Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,389
- 1,258
CDM mmeanza kujiegesha ACT - ukisoma uandishi wa mkosoaji unagundua ni CDM - mbn hajakosoa CDM kuishi uhamishoni wakati nchini kuna amani?
Kwa nini unashangaa Mkuu? Ni wewe peke yako tu unayedai kushangaa. Alichosema Mhe Zitto ni msimamo wa ACT tangu zamani. ACT ni sawa na laundry, mashine ya kutakatisha madhambi.Nimeshangazwa na majibu ya mkuu wa chama cha ACT Wazalendo ndugu Zitto Kabwe aliyoyatoa kwenye mtandao wa twitter.
Zitto alikuwa akimjibu mwananchi mmoja aliyekuwa akionyesha frustrations zake juu ya uamuzi wa chama cha ACT kujiunga na Serikali ya CCM huko Zanzibar katika kile kinachoitwa serikali ya umoja wa kitaifa. Mwananchi huyo anaonyesha kuwa kuingia kwa ACT katika hiyo serikali hakuwezi kusaidia wabanchi kupata uhuru mpana waliokuwa wakitamani kuwa nao.
Katika hali isiyo ya kawaida, isiyo ya uungwana na isiyo ya kiuongozi mkuu wa chama cha ACT ndugu Zitto badala ya kutumia fursa hiyo kumuelewesha au atleast akae kimya wananchi watumie haki yao ya kutoa maoni, yeye anamjibu kwa ufedhuli na jeuri kuwa "Kama unaona tumekosea basi anzisha chama chako".
Kwa kweli sikutegemea kiongozi haswa wa upinzani kutoa majibu ya nyodo kama haya kwa wananchi wanapouliza maswali ya msingi juu ya mienendo ya kisiasa nchini.
Labda Zitto afahamu tu kuwa sababu mojawapo ya leo ACT kuwa hapa ni haohao wananchi ambao leo anawajibu kwa nyodo kuwa "anzisheni chama chenu"
Lakini pia Zitto akumbuke kuwa kuna watu wamekifia hicho chama, Wakati akijibu kwa majibu ya "Anzisheni chama chenu" Je amelifikiria hili kuwa kuna watu wame-pay ultimate price kwa hicho chama au kwa course yake waliyoinadi kwao na kwa hiyo ndugu, jamaa, marafiki na wananchi wana haki ya kuhoji ukinyongakinyonga wa misimamo iliyowafanya hapo awali wawe tayari kukipigania hicho chama?
Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida, Viongozi wa ACT sasa hivi wameacha kujibu maswali magumu ya wananchi juu ya hatua yao ya kuingia kwenye SUK wakati waliitangazia dunia na nchi kiujumla kuwa uchaguzi uliopita ulikuwa haramu, Zitto mwenyewe akaweka saini tamko la pamoja la Upinzani kuwa hawautambui uchaguzi ule pamoja na natunda yake, Sasa leo wananchi wakihoji wanaambiwa jamani eeh kama hamtaki tulichokifanya basi nendeni CCM, au NCCR yaani ni majibu ya kifedhuli uliopitiliza!. Sasa wameacha kutoa majibu kwa wananchi, wameanza kublackmail wanachama wa ACT na kutoa kauli za nyodo kwa wananchi, kuwa "ACT ina wenyewe na nyie kaanzisheni chama chenu"
Sasa leo tunaona kwa macho yetu, watu tuliodhani ni wakomavu wa kisiasa, tuliodhani kuwa mashambulizi yao kwa CCM basi wao labda wana ngozi ngumu na kwamba labda wao wakipewa nchi basi watakuwa humble, watakuwa na humility, watajibu hoja kwa hoja kumbe hawa jamaa ni arrogant(wenye viburi), intolerant(wasio wavumilivu) na wanajiona wao ni wamiliki wa taasisi kwa kuwa walizianzisha na si wahudumu tu wa taasisi ambazo wao ni wanachama.
Hawa wapinzani hawana blank cheque ya kutuletea jeuri sisi wananchi, Kwa miaka mingi tumekuwa tukiishabumbulia CCM, lakini na wenyewe hawana impunity, tutawaekeza ukweli maana hivyo vyama kwa namba moja au nyingine vinanufaika kwa jasho la wananchi iwe kwa ruzuku au wanasiasa wao kulipwa kwa kodi za wananchi n.k
Zitto acha jeuri kwa wananchi, Jibu hoja na frustrations zao kwa hekima, utulivu, nidhamu na utu. Bila wananchi usingekuwa hapa kuwa na humility.
View attachment 1648516
Kwanza Zitto kamjibu kiungwana sana huyo Mwananchi anayetumia maneno kama "Mzee Mdee" kutambulisha mwanamke.
Vijana wanasema,"Kama nazingua,fanya wewe".
Mkuu Missile of the Nation kama utakuwa na kumbukumbu nzuri nafikiri ilikuwa ni mwezi wa saba mwaka huu,wewe na mimi tulipishana lugha hapa hapa jukwaani juu ya uadilifu wa baadhi ya viongozi wa ACT wazalendo.Nimeshangazwa na majibu ya mkuu wa chama cha ACT Wazalendo ndugu Zitto Kabwe aliyoyatoa kwenye mtandao wa twitter.
Zitto alikuwa akimjibu mwananchi mmoja aliyekuwa akionyesha frustrations zake juu ya uamuzi wa chama cha ACT kujiunga na Serikali ya CCM huko Zanzibar katika kile kinachoitwa serikali ya umoja wa kitaifa. Mwananchi huyo anaonyesha kuwa kuingia kwa ACT katika hiyo serikali hakuwezi kusaidia wabanchi kupata uhuru mpana waliokuwa wakitamani kuwa nao.
Katika hali isiyo ya kawaida, isiyo ya uungwana na isiyo ya kiuongozi mkuu wa chama cha ACT ndugu Zitto badala ya kutumia fursa hiyo kumuelewesha au atleast akae kimya wananchi watumie haki yao ya kutoa maoni, yeye anamjibu kwa ufedhuli na jeuri kuwa "Kama unaona tumekosea basi anzisha chama chako".
Kwa kweli sikutegemea kiongozi haswa wa upinzani kutoa majibu ya nyodo kama haya kwa wananchi wanapouliza maswali ya msingi juu ya mienendo ya kisiasa nchini.
Labda Zitto afahamu tu kuwa sababu mojawapo ya leo ACT kuwa hapa ni haohao wananchi ambao leo anawajibu kwa nyodo kuwa "anzisheni chama chenu"
Lakini pia Zitto akumbuke kuwa kuna watu wamekifia hicho chama, Wakati akijibu kwa majibu ya "Anzisheni chama chenu" Je amelifikiria hili kuwa kuna watu wame-pay ultimate price kwa hicho chama au kwa course yake waliyoinadi kwao na kwa hiyo ndugu, jamaa, marafiki na wananchi wana haki ya kuhoji ukinyongakinyonga wa misimamo iliyowafanya hapo awali wawe tayari kukipigania hicho chama?
Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida, Viongozi wa ACT sasa hivi wameacha kujibu maswali magumu ya wananchi juu ya hatua yao ya kuingia kwenye SUK wakati waliitangazia dunia na nchi kiujumla kuwa uchaguzi uliopita ulikuwa haramu, Zitto mwenyewe akaweka saini tamko la pamoja la Upinzani kuwa hawautambui uchaguzi ule pamoja na natunda yake, Sasa leo wananchi wakihoji wanaambiwa jamani eeh kama hamtaki tulichokifanya basi nendeni CCM, au NCCR yaani ni majibu ya kifedhuli uliopitiliza!. Sasa wameacha kutoa majibu kwa wananchi, wameanza kublackmail wanachama wa ACT na kutoa kauli za nyodo kwa wananchi, kuwa "ACT ina wenyewe na nyie kaanzisheni chama chenu"
Sasa leo tunaona kwa macho yetu, watu tuliodhani ni wakomavu wa kisiasa, tuliodhani kuwa mashambulizi yao kwa CCM basi wao labda wana ngozi ngumu na kwamba labda wao wakipewa nchi basi watakuwa humble, watakuwa na humility, watajibu hoja kwa hoja kumbe hawa jamaa ni arrogant(wenye viburi), intolerant(wasio wavumilivu) na wanajiona wao ni wamiliki wa taasisi kwa kuwa walizianzisha na si wahudumu tu wa taasisi ambazo wao ni wanachama.
Hawa wapinzani hawana blank cheque ya kutuletea jeuri sisi wananchi, Kwa miaka mingi tumekuwa tukiishabumbulia CCM, lakini na wenyewe hawana impunity, tutawaekeza ukweli maana hivyo vyama kwa namba moja au nyingine vinanufaika kwa jasho la wananchi iwe kwa ruzuku au wanasiasa wao kulipwa kwa kodi za wananchi n.k
Zitto acha jeuri kwa wananchi, Jibu hoja na frustrations zao kwa hekima, utulivu, nidhamu na utu. Bila wananchi usingekuwa hapa kuwa na humility.
View attachment 1648516
Naona safari hii umelambishwa shubiri,umetupwa kama ganda la muwa lisilo na thamani."Asiyemtaka Lowassa ni mchawi, aondoke CHADEMA” - Mbowe, July 2015.
Tulivyo mfukuza CDM watu walitokwa na mapovu lakini tulikuwa na maana kubwa sana, maana kunguru hafugiki.Ukweli siku zote unauma sana, kajitahidi kuvumilia siku zote kwa kutoa sababu za uongo kujiunga kwao SUK sasa uzalendo unamshinda, nafsi yake imeanza kulegea kwa ile mistake waliyoifanya.
Japo wanapenda kujidanganya ni upepo tu utapita, lakini nina hakika hilo swali litaendelea kuelekezwa kwa Zitto miaka kadhaa ijayo, na kila akiulizwa lazima akose hamu ya kula that day.
Nasema hivi acha ufala wa kisiasa,hatua ya kufikiria Zitto atakula nini ni ufala wa hali ya juu.Wacha jazba, wewe kiazi unalamba visigino mpaka walevi, sijui umelogwa na nani.
Hawana uvumilivu halafu wanataka kuwa viongozi."Asiyemtaka Lowassa ni mchawi, aondoke CHADEMA” - Mbowe, July 2015.
Mkuu@Missile of the Nation,kama utakuwa na kumbukumbu mzuri nafikiri ilikuwa ni mwezi wa saba mwaka huu,wewe na mimi tulipishana lugha hapa hapa jukwaani juu ya uadilifu wa baadhi ya viongozi wa ACT wazalendo.
Ulikomaa sana na kuwasifia sana kina Membe na Zitto juu ya uadilifu wao na ukatuaminisha jinsi walivyo kuwa committed ili kuwatumikia wananchi kama chama kikuu cha upinzani.
Leo hii nafurahi sana umegundua nini nilikuwa namaanisha hasa juu ya ngozi halisi ya Zitto kwenye siasa za upinzani hapa nchini kwetu.
Sisi tumeishi na Zitto ,tunamfahamu sana Zitto hasa linapofika suala la maslahi.Kuna makosa madogo madogo ya kisiasa ambayo wanasiasa hufanya na hayo yanasameheka kwa haraka, Lakini pia kuna makosa makubwa ambayo si rahisi kusameheka kiuraisi kwa sababu yanarudisha nyuma jitihada za kujenga Taifa lenye utawala bora zaidi, haki za binadamu zaidi, demokrasia pana zaidi etc
Ukweli ni kwamba ACT wamewahi kufanya kazi nzuri sana ya kuibana serikali ya Magufuli kwenye issues nyingi za mambo ya uchumi, kisiasa, kisheria n.k Zitto alijitahidi kufanya kazi kubwa na nzuri ya upinzani kipindi ambapo Lissu alikuwa huko nje akitibiwa, hatuwezi kumnyang'anya credi kwa hilo, na Ukweli ni kuwa ACT ilikuwa inaenda vizuri sana hadi tarehe 28 mwezi wa 10 mwaka huu, na kwa maoni yangu kilikuwa ni chama kizuri sana kwa kusimamia misingi mizuri .
Ila kitendo cha kureverse gains zote ambazo wapinzani walishaanza kuzipata kwahatua mbalimbali za kuiweka mtu kati serikali ya Magufuli kutokana na matendo yake ya kuharibu demokrasia na kuendesha nchi bila kufuata utawala wa sheria hilo limetunyong'onyesha sana wale tuliokuwa tukiona kuwa hiki chama kina ajenda makini
Lakini hili la kujiunga na SUK wamekosea mno, na pia majibu haya ambayo Zitto anatoa si majibu mazuri na tunamkemea kwa majibu hayo!
Labda unajidanganya wewe kiukweli Mh. Maalim Seif amechoka kilichobaki ni ujuzi tu wa kisiasa kwani ujuzi hauzeeki.Sidhani kama kuna ukweli kwenye hili.
Maalim Kuridhia huu uhalisia (Shairi)
Mabibi na mabwana Maalim karidhia serikali ya umoja wa kitaifa. Pamoja na yote Maalim si wa kubeza. Karibuni kwenye mwendelezo wa tungo hizi waungwana: Ninaamini Seif kaipigania Zanzibar mara zote katika namna ambayo hawapo wazanzibari wanaoweza kujinasibu zaidi yake. Asili ya uzi huu...www.jamiiforums.com
Pia kumbuka Maalim na ACT ni watu wawili tofauti. Maalim ni mpambanaji na hapa alipo kudhani kesha choka ni kujidanganya!
Siyo Zitto alitaka maandamano aliyetaka maandamano hajanunuliwa na CCM, pia ukumbuke maandamano yalipangwa tarehe 2 lakini tarehe 1 siku moja kabla Polisi kwa amri ya CCM wakawakamata viongozi wa CHADEMA, maandamano yalikuwepo lakini Polisi wakayazuia kwa uoga wao tu.Same suckers walitaka kutuingiza barabarani kwa sababu ya kiduanzi kwamba hawakubaliani na matokeo! Wanafanya nini saizi! Sio ushahidi tosha kwamba walishindwa kihalali.
Viongozi wa upinzani wa nchi hii are hookers, watafanya chochote mkono uende kinywani.
Tanzania itakuja kuwa na vyama utitiri kama CongoSipati picha watu 100 wakaanzisha vyama vyao...