nice 2
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 747
- 520
Ndugu Zitto Kabwe ambaye hivi sasa yuko Rombo kwa ajili ya kufunga campaign za udiwani kata ya Nanjarareha amehamasika na ukuaji wa mji wa Moshi na haswa mapokezi aliyoyapata kule Rombo na kukiri kwamba CHADEMA imewiva sana uko, haya ni baadhi ya maneno aliyo post kwenye ukurasa wake wa twitter ikiwa ni pamoja na utabiri wake juu ya ushindi wa CHADEMA kwa zaidi ya nusu ya viti vinavyogombewa nchi nzima:
Zittokabwe: Rombo kufunga kampeni za Udiwani kata ya Nanjarareha. #CHADEMA twaelekea kushinda zaidi ya nusu ya viti tunavyogombea nchi nzima. Fired up
Zittokabwe: Rombo imewiva sana kisiasa. No. Kichadema. Nimepokelewa na umati mkubwa sana. Kata ya #Nanjarareha inaonyesha twaibeba
Zittokabwe: Rombo kufunga kampeni za Udiwani kata ya Nanjarareha. #CHADEMA twaelekea kushinda zaidi ya nusu ya viti tunavyogombea nchi nzima. Fired up
Zittokabwe: Rombo imewiva sana kisiasa. No. Kichadema. Nimepokelewa na umati mkubwa sana. Kata ya #Nanjarareha inaonyesha twaibeba
Last edited by a moderator: