Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Ninachojiuliza kama suala la kutaka kumfuta Zitto uanachama ndani ya kikao chao tu kimeleta mgawanyiko, je iwapo kitendo hicho kingetendeka kingepokelewaje na wanachama wote wa CDM ndani ya tanzania.Mkuu,
Hilo huna hata ya msukumo kutaka kubainisha.
Huyo double agent anatumia nguvu nyingi za kimbea kutaka kuuaminisha umma kama Zitto ni adui number one wa maendeleo ya CDM bila kujua historia ya Zitto ndani ya chama. Yeye ndiye wa kuogopwa kama ukoma katika umaarufu wa kugonganisha viongozi kwa faida yake ya kisiasa.
What's really matter, ukweli ni ngao katika vita.
Fortunate, Aliingia ndani ya chama kwa mlango wa umbea na atatoka kwa mlango huo huo.
Time is in our side.
Mi nadhani hawa jamaa wanaokujaga hapa JF kutetea CDM at anycost na wengine kuwaachia tu kukwepa matusi huwa wanadhani hoja zao zinaukweli na convincing.
Lets face it Zitto ndio mwanasaisa pekee ndani CDM ambaye huwa anajaribu kukosoa sera za CCM na kutoa mapendekezo ya sera bora zingegefanana vipi au zifanyike vipi (aina maana yupo sawa all the time but he tries). Wengine ni kukosoa tu pengine kweli kuna makosa lakini they never offer their perspectives. Hila Zitto akifanya kipekee watakwambia ohoo kwanini asisubiri kutoa kichama does he have to think for the party and ask the permission to address his concerns.