Kesho muda kama huu shangwe zinaanza nchi nzima.Viva CDM Vivaa
Ndugu Zitto Kabwe ambaye hivi sasa yuko Rombo kwa ajili ya kufunga campaign za udiwani kata ya Nanjarareha amehamasika na ukuaji wa mji wa Moshi na haswa mapokezi aliyoyapata kule Rombo na kukiri kwamba CHADEMA imewiva sana uko, haya ni baadhi ya maneno aliyo post kwenye ukurasa wake wa twitter ikiwa ni pamoja na utabiri wake juu ya ushindi wa CHADEMA kwa zaidi ya nusu ya viti vinavyogombewa nchi nzima:
Zittokabwe: Rombo kufunga kampeni za Udiwani kata ya Nanjarareha. #CHADEMA twaelekea kushinda zaidi ya nusu ya viti tunavyogombea nchi nzima. Fired up
Zittokabwe: Rombo imewiva sana kisiasa. No. Kichadema. Nimepokelewa na umati mkubwa sana. Kata ya #Nanjarareha inaonyesha twaibeba
Lakini sio atoke hapo aseme anataka kugombea urais
nyie ndio wachochezi wa machafuko Nchini na kauli zenu zisizojenga
Lakini sio atoke hapo aseme anataka kugombea urais
Nikweli. Hata hivyo, sisiiti kumtahadharisha Zitto dhidi ya Mbunge wa Rombo, huyo Bw. 30. Selasini ni nyoka wa siasa za upinzani. Selasini angefurahi sana kuona mauti ya Zitto kisiasa. Selasini ni miongoni mwa watu wanaoeneza Tanzania nzima kwamba Zitto ana UTAJIRI wa kutisha.
Zito na 30 rudini kwa nguvu na maarifa yenu yote ktk siasa za ukombozi wa taifa hili ambalo rushwa sasa ni mpaka vyooni.
Molemo,
Kuna vijana nimewaambia kesho wasikimbie tena Jf.Kuna watakaoenda exile kesho
Mkuu Ben Saanane kesho nitakuwa mtu mwenye furaha sana endapo CDM watashinda hata viti vitano tuuMolemo,
Kuna vijana nimewaambia kesho wasikimbie tena Jf.Kuna watakaoenda exile kesho
Mkuu Ben Saanane kesho nitakuwa mtu mwenye furaha sana endapo CDM watashinda hata viti vitano tuu
Lakini sio atoke hapo aseme anataka kugombea urais
Ww juha hebu acha kuchafua hali ya hewa humu, sisi tunawaza ushindi we bado unaleta ujinga humu kama vipi fungua thread yako ndo uandike pumba zako hizo na wehu waje kuchangia.
Kesho muda kama huu shangwe zinaanza nchi nzima.Viva CDM Vivaa