Zitto Kabwe achunguzwa kuvuna PAP

Zitto Kabwe achunguzwa kuvuna PAP

Kwa ushahid upi? Hebu watanzania kuweni na akili bas japo kidogo.Sio mnaanza kutokwa na povu wakati hata huo uchunguzi wenyewe hauna uhakika kama kweli upo au la! Hata kama ni kweli anachunguzwa basi subirini muone majibu yatakuwaje ndo muanze kutokwa na povu
Na huyu nyepesi hajaonewa hiyo ni kusema kwamba naye jela inamsubiri

ndo maana tunasema apishe kwanza kiti, tunataka tumsafishe si anabidi achuchumae kwanza?
 
Umesema achunguzwe au umeshadadia kwenda dom kumng'oa? kama kweli unaweza fanya hivyo! Basi hii nchi nahama kabisa maana kamwe siwezi kuishi pa1 na punguani kama wew mkosa akili bendera fuata upepo.Ukimsikia zitto tu bac bila kutafakari povu chafu linakutoka!
kwahiyo kumchunguza huyu kibopa ni kukosa akili? haya bwana usinitafutie matatizo, ila kung'oka kuko palepale.
 
pole zzk tatzo ulilonalo ni uzalendo uliopitiliza haya yote yanakuja toka siku ulipogusa ruzuku za chagadema hakuna jambo lolote lingne zaid ya hilo wachaga wanakuchukia sana,nakushaur upunguze uzalendo viva zzk

tunataka uwajibikaji, ndiyo tunajua ni mzalendo sasa asichafue CV yake kwa kukataa kuwajibika, mbona Lowasa Muhongo Tibaijuka wamewajibika? kwa umri wake mdogo ni mapema mno kuchafua CV, ndo maana tunasema hawa vijana hawafai kupewa nchi.
 
Ur brain went with ur govi that's why u talk talk rubbish here.
Kwa ushahid upi? Hebu watanzania kuweni na akili bas japo kidogo.Sio mnaanza kutokwa na povu wakati hata huo uchunguzi wenyewe hauna uhakika kama kweli upo au la! Hata kama ni kweli anachunguzwa basi subirini muone majibu yatakuwaje ndo muanze kutokwa na povu

ndo maana tunasema apishe kwanza kiti, tunataka tumsafishe si anabidi achuchumae kwanza?
 
Umesema achunguzwe au umeshadadia kwenda dom kumng'oa? kama kweli unaweza fanya hivyo! Basi hii nchi nahama kabisa maana kamwe siwezi kuishi pa1 na punguani kama wew mkosa akili bendera fuata upepo.Ukimsikia zitto tu bac bila kutafakari povu chafu linakutoka!

Tunasema wakati anachunguzwa apishe uenyekiti wa PAC kama walivyofanya chenge na ngereja, report yake itasomwa bungeni atasafishwa na atakuwa mtu safi, kuendelea kushupaza shingo ni kuendelea kudhalilika na kupoteza heshima aliyojijengea ndo maana tunasema akigoma kutoka tutaandamana kumtoa kwa nguvu.
 
Ur brain is bancrapted
tunataka uwajibikaji, ndiyo tunajua ni mzalendo sasa asichafue CV yake kwa kukataa kuwajibika, mbona Lowasa Muhongo Tibaijuka wamewajibika? kwa umri wake mdogo ni mapema mno kuchafua CV, ndo maana tunasema hawa vijana hawafai kupewa nchi.
 
Hao chenge na ngeleja waliachia nafasi zao kabla ya uchunguzi,wakati uchunguzi unaanza au baada ya uchunguzi nakukutwa na hatia? Ripoti ya CAG iliwatuhumu au?
Tunasema wakati anachunguzwa apishe uenyekiti wa PAC kama walivyofanya chenge na ngereja, report yake itasomwa bungeni atasafishwa na atakuwa mtu safi, kuendelea kushupaza shingo ni kuendelea kudhalilika na kupoteza heshima aliyojijengea ndo maana tunasema akigoma kutoka tutaandamana kumtoa kwa nguvu.
 
IQ yako ndogo sana so sitokujibu chochote
Tunasema wakati anachunguzwa apishe uenyekiti wa PAC kama walivyofanya chenge na ngereja, report yake itasomwa bungeni atasafishwa na atakuwa mtu safi, kuendelea kushupaza shingo ni kuendelea kudhalilika na kupoteza heshima aliyojijengea ndo maana tunasema akigoma kutoka tutaandamana kumtoa kwa nguvu.
 
Hao chenge na ngeleja waliachia nafasi zao kabla ya uchunguzi,wakati uchunguzi unaanza au baada ya uchunguzi nakukutwa na hatia? Ripoti ya CAG iliwatuhumu au?

walichunguzwa na maazimio ya bunge ndo yamewatoa, nayeye achunguzwe hivyohivyo na report isomwe maazimio ya bunge yafikiwe tatizo liko wapi au ndo akili ya vipeuo vya tisa jumlisha moja.
 
Et leo mnaukubali ushahid wa Lusinde kwakuwa unamchaua zitto,kesho huyoohuyo Lusinde mnatukana mropokaji hahahahaha
Msando hajavuta huko PAP? Leka dutigite hawajawahi kulipwa na TANAPA?
 
Muhongo yule ni dalali hajaonewa bado kumpeleka sero

Muhongo hakuonewa aliingizwa mkenge(hakujua wajanja wanamtumia kupiga mshiko) kama wanvyomuingiza mkenge huyu mpya na umeme wa sola.
 
Serikali hii utafikiri kichwa cha mwendawazimu.
Hawa PCCB wanaojianya wanachunguza wanashindwaje kuchunguza na kubaini wakina nani walichuka ela Mabilioni ya pesa kwenye Lumbesa pale Stanbic bak.?Ni uchizi husio na kifani. Unaacha kuchunguza watu waliokwapua a lot of billions through Stanbic unaanza kukimbizana na hawa watu waliochukua sijui vimilioni kumi sijui tano.Hii ni akili au matope.

Hili tayari mkuu, kafulila ndo maana anataka nayo ijadiliwe
 
Aliekuambia Muhongo akachukua nani? Acha umbulula huo, si mlisema hajiuzuru mtu!! Ina maana wenyewe kwa wenyewe hamuelewani.
 
Hivi mbona munakua na akili ndogo hzo nyaraka ziliibuliwa kipindi kile PAC wananasilisha masuala ya escrow ilikua ni upuuzi wa kubumba lkn siwashangai nyie watazania mna wivu hampendi kuona mtu anang'ara kwa lolote juu ya mafanikio yake ndo haya haya ya diamond mnamfanyia shinda kweli nyie. Wivu usio na maana kabisa mtu anasapoti ujinga kweli hamtaweza fka.
Nyie msiokua na wivu mmefika wapi? Umelazimishwa kusoma habari za Tanzania? peleka upuuzi wako uko
 
Huyu msaliti wa umma, achunguzwe haraka maana anaweza kusaliti hata bara zima huyu
 
Ingekuwa hivyo kwa ninavyomfahamu Profesa Muhongo basi pale kwenye utetezi wake angeshambulia kwa hilo kombora.Ukiona alikaa kimya basi halikuwepo.
 
Back
Top Bottom