Waberoya, sasa hapa upi ushabiki unaouongelea - ushabiki kwa Chadema ama ushabiki kwa Zitto, ni swali tu.
wote mashabiki wa zito na wa chadema, umesoma ile thread ; Tanzania's missing opposition? na umesoma report ya redet.
Analysis should be more than one dimension;
Utagundua yes we do love these parties , but we have a long way to go; tusipende kitu kisichokuwepo.Just imagine mag3 na post zako zote za kuipenda chadema kesho tunapata kura 2! but if we will criticaly construct chadema tukapata kura 100, kwangu mimi ina faida.Lisikuumize swala la Zito, huwa wanamsema sana Zito na huwa napenda kuangalia upande wa chama zaidi, na hii imetafsiriwa labda namtetea. Wote tukiangalia upande mmoja hamna dicussion humu! I like to challenge ideas, to challenge people kuona kama wanachoamini ndio wanachoandika, believe me Mag. Sasa mtu anakasirika na kutoa matusi kwenye forum yenye member 8000, na sio wote wanaozipitia hizi thread. The ver same member kesho unamtuma aende Kigoma akakipigie kampeni chadema, ukifika field watu wanauliza nasty questions, na kupata kura ni function how people will be convinced by your argument na sio matusi.
Hili sio kwenye mijadala ya chadema na zito tu, ni tatizo letu sehemu nyingi; sijajua ni elimu yetu, malezi, au ...culture, wakati makanisani tunaambiwa mkiwapenda jirani na kuwaonyesha mifano mizuri, watavutika kuja kanisani! I do hope in these parties this technique applies. Chama chenye wanachama wenye matusi, hasira n.k. Kupata kura sio rahisi, kuwabadilisha watu inabidi uwe kweli una ujuzi wa kupanga hoja na mapoint na sio matusi
In short Zito hayumo chadema, if we real believe that love start form the heart! kumwekea zengwe la uchaguzi na kumpa pipi ya uongozi, havijasaidia lolote.My worry ni kuwa kesho asitokee tena mtu kama yeye akalalamika the same thing ambacho walioondoka na kufariki walilalamika!
kasome zile paper Mag, tukutane huko
My dream ni kuwa kiongozi au mwanachama mwaminifu ndani ya chama, lakini sitaweza kuingia kama I can not fullfill my dream.Naota kuwa waziri wa ujenzi kupitia chadema ikishika nchi! can my dream be real?, think! thats what I am fighting for. Mpaka leo hakuna aliyenipa sababu ya Zito kutokugombea uongozi, mpaka leo sijajua kwa nini Zito yumo Chadema huku anapiga kelele! nikianza analysis zangu za sifa za chama na uongozi, hawa wote hawana sifa za kuwa chama au uongozi! I mean Chadema and Zito. Na hapa wanaweka matumaini yangu katika rehani! Yes I still love Chadema, ila hakuna anayeniconvince kwa kunipa majibu ili tumain langu lisiyeyuke, maana ukiondoa chadema wengine wote, hamna kitu!
By the way huyo jamaa niliyemjibu hapo juu tangu 2007 mpaka leo yeye anatukana matusi tu, namwandalia thread awe baned! mbona sio mstaarabu kama wengine??
Huwa nawatania chadema angalia Mnyika anavyojibu maswali, muulize any nasty question, Mnyika anaanza taratibu kwa upole na anakuvuta unavutika. Mbowe naye anaweza kujibu maswali bila hasira.
I believe forums is a nice place to analyse things critically in debate-like style.
I can pose a question to seek for an answer, but does not necessarily that I believe in the question I have asked. some we do need points!. However what you wite need to be what uou believe and should apply to all issues.