Zitto Arejea Ujerumani kwa PhD

Mbala-mwezi

Member
Sep 27, 2009
22
3
Wakati mjadala wa mgawo wa umeme ukizidi kushika kasi, na jana kijana Zitto kuamua kuvunja ukimwa kwa kutoa mapendekezo ya aina mbili; kushinikiza IPTL iwashe mitambo wakati mazungumzo yanaendelea..na kutaifisha mitambo ya Dowans....hotuba ambayo bado imetanda kwenye mijadala Tz kuanzia ndani ya JF, magazetini na sasa mitaani...mwenyewe leo ameelekea ujerumani kimasoma ambako anachukua PhD katika masuala ya sayansi ya uchumi.

Najua Ujerumani hakuna mgawo...tunapojadili hotuba yake eneo muhimu zaidi liwe kutoa mapendekezo au kupitisha mapendekezo na hatua za kuchukua kuhakikisha mapendekezo mazuri yanatekelezwa na serikali badala ya kubishana huyu hivi, huyu vile huku mgawo ukiendelea kutikisa nchi.
 
Wakati mjadala wa mgawo wa umeme ukizidi kushika kasi, na jana kijana Zitto kuamua kuvunja ukimwa kwa kutoa mapendekezo ya aina mbili; kushinikiza IPTL iwashe mitambo wakati mazungumzo yanaendelea..na kutaifisha mitambo ya Dowans....hotuba ambayo bado imetanda kwenye mijadala Tz kuanzia ndani ya JF, magazetini na sasa mitaani...mwenyewe leo ameelekea ujerumani kimasoma ambako anachukua PhD katika masuala ya sayansi ya uchumi..najua ujerumani hakuna mgawo...tunapojadili hotuba yake eneo muhimu zaidi liwe kutoa mapendekezo au kupitisha mapendekezo na hatua za kuchukua kuhakikisha mapendekezo mazuri yanatekelezwa na serikali badala ya kubishana huyu hivi, huyu vile huku mgawo ukiendelea kutikisa nchi.


Hicho ni kitu kizuri sana kwake. Laiti angeenda shule kabla ya kuongea utumbo wake wa jana. Nadhani itampa nafasi ya kutafakari na kuja na taarifa ya kuomba msamaha kwa matamshi yake ya kipuuzi!
 
Kila la heri Zitto, moto uliouwasha Ngereja anajitahidi kutaka kuuzima lakini anasitasita. Tunasubiri Press Conference ya RA kama atatoa mitambo yake charity kwa Govt kuisaidia kwa ajili ya uchaguzi mwakani.
 
namtakia kila la kheri;ila ni vyema MUNGU AMSAIDIE AKASOME PHD ITAKAYOMSAIDIA YEYE NA WATANZANIA BADALA YA MIFUKO YAKE;KAMA ALICHOFANYA KWA DOWANS
 
Phd itasaidia vipi constituents waliompa ubunge? Naona Zitto priorities zake muhimu ni kutafuta umaarufu bungeni na kujiendeleza binafsi tu
 
Phd itasaidia vipi constituents waliompa ubunge? Naona Zitto priorities zake muhimu ni kutafuta umaarufu bungeni na kujiendeleza binafsi tu
Karibuni ataitwa mheshimiwa dokta Zitto Zuberi wa Kabwe.
Ila awe mwangalifu asije na u dr wa wakina Kamara na wenzie! Lazima atuthibishie pasipo shaka Kwamba kasotea kabla hatujabadilisha jina lake na kulitanguliza na dokta.
 
Germany Elimu bure na ukimaliza waambie wananchi wako umesoma bure kwa ajiri ya watu wenye vision walioona umuhimu wa kusaidia binadamu wote ili kufikia malengo yao na kujikomboa na sio bunge mnalopeana mikopo ya mamilioni kununua magari ya kifahari huku vijana wakinyimwa pesa za kula vyuoni na kuwafukuza eti wamegoma...magari mliyopeana mikopo na mafuta ya bure na bila aibu mkajiongezea madereva bungeni yanatosha kuwasha umeme nchi nzima!
 
Germany Elimu bure na ukimaliza waambie wananchi wako umesoma bure kwa ajiri ya watu wenye vision walioona umuhimu wa kusaidia binadamu wote ili kufikia malengo yao na kujikomboa na sio bunge mnalopeana mikopo ya mamilioni kununua magari ya kifahari huku vijana wakinyimwa pesa za kula vyuoni na kuwafukuza eti wamegoma...magari mliyopeana mikopo na mafuta ya bure na bila aibu mkajiongezea madereva bungeni yanatosha kuwasha umeme nchi nzima!
koba upo kaka ? ulijichimbia wapi lakini ?
 
Pongezi nyingi zikufikie Ndugu..Zitto hongera sana na kila la heri..taifa linakuhitaji sana..
 
Walimwambia Nyerere! Mwalimu nenda. Nasi hatuna budi kukuambia ZITTO NENDA!
Mwalimu yeye alikwenda kimoja, ila wewe tunakuombea ili utakaporejea, uwe umebadilika kuwa msikivu na mwepesi wa kushaurika.

Wakati Kitila alipokuwa anagombea uongozi wa daruso, aliwamaambia wanachuo wenzake kuwa mti mmoja hauwezi kujenga msitu! Labda ukirejea, utakuwa umejifunza kuwa mti mmoja hauwezi kufanya msitu!
 
Kwa wanaotaka kusoma Phd (free) Zurich

I hope ni free of tuition fee tu, mtu awe na stipend, hali kadhalika nauli. Return ticket hadi huko si chini ya dola 1000, kama upo Zurich sema kabisa na kadirio la gharama za kuishi kwa mwezi.
 
Ninasubiri kuona kama Zitto ataandika paper kuhusu mapendekezo ya utaifishaji (ununuaji kupitia mlango wa nyuma) wa makampuni kama dowans.
 
Put record straight jamani,

Mh. Zitto hafanyi PhD. He is doing his Masters. Jamani watu mkileta mada hapa ni vyema kufanya research. Sasa angalia thread nzima wamemuamini mleta mada, wakati na yeye hana uhakika na anachokiandika. Next time please do your research siyo kuja hapa kutoa info ambazo wewe mwenyewe huna uhakika nazo. NA HAPA NAANDIKA KWA CONFIDENCE MAANA NAJUA KABISA MKUBWA ANAFANYA MASTERS na Siyo PHD.

Otherwise, jamani, tujifunze kitu kimoja. Kutokubaliana siyo uadui. Kama hukubaliani na Mh. Zitto nadhani ni kwa mtizamo wa hoja, na si vyema kuanza kudemonize each other. Thats politics. Tushindanishe hoja. emotions zetu zisitufanye tuone wale wasiokubaliana na mawazo yetu kama wasaliti. Hapana siyo vyema. After all we cant be the same and our way of thinking is and must be different. Personally sikubaliani na mtizamo wa Zitto katika hili la DOWANS lakini sina budi kuuheshimu mtizamo wake. Maana atleast yeye kauweka wazi..ni tofauti na sisi tuanoandikia kwenye keyboard ya computer bila kuongea mbele ya umma. We should stand up and be counted.

Otherwise na mimi ningependa Serikali inunue mitambo hii moja kwa moja toka kiwandani. Kama inaweza kuagiza mashangingi mia saba kutoka Japan..kwanini ishindwe kuagiza genereta mbili toka GE or Siemens? Something fishy is in the pipeline.

Otherwise kwa Mh. Zitto, kila lakheri katika masomo yako. Elimu ni lulu. It neither has limits nor an end. Ongeza ujuzi urudi tulijenge taifa.

Masanja,
 
wanasihasa wa bongo washaona kuwa na PhD ni ujiko
watu kiwanja wanazo na wala huwezi kujua kama wanazo.
 
wanasihasa wa bongo washaona kuwa na PhD ni ujiko
watu kiwanja wanazo na wala huwezi kujua kama wanazo.

Yep, kweli kabisa ukiwa na PhD kwenye maswala ya kuwachamba vibibi vya kitasha nivigumu sana watu wakajuwa, maana ofisi yako ni maliwatoni most of the time.
 
Back
Top Bottom