tatizo yuko uchagani na kule ni cdm full....nimeona comments zake kwenye twitter
Ameona amepokolewa na watu wengi kwa sababu watu wa rombo hawajui viongozi wa nchi.Hawajatembelewa muda mrefu sana walifikiri ni kiongozi wa serikali
Kesho muda kama huu shangwe zinaanza nchi nzima.Viva CDM Vivaa
Lakini sio atoke hapo aseme anataka kugombea urais
Mim ni wakala Daraja mbili naenda kusimamia kura za chadema, Wassira na Sendeka leo wameumbuka Arusha mkutano wao wa kufunga ulikuwa na watu wasiotoka kata ya Daraja mbili! Hahahahaaaaa halafu anawaomba kura sijui watazitoa wapi!
Lakini sio atoke hapo aseme anataka kugombea urais