LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,388
Hakika Watanzania huku tunakoelekea watakuwa waelewa wazuri sana!!!!!!
Hahhahhaah mshikaji anawakosesha sana usingizi kila anapokanyaga kadi zinang'ang'aniwa km njugu vile dah
Vipi Dada una mihemko nini,mbona watokwa povu. Mambo ya mabwana yanatoka wapi tena?
Mkuu kwa hiyo huyo Mungu ndiyo kaamua Chadema kiwe chama cha upinzani muda wote.Chadema ni mpango wa Mungu. Zitto ajuwe anajinajisi kukisema vibaya Chadema katika majukwaa ya siasa.
mtoa mada kavurugwa mwambien asubir mdahalo wa 18/6 aone babu slaa atavogalagazwa na wataalam.... stay tuned
Mkuu kwa hiyo huyo Mungu ndiyo kaamua Chadema kiwe chama cha upinzani muda wote.
Nikiwa hapa Bukoba leo nimehudhuria mkutano wa ACT-Wazalendo katika uwanja wa Mashujaa. Kiongozi mkuu wa chama hicho,niko Zitto Kabwe alikuwa akihutubia.
Awali alianza kueleza sababu za kuondoka CHADEMA, akisema sio kosa kubadilisha jukwaa la siasa. watu walikuwa wakimpigia makofi tu.
Lakini hali ya mkutano ilibadilika na kuwa mbaya pale alipoanza kujisifu kuwa yeye ndiye aliyeagiza hesabu za CHADEMA zikaguliwe na CAG, kisha akaitwa msaliti na kamati kuu ya CHADEMA.
Hapo wananchi waliokuwa uwanjani hapo wakaanza kupiga kelele wakisema 'sio kweli, sio kweli, sio kweli".
Ilibidi Zitto abadilishe mahubiri na kuanza kueleza msimamo wa chama chake. Lakini watu wakawa hawamsikilizi tena. Wengine walisikika wakisema, "kama umekuja hapa eleza ya chama chako, ya CHADEMA uyaache,".
Kama hiyo haitoshi, Zitto akaanza tena majigambo akisema eti alipokuwa bungeni aliiangusha serikali mara tatu, "Hao wanaokuja kunitukana waseme wamefanya nini bungeni" alisema Zitto.
Watu waliendelea kuzomea hadi Zitto akasema, "Kama hamtaki kunisikiliza naondoka zangu,". Watu wakajibu,waliendelea kuzomea " Nendaaa...!
Hata hivyo mkutano umeisha salama.
Kwa kweli Zitto ana kazi ngumu kuijenga ACT-Wazalendo?
Msaliti kasalitiwa
Akazini tena na mama yako akaona haitoshi kazaa na Mtoto aitwaie Bombey...
Namshauri Zitto kama anataka kukipaisha chama chake aongee sera za Chama, vinginevyo Watamchinjia mbali, aje huku mwanjelwa tunamsubiri
Wana JF.
Juzi tulikuwa tunapata chakula mchana hapa stendi Bukoba Mjini mara akatokea Zitto na wafuasi wake kama sita sujui ndiyo walinzi wake hata sikutaka kuuliza, bahati nzuri akatusalimia na kukaa jirani yetu wakaangiza chakula.
Baada ya kumaliza kula angaanza kutueleza mambo yake ya ACT watu wakasogeza viti vyao kumsikiliza.
Kaongea point nyingi sana kuhusu hali yetu ya taifa alichokikosea kumtaja Mbowe na Slaa kuwa wanaiendesha CDM kwa mkono wa chuma basi kuanzia hapo zomea zomea ikaanza akaondoka na kuingia kwenye gari lao nakuondoka.
Mbona Unanikosea Adabu Humu Wakati Apo Bar Nikija Unanipa Huduma Bora Tena Zote Na Adabu Ya Hali Ya Juu Mkuu