuna PAP

Zitto Kabwe achunguzwa kuvuna PAP

Simpendi kabisa zitto hasa kwa unafiki wake. Lakini nachukia sn km takukuru wanachunguza mil 10 wkt kuna mabilioni hawatuambii yanachunguzwa na nani na lini. Mbona hawajasema wanachunguza lini maafisa wa ikulu waliomchukulia kikwete mgao wa escrow???? Au wale maafisa waliohuku mgao kwa niaba y pinda mpaka akapata nguvu za utetea wizi mkubwa namna ile. Kwa nini hawamchunguz tibaijuka ili aseme kwa uwazi kati ya zile 1.2bil alimgawia pinda kikwete naviongozi wengine waandamizi kiasi gani?? Au kwa nn hawatuambii wanachunguza lini pesa zile zilizobebwa kwa lumbesa na Rambo pale stanbic?
BINAFSI SIKUBALIANI NAUHUNI ULIOPITILIZ NAMNA HII.
 
Simpendi kabisa zitto hasa kwa unafiki wake. Lakini nachukia sn km takukuru wanachunguza mil 10 wkt kuna mabilioni hawatuambii yanachunguzwa na nani na lini. Mbona hawajasema wanachunguza lini maafisa wa ikulu waliomchukulia kikwete mgao wa escrow???? Au wale maafisa waliohuku mgao kwa niaba y pinda mpaka akapata nguvu za utetea wizi mkubwa namna ile. Kwa nini hawamchunguz tibaijuka ili aseme kwa uwazi kati ya zile 1.2bil alimgawia pinda kikwete naviongozi wengine waandamizi kiasi gani?? Au kwa nn hawatuambii wanachunguza lini pesa zile zilizobebwa kwa lumbesa na Rambo pale stanbic?
BINAFSI SIKUBALIANI NAUHUNI ULIOPITILIZ NAMNA HII.

Nchi hii bora upige pesa ya uhakika ili uchafuke vizuri kuliko hivo vi m10 ..maana wanaopiga mabilioni wanaachwa huru wale vibaka wa buku ndio wanakmatwa
 
Anayetuhumiwa hapa ni Zitto kupokea mlungula kwa PAP. Anapaswa kuwajibika ili uchunguzi ufanyike akiwa nje. Anapaswa pia kuwa nje ya bunge

Na wale wote wanufaika wa Stanbic wachunguzwe lakini pia wakiwa nje. Tuache Double Standard
 
acha kujiondoa uelewa , haiundwi tume, tayari Takukuru wako kazini na jukumu lao kama walivyochunguza tuhuma zingine , suala hapa apishe uchunguzi kama utaratibu unavyosema.

AH AH ZITTO KABWE KAWAHUDHIJE MACCM??? NACHOULIZA PIA KUSHUPALIA HAPA NI KUUWA TUACHE ILE TABIA YA KUUZA NG'OMBE ILI KUHAKIKISHA TUNAIDAI NA KUIPATA FIDIA YA MBUZI ALOGONGWA BAADA YA KUWAYAWAYA BARABARANI.. Duh
 
visa vya chdm kwa zito haavitaisha labda wachaga waishe dunian,wizi wa mbowe na slaa mmekaa kimya wachaga bana
 
asipoachia ngazi tutaenda kumtoa kwa nguzu bungeni, tumeshaanza kuhamasishana na kufikia jmosi haja ng'oka tutaanza kupanda mabasi kuelekea dodoma tayari kwa kazi ya kumng'oa asijifanye kotapini. tundu lissu lema na sugu kama mtamshindwa basi tegemeeni mshikemshike wiki ijayo, hakianani dodoma haitakalika.

Wenzako hawatumii misuli, wanatumia akili.kama walivyotumia akili kuwang'oa kina escrow team.bytheway Lisu, Lema na Sugu wanahusikaje ktk nafasi ya zitto kabwe? Jitahidi kufikiria kwa kutumia akili zaidi kuliko kutawaliwa na itikadi.
 
AH AH ZITTO KABWE KAWAHUDHIJE MACCM??? NACHOULIZA PIA KUSHUPALIA HAPA NI KUUWA TUACHE ILE TABIA YA KUUZA NG'OMBE ILI KUHAKIKISHA TUNAIDAI NA KUIPATA FIDIA YA MBUZI ALOGONGWA BAADA YA KUWAYAWAYA BARABARANI.. Duh
WEWE ndo mfia vyama , Binafsi nimekuwa nikimtetea ZITTO katika mambo mengi tu, likiwemo la Kuonewa kule CDM, hata kwenye sakata la ESCROW nilikuwa upande wake . LAKINI katika hili la kutuhumiwa kuvuna PAP na mifuko ya kijamii siwezi kumuunga mkono. Mimi siyo mfia mtu au hata chama, niko kwa ajili ya maslahi ya taifa zaidi. ZITTO anastahili kukaa pembeni ili TAKUKURU wakafanyakazi yao vyema.
 
Nchi hii bora upige pesa ya uhakika ili uchafuke vizuri kuliko hivo vi m10 ..maana wanaopiga mabilioni wanaachwa huru wale vibaka wa buku ndio wanakmatwa

Lakini hii haiwezi kuondoa wizi wa zitto na ufisadi wake ambao umekomaa kupita kiasi.
 
mbona muhongo hajachukua hata senti tano katimliwa iweje yeye aliyekomba milioni kumi aachwe? tutaandamana kwenda dodoma labda awe analala bungeni

Hivi hujui kilichomuwajibisha muhongo?
 
Nchi hii bora upige pesa ya uhakika ili uchafuke vizuri kuliko hivo vi m10 ..maana wanaopiga mabilioni wanaachwa huru wale vibaka wa buku ndio wanakmatwa
Nchi hii chini ya ccm ukipata nafasi nikupiga dili la ukweli
 
Wakati wa mjadala wa sakata la ESCROW bungeni hili swala liliibuliwa na Nchambi pamoja na Lusinde, wakadai wana nyaraka. Lakini wakati Zitto akijibu hoja nakumbuka aliweka commitment yake swala lipelekwe kamati ya maadili ya bunge na yeye yupo tayari kuwajibika ikiwamo kujiuzuru ubunge wake ikiwa itathibitika ni kweli.

Kwangu nilijua kwa kuwa jambo lile liliibukia bungeni tena baina ya wabunge kutuhumiana nikajua commitment ya Zitto ni suluhu mujarabu ili ukweli ufahamike. Sasa kama wale ndugu Nchambi na Lusinde waliibua hili na kudai wana nyaraka kwa nini wasingekubaliana na Zitto na kuweka commitment zao kama mwenzao? Na kwa nini Spika alilikalia kimya pasipo ufafanuzi wowote? maana hizi zilikuwa ni tuhuma dhidi ya mwenyekiti ambaye kamati yake imeshiriki uchunguzi uliokuwa unajadiliwa.
Tukitumia kipimo kilekile kamati ya PAC ilichotumia, Zitto hana uhalali wa kuendelea kuwa mwenyekiti wa PAC bali anatakiwa ajiuzulu au asimamishwe uenyekiti mpaka hapo uchunguzi dhidi yake utakapokamilika.
 
Hii tabia ya kuchukua pesa kwa zitto hajaanza leo hata mbinu yake anayotumia ni hii wala haijabadilika kwa yeye kutumia watu kuchukua pesa zake halafu ndiyo wa kwanza kujikosha.

Alivyo chukuliwa hatua na uongozi wa cdm si mlitoa shutuma lukuki kwa uongozi kuwa amaonewa? Leo hii mbona mmeyasahau kilahisi matamko yenu?
 
Wenzako hawatumii misuli, wanatumia akili.kama walivyotumia akili kuwang'oa kina escrow team.bytheway Lisu, Lema na Sugu wanahusikaje ktk nafasi ya zitto kabwe? Jitahidi kufikiria kwa kutumia akili zaidi kuliko kutawaliwa na itikadi.

Mao alisema njia ya mkato ya kupambana ni vita, hatuwezi kufukuza tumbili na ngedere wanaokula mahindi, tukaacha ngiri na nguruwe pori wakila mihogo shambani
 
Pale Mago Garden-Kinondoni, alikuwa analia kama chizi vile, eti wimbo umemgusa. -Nani kama Mama wa Bela. Nilipokasogelea kumbe kamelewa chakali

siku hizi akilewa anaanza kulia lia. Mara kaimiss CHADEMA.

Kumbe jamaa anagonga mvinyo?
 
Nchi hii bora upige pesa ya uhakika ili uchafuke vizuri kuliko hivo vi m10 ..maana wanaopiga mabilioni wanaachwa huru wale vibaka wa buku ndio wanakmatwa

Hii ni hatari sn aisee
 
Mao alisema njia ya mkato ya kupambana ni vita, hatuwezi kufukuza tumbili na ngedere wanaokula mahindi, tukaacha ngiri na nguruwe pori wakila mihogo shambani

Uko sawa mkuu, sasa hao akina Lisu, sugu na Lema umewatendea haki kuwa ingiza ktk com zako hapo juu? Siyo kuwaonea kweli? Ebu tuwe wakweli
 
Unaweza kumtetea mtu kwa kosa moja lakini usimtetee kwa kosa jingine. Kwa hili hata mie nashinikiza Zitto achukuliwe hatua kali. Kwa nini yeye na si DeoFilikunjombe?

baada ya kupigwa nje-ndani naona mmepata pa kupumulia. yani wiki-jana iliisha vibaya sana kwenu, mlijifungia ndani kama panya. hahahaha!!! msalimie TataMadiba
 
Back
Top Bottom