Zitto aongea na Power Breakfast ya Clouds FM

Mimi sina tena cha kuongeza hapa mengi tumeandika na tena yeye Zitto atakuja hapa na kuongea yeye mwenyewe juu y haya mambo
 
Waungane kwa misingi ipi ? Unajua kwamba kuungana kumesha jaribiwa kukashindikana ama wewe ni maneo tu hapa JF kila kukicha ? Huyo Zitto na Chadema wamejaribu ikawa shida . Huwezi kuungana na mtu kama UD ana CUF wakiwa na mtizamo toafuti na Tanzania kwanza . Mnawapa sana lawama wapinzani lakini eti nyie mnaishi kama si part ya Watanzania ambao wanaweza kuungana mkono wanayo yafanya wapinzani. Nakataa siasa za makaratasai na hasa JF nenda kweney ground fanya kweli na si ushabiki pekee .

Alternatively? Lete figures and facts! Ukisema hiki hakiwezekani, basi leta alternative supported with evidences.
 
Zitto siku hizi ananishangaza sana. Anawezaje kutangaza kuwa NCCR ina nguvu kuliko CHADEMA Kigoma Kusini wakati ambapo Uchaguzi wa mitaa 2009 CHADEMA ilipata viti vingi kuliko NCCR? Halafu anaji-contradict, kama kweli NCCR ina nguvu kama alivyosema, na kwamba anataka CHADEMA iachie NCCR ili NCCR ishinde; vipi siku zote amekuwa akisema hapa kwamba anataka Kafulila ashinde jimbo hilo kupitia CHADEMA? Sasa kwa kuwa tu Kafulila kahamia NCCR basi ndio amebadili msimamo sasa anataka NCCR ishinde?

Halafu si Zitto huyo huyo aliandika hapa JF kuwa NCCR imefadhaliwa mwaka 2005 na bado inaendelea kufadhiliwa kwa fedha za EPA? Sasa leo Zitto anatangaza kuunga mkono chama ambacho amekitangaza kuwa kinaendeshwa na fedha za ufisadi na wagombea wake wanafadhiliwa na mafisadi?

Zitto huyu huyu alimnadi Muslim Hassanal kupitia CHADEMA mwaka 2005, Muslim ambaye ni mjumbe wa baraza la wadhamini mpaka sasa kupitia CHADEMA? Je, Zitto anamaanisha kuwa kiongozi wake huyu wa CHADEMA hafai anayefaa ni Kafulila wa NCCR? Labda Zitto atueleze bayana mapungufu ya Muslim na CHADEMA mpaka atangaze live kumuunga mkono Kafulila na NCCR.

Asha
 
Zitto siku hizi ananishangaza sana. Anawezaje kutangaza kuwa NCCR ina nguvu kuliko CHADEMA Kigoma Kusini wakati ambapo Uchaguzi wa mitaa 2009 CHADEMA ilipata viti vingi kuliko NCCR? Halafu anaji-contradict, kama kweli NCCR ina nguvu kama alivyosema, na kwamba anataka CHADEMA iachie NCCR ili NCCR ishinde; vipi siku zote amekuwa akisema hapa kwamba anataka Kafulila ashinde jimbo hilo kupitia CHADEMA? Sasa kwa kuwa tu Kafulila kahamia NCCR basi ndio amebadili msimamo sasa anataka NCCR ishinde?

Halafu si Zitto huyo huyo aliandika hapa JF kuwa NCCR imefadhaliwa mwaka 2005 na bado inaendelea kufadhiliwa kwa fedha za EPA? Sasa leo Zitto anatangaza kuunga mkono chama ambacho amekitangaza kuwa kinaendeshwa na fedha za ufisadi na wagombea wake wanafadhiliwa na mafisadi?

Zitto huyu huyu alimnadi Muslim Hassanal kupitia CHADEMA mwaka 2005, Muslim ambaye ni mjumbe wa baraza la wadhamini mpaka sasa kupitia CHADEMA? Je, Zitto anamaanisha kuwa kiongozi wake huyu wa CHADEMA hafai anayefaa ni Kafulila wa NCCR? Labda Zitto atueleze bayana mapungufu ya Muslim na CHADEMA mpaka atangaze live kumuunga mkono Kafulila na NCCR.

Asha
Haaaaa haaaaa haaaa! U maji leo!
 
Zitto siku hizi ananishangaza sana. Anawezaje kutangaza kuwa NCCR ina nguvu kuliko CHADEMA Kigoma Kusini wakati ambapo Uchaguzi wa mitaa 2009 CHADEMA ilipata viti vingi kuliko NCCR? Halafu anaji-contradict, kama kweli NCCR ina nguvu kama alivyosema, na kwamba anataka CHADEMA iachie NCCR ili NCCR ishinde; vipi siku zote amekuwa akisema hapa kwamba anataka Kafulila ashinde jimbo hilo kupitia CHADEMA? Sasa kwa kuwa tu Kafulila kahamia NCCR basi ndio amebadili msimamo sasa anataka NCCR ishinde?

Halafu si Zitto huyo huyo aliandika hapa JF kuwa NCCR imefadhaliwa mwaka 2005 na bado inaendelea kufadhiliwa kwa fedha za EPA? Sasa leo Zitto anatangaza kuunga mkono chama ambacho amekitangaza kuwa kinaendeshwa na fedha za ufisadi na wagombea wake wanafadhiliwa na mafisadi?

Zitto huyu huyu alimnadi Muslim Hassanal kupitia CHADEMA mwaka 2005, Muslim ambaye ni mjumbe wa baraza la wadhamini mpaka sasa kupitia CHADEMA? Je, Zitto anamaanisha kuwa kiongozi wake huyu wa CHADEMA hafai anayefaa ni Kafulila wa NCCR? Labda Zitto atueleze bayana mapungufu ya Muslim na CHADEMA mpaka atangaze live kumuunga mkono Kafulila na NCCR.

Asha

Bado nina kumbukumbu za kampeni za Ubunge Tarime na NCCR, pamoja na kujua hawana nafasi, walijiunga na vyama vingine kuhakikisha Chadema haishindi - lakini Mungu si athumani ! Hata hivyo watanzania wataendelea kunishangaza sana - hebu fikiria uhasama uliotokea kati yangu na rafiki zangu mwaka 2005 eti kuhusu umaarufu wa JK !. Leo hii anatokea mtu hana tatitzo na uamuzi wa Zitto wa kumwunga mkono Kafulila at the expense ya chama chake Chadema kwa lame excuse eti kuimarisha upinzani. Jamani ni upinzani ndio unajengwa hapa au Chadema ndio inapigwa vita - kweli yahitaji degree ili kuliona hili ? Katu huwezi kukata tawi ulokalia, period - vinginevyo ni wenda wazimu. Naungana na wote wanaoitakia mema Chadema kukaa macho na hizi mbinu za kukidhoofisha chama kwa kisingizio cha kujaribu kufufua vilivyopoteza uhai siku nyingi.
 
Bado nina kumbukumbu za kampeni za Ubunge Tarime na NCCR, pamoja na kujua hawana nafasi, walijiunga na vyama vingine kuhakikisha Chadema haishindi - lakini Mungu si athumani ! Hata hivyo watanzania wataendelea kunishangaza sana - hebu fikiria uhasama uliotokea kati yangu na rafiki zangu mwaka 2005 eti kuhusu umaarufu wa JK !. Leo hii anatokea mtu hana tatitzo na uamuzi wa Zitto wa kumwunga mkono Kafulila at the expense ya chama chake Chadema kwa lame excuse eti kuimarisha upinzani. Jamani ni upinzani ndio unajengwa hapa au Chadema ndio inapigwa vita - kweli yahitaji degree ili kuliona hili ? Katu huwezi kukata tawi ulokalia, period - vinginevyo ni wenda wazimu. Naungana na wote wanaoitakia mema Chadema kukaa macho na hizi mbinu za kukidhoofisha chama kwa kisingizio cha kujaribu kufufua vilivyopoteza uhai siku nyingi.
Baada ya kuzisoma hoja zako na za Asha nimeamua kubadili msimamo na naungana nanyi maana hoja zenu zina nguvu.:)
 
haya mambo ya kungangania watu wa chama kimoja ndiyo yanafanya tuwe hapa tulipo, ingekuwa kama mawaziri wanatoka hata kwenye upinzani, nina imani wapo wengi tu ambao wangeziongoza wizara zao vizuri kuliko hao waliopewa wa chama kimoja, kama zitto anaona kafulila anaitajika bungeni, ni vizuri tu akamsaidia hile afanikiwe, haya ya kuangalia chama yanakwamisha maendeleo mengi.
 
watu piiiiiiiiiiiiipooooooooooooooooooooooooooooooooo!! Wewe Zitto unatuchanganya kwani Ubunge sio mtamu? je pesa Hupati utasemaje kipindi kimoja tu wamekupa jibu maisha ni mwako yote ili mradi ulete challenge katika Bunge.Tema mate chini mshukuru mugnu kwa kukupa Uhai na ukapata Jimbo pia Unajua utaumbuka na Uchawi wenu? wa Chigomaa?? Gombea tena tutakusapoti katika masuala yote.kama unataka hela weka akaunti yako hapa nitakupa 200M za uchaguzi
 
Sishangai zitto kumpigia kifua Kafulila:
Eti b'se ni chama kinginine jamani plz eleweni kwamba he's doing that for the benefit of opposition side, rather than that, tukubali kuwa CCM itachukua tena hilo jimbo na ikumbukwe kuwa lilikosekana kizembe tuu (kutokuwa na umoja ndani ya upinzani) ni kwanini tusiachiane majimbo, kwanini tusipeane support na kwanini tusiwe na sauti moja?..
QUOTE]

Nakubaliana na wewe katika hilo of course we dont want CCM to win, ni bora awe mpinzani yeyote kuliko CCM.

Ila Zitto amebadilika; something somewhere happened , soon or later tutajua tu kuna kitu gani kiliendelea kati ya Zitto na CCM. Nahisi kama amekaa kaa kuvuruga Chadema, especially baada ya kutoa maamuzi yale ya kukubali kuishauri serikali inunue Dowans. From there on sikumuelewa mpaka leo. Japo wazo lake la hapo juu make sense.
 
Zitto angetulia, angekuwa mbali sana kisiasa. Kwa sasa anaendelea kuchuja siku hadi siku. Makosa yake ni pamoja na:
-Kufanya kile anachofikiria bila kutafakari(ubinafsi)
-Kuamini kwamba anapendwa saaaaana!
-n.k
 
Zitto angetulia, angekuwa mbali sana kisiasa. Kwa sasa anaendelea kuchuja siku hadi siku. Makosa yake ni pamoja na:
-Kufanya kile anachofikiria bila kutafakari(ubinafsi)
-Kuamini kwamba anapendwa saaaaana!
-n.k

Angekuwa mbali kisiasa kivipi mkuu,fafanua hapa....Maana so far Zitto ni Mbunge,na ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA..Nifafanulie mkuu(kama hautajali)
 
Sipendi watu wanomung'unya maneno, sipendi watu wanaojificha chini ya zulia. Zitto bado kijana lakini ameonyesha ukomavu. tufike mahali tuzungumze kile tunachoamini hata kama kinawaudhi wakubwa, hata kama unahatarisha the so called umaarufu wako.

Stand firm Zitto.
 
It is just the matter of time, sasa hivi anaogopa kutoka atapoteza ubunge na pension zote. Ukweli ni tofauti na anachotamka. Wajasiriamali wa chadema waliopeleka mabinti na wakwe zao viti maalum bungeni wamembana na hawamtaki.

Veritas vos liberos faciet-the truth shall set you free!
 
It is just the matter of time, sasa hivi anaogopa kutoka atapoteza ubunge na pension zote. Ukweli ni tofauti na anachotamka. Wajasiriamali wa chadema waliopeleka mabinti na wakwe zao viti maalum bungeni wamembana na hawamtaki.

Veritas vos liberos faciet-the truth shall set you free!
inawezekana
 
Siasa mchezo mchafu sana. Acha kutuzuga dogo. Au umeshajua kuwa hati hati ya kupata kura 2010 ni ndogo ndiyo maana unajihami kuwa ulisema utakuwa Mbunge kwa term moja tu?? Pole kijana.

Kwa ufupi Chadema wameshakuchoka. Wanakutafutia tu tundu bovu la kuondokea!!! Kwa heshima wanasubiri umalize Ubunge tu. Zitto, wewe ni ndumi la kuwili. Your credibility has gone down to negative!!!
 
Back
Top Bottom