rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,290
- 24,175
Kama Mbowe aliruhusu watu watoe hoja ni vyema angempa nafasi Zitto ajitetee lakini kama hakutaka hiyo hoja ijadiliwe alipaswa kuizuia toka mwanzo badala ya kuzuia mgogoro ndio kwanza amechochea kwani pale ilikuwa nafasi pekee ya kila mtu kutoa dukuduku lake