Yep, kweli kabisa ukiwa na PhD kwenye maswala ya kuwachamba vibibi vya kitasha nivigumu sana watu wakajuwa, maana ofisi yako ni maliwatoni most of the time.
ona huyu naye anavyokurupuka...Kuosha vibibi unasomea mwezi na wanakupa kazi.
nazungumzia wanasiasa haohao
hivi wewe unajua kama Goldon Brown ana PhD?au Condoleeza Rice,tena aliipata akiwa na miaka 26?