Zitto chupuchupu kutimuliwa CHADEMA!

Zitto chupuchupu kutimuliwa CHADEMA!

....haa ha ha,Mbunge unatoa mapovu hapa,kwa kuwa Baraza kuu limepuuzia madai dhidi ya Zitto ni wazi sasa Makamanda wa JF ndio maamluki wasioitakia mema Chadena,go Zitto go...

No no ndugu unatafsiri vibaya ah ahah ahha.

Mie nasimamia haki kwenye haki inasema kama ni kusamehewa basi wote sio wenye nguvu hapo ndio mie natofautiana na wewe Butola.

Hivi fikiri inakuwaje wazalendo wa kweli wanaumia chini alafu wao wakikosea kidogo hawasamehewi hata chembe kisa tu eti ni watu wadogo.

Then Top wanasamehehana kwa kufichiana maovu yao..hii ndio mie sikubaliani kama ni kusamehe wangesamehewa wote hapo CDM ningewaona wapo makini lkn kwa walilofanya kwaheri hamana kitu...ona hii nukuu ya Mwenyekiti CDM kwenye hicho kikao..

'haiwezekani CDM ifanye siasa kwenye ukwapuaji wa mali za umma mfano mtwara" sasa jiulize kwanini ifanye siasa kwenye uhai wa wanyonge chini ambao ndio wanapigana on the ground..kwa maana ya kuwa akikosea mnyonge hawafanyi siasa ambaye ndio anaumia lkn akikosea mkubwa anasamehewa ambaye anatumia mgongo wa wanaoumia kuwa mkubwa.[[tafakari
 
Mh zzk namkubari sana kwani ndo kiögozi pekee wa kiasi alifanikiwa
1kunitoa tongotongo na kufahamu siasa ya Tanzani
2 Ndie ambaye kivutio cha wengi kufuatilia vikao mbalimbali vya bunge letu kutokana na hoja zake nzuri mfano alivyohatarisha nafasi ya waziri mkuu Pinda
3 Si mwenye kufuata moshi kama wabunge wengi wa CDM mfano alibakia ndani ya bunge wenzake walivyotoka nje na kutokana na udhaifu hoja iliyowatoa

Zzk ningekuwependa mara mia zaidi kama ungeondoka chadema na kujiunga na chama cha Ccm kwani wanachadema wengi ni wabuguzi,wabinafsi,wadini wawazi kabisa,wakanda na chama chako hakina democrasia ya kweli.
 
No no ndugu unatafsiri vibaya ah ahah ahha.

Mie nasimamia haki kwenye haki inasema kama ni kusamehewa basi wote sio wenye nguvu hapo ndio mie natofautiana na wewe Butola.

Hivi fikiri inakuwaje wazalendo wa kweli wanaumia chini alafu wao wakikosea kidogo hawasamehewi hata chembe kisa tu eti ni watu wadogo.

Then Top wanasamehehana kwa kufichiana maovu yao..hii ndio mie sikubaliani kama ni kusamehe wangesamehewa wote hapo CDM ningewaona wapo makini lkn kwa walilofanya kwaheri hamana kitu...ona hii nukuu ya Mwenyekiti CDM kwenye hicho kikao..

'haiwezekani CDM ifanye siasa kwenye ukwapuaji wa mali za umma mfano mtwara" sasa jiulize kwanini ifanye siasa kwenye uhai wa wanyonge chini ambao ndio wanapigana on the ground..kwa maana ya kuwa akikosea mnyonge hawafanyi siasa ambaye ndio anaumia lkn akikosea mkubwa anasamehewa ambaye anatumia mgongo wa wanaoumia kuwa mkubwa.[[tafakari

bora zimwi likujualo halikuli likakwisha.HALA CCM
 
Kwa vile chanzo cha habari kimejaa ukakasi, itoshe kuamini kuwa ni wishful thinking. Vinginevyo ingeshusha hadhi ya CDM kutoka kuwa Chama makini kama wanavyokinadi na kuwa chama cha kiimla ambacho hutoa hukumu bila ya kuzingatia haki ya mtuhumiwa kujieleza! Hiyo siyo demokrasia tunayoifikiria ya kututoa hapa tulipo.
 
Chanzo chenyewe uongo mtupu.
Alaf anayejadiliwa mwenyewe ni wa kupuuzwa tu hana lolote zaidi ya uchawi!
 
Ndio maana huwa namkubali sana MBOWE...palipo na MBOWE hapaharibiki jambo...safi sana...ZITTO is there to stay...magamba tafuteni kwingine kwa kutokea.......

.
Nakuunga mkono mkuu, Mbowe ni kiongozi mwenye uwezo wa kutengeneza mambo yenye manufaa kwa umma ya miaka zaidi ya 10 tokea hapa.
Binafsi namkubali sana Mbowe. Katika ujenzi wa Chadema kuna watu wengi muhimu sana lakini mbowe ni nguzo ya hao watu muhimu.
.
 
CHONDE CHONDE!!!!!! HALA HALA CHDM!!!!!!!!!!! ZZK ni nguzo ya chadema. asiguswe!

Umenena mkuu.Tatizo watu hawaelewi umuhimu wa ZZK katika chadema,wasio elewa ndo wale waliobase kwenye ukabila na ukanda.Ukifuatilia chimbuko la hiyo migogoro ni ZZK kuutaka uraisi.Mim nadhani chadema ina kanuni na taratibu zake wacha ZZK ajaribu kete yake kwani si democrasia ndio inayotumika,badala ya kukaa na kuwafanya baadhi ya watu kuwa miungu watu kuwa hawaguswi.
 
unajua mtu mpumbavu mnamwacha aendelee na upumbavu wake kama wanavyofanya CDM, mwisho wa siku ZZK atakuja kujua kuwa yeye ni vuvuzela tu na hana maana
 
ikifika december bado Zitto Kabwe hajafukuzwa ndani ya CHADEMA ntarudisha kadi yangu kwa hiari...nikiwa kama mwanachama wa kawaida sana, nasikitiswa sana na jinsi kijana huyu anavyohujumu mipango na mikakati ya chama, zito ni mbinafsi, msiri, mchochezi, mpika majungu na M-CCM pia...anamatukio ya ajabu ajabu sana..SHAME ON ZITTO ZUBERI KABWE.
Umetumwa na babu Slaa na Mtei wewe
 
Umenena mkuu.Tatizo watu hawaelewi umuhimu wa ZZK katika chadema,wasio elewa ndo wale waliobase kwenye ukabila na ukanda.Ukifuatilia chimbuko la hiyo migogoro ni ZZK kuutaka uraisi.Mim nadhani chadema ina kanuni na taratibu zake wacha ZZK ajaribu kete yake kwani si democrasia ndio inayotumika,badala ya kukaa na kuwafanya baadhi ya watu kuwa miungu watu kuwa hawaguswi.
Down Zitto, DOWN Chadema....that is the CCM slogan! Kina Slaa, Mbowe na Mtei msijidanganye na fyokofyoko hizi. Zitawa-cost mpaka mtajuta kwa kosa la kumfukuza huyu kijana Zitto! Sisi tumefikisha ujumbe, msije sema hamkufahamu. majuto ni mjukuu!
 
Chadema siku hizi kimekuwa chama cha mipasho,hawa Bavicha wanaomshambulia Zitto wana kiongozi wao anaowalinda kwa gharama zozote na ndio maana wako huru hata kuingilia meza kuu kwa kuwa wametumwa.
 
hiyo ni kama uwanjani tu hapo timu imeamua kurudisha mpira kwa golikipa ili wachezaji wa ndani wajipange vizuri kaka Zitto endelea kujizolea umaarufu wakikosa hoja za msingi wana kujadili wewe.2015 vijana tunaingia ikulu na dereva wetu ni wewe hizi siyo nyakati za kuongozwa na wazee.
 
Aliye waambia kuna upendo ndani ya vyama vya siasa ni nani?
 
Fukuzaneni wote sasa sie ,unatuambia tuwasaidiaje? Katika wanachama ninao wapenda CDM ni Zitto Bin Zubeir na Shi........

Zitto uendelee kudumu CDM!!!!!!
 
Aliye waambia kuna upendo ndani ya vyama vya siasa ni nani?

Mkuu Zuberi, tupo pamoja Zitto ni zaidi ya hao wanaowaamini...... He s great man, he has done lot for CDM!!!!! Wao yote hayo wameyasahau ati Mnyika, Lissu etc hawa hakuna anayemfikia Zitto kwa jinsi alivyokijenga CDM ukitaka kataa ukitaka nuna.
 
Mgogoro wa Chadema hautoisha mpaka itakapobainika kuwa Zitto anakinzana na nani kati ya Mh Mbowe na Dr Slaa,kuendelea kulificha hili na kudai hakuna mgogoro shida ilikuwa masalia na wameshafukuzwa mtakuja kujuta.Kati ya hawa watatu hakuna mdogo wala mkubwa katika duru ya siasa msijidanganye.Hao Bavicha waliomshambulia Zitto kwenye baraza wala hawajafanya hivyo kwa maslahi ya chama bali wametumwa na mmoja kati ya hao watatu.
 
Unapopika samaki aliyeoza huwezi kuepuka kunukiwa. Zitto hajawahi kufikia hata 10% ya umaarufu wa Lyatonga Mrema au hata Mchungaji Mtikila, leo eako wapi? Hata kama kusoma hajui, picha haoni? Tunampenda sana Zitto siyo kwa ushabiki wa vyama na siasa bali kwa hoja zake, lakini kalewa misifa, kajaza maji machafu kwenye tembo. Atalinywa mwenyewe.
 
Back
Top Bottom