Awadh Samuel Kiwelu
Senior Member
- Oct 11, 2014
- 192
- 69
Wana JF.
Juzi tulikuwa tunapata chakula mchana hapa stendi Bukoba Mjini mara akatokea Zitto na wafuasi wake kama sita sujui ndiyo walinzi wake hata sikutaka kuuliza, bahati nzuri akatusalimia na kukaa jirani yetu wakaangiza chakula.
Baada ya kumaliza kula angaanza kutueleza mambo yake ya ACT watu wakasogeza viti vyao kumsikiliza.
Kaongea point nyingi sana kuhusu hali yetu ya taifa alichokikosea kumtaja Mbowe na Slaa kuwa wanaiendesha CDM kwa mkono wa chuma basi kuanzia hapo zomea zomea ikaanza akaondoka na kuingia kwenye gari lao nakuondoka.
Juzi tulikuwa tunapata chakula mchana hapa stendi Bukoba Mjini mara akatokea Zitto na wafuasi wake kama sita sujui ndiyo walinzi wake hata sikutaka kuuliza, bahati nzuri akatusalimia na kukaa jirani yetu wakaangiza chakula.
Baada ya kumaliza kula angaanza kutueleza mambo yake ya ACT watu wakasogeza viti vyao kumsikiliza.
Kaongea point nyingi sana kuhusu hali yetu ya taifa alichokikosea kumtaja Mbowe na Slaa kuwa wanaiendesha CDM kwa mkono wa chuma basi kuanzia hapo zomea zomea ikaanza akaondoka na kuingia kwenye gari lao nakuondoka.