Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
Kesha kufa kisiasa achane sasa kumpandisha chati kwa kumjadili yeye kila siku kumbuka umaarufu unakuja kwa kusemwa vibaya au vizuri ,habari zake hazina mshiko tena watu wamejadili sana hapa na tumeshapata ufahamu kuhusu yeye
 
Mh jina lako lanitishia shala na hizo habari

Huyo ni mmoja kati ya watu waliochukua ID mpya mwezi Nov ili kuivuruga CHADEMA kwa kujifanya

wanamshambulia Zitto. Embu hayo mambo waachiwe CHADEMA wenyewe watoe tamko na siyo kudandia

habari za juujuu bila uthibitisho.




SHETANI ONE

reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join Date: Tue Nov 2010
Posts: 20
 
aaaaaha mwisho wa chadema huyoooooooooooo.
Ikiwa ni kweli wamefanya hayo yaliyosemwa hapo juu basi KWa hili ntakubaliana na wewe 100%

Chama gani hakina siri ya vikao wala staha ya kukaa chini na kuangalia a common enemy? Ile inteligensia ya wapinzani kuparaganyika itakua imeswihi na walezi wake watapata faida sana duniani

Yani wamemaliza shida zote za wananchi hadi kuanza kufukuzana?

Zitto ni mtu wa kuachwa hadi siku moja ataondoka mwenyewe
 
Mbona anachelewa? Achape mguu akasubiri uwaziri wa madini na nishati wa serikali ya Lowasa na Rostam kama hawatamtosa. wamemjaza mahela kuua Chadema.Tuko makini.
 
kesha kufa kisiasa achane sasa kumpandisha chati kwa kumjadili yeye kila siku kumbuka umaarufu unakuja kwa kusemwa vibaya au vizuri ,habari zake hazina mshiko tena watu wamejadili sana hapa na tumeshapata ufahamu kuhusu yeye

especially majungu maana yana tabia ya kumjenga unayemjungua
 
Mh!haya mambo inabidi yafanyike kwa hekima kubwa,ili yasije yakavuluga chama!!
 
zitto ze great fool, malaria sugu the most crazy in the world.
 
itakuwa vizuri akafie mbali kama Mrema wa TLP, hata kwenye chama Kikuu cha CCM kulikuwepo vinara wa siasa kama G50 wapo wapi bwana sifa moja mguu juu, ingomaikivuma sana ................upa..., tujadili kingine bwana tumechoka, hivyi kwa nini hamjadili Umeme Kukatika, Kupanda kwa mkaa na Gesi, na kupanda petrol, au ?
 
aaaaaha mwisho wa chadema huyoooooooooooo.

Ambaaaaaaaaaaaa zako kule mbali, kwani CHADEMA ni zito. Hata hakiondoka CHADEMA itabaki pale pale kama chama. Meza dawa hata kidogo upumzike kuleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ili upunguze malaria.
 
Aliondoka Dr Walid Amaan Kaburu akiwa katibu mkuu na machachari zaidi ya Zitto na CDM bado ikadunda
 
Basi ungengoja mpaka uwe na uhakika kwa ishu nyeti kama hiyo; yaani unawashwa hata huwezi kusubiri? Patience and truth are virtues we must uphold
there is no need to wait any longer!
 
Jamani naombeni wana JF msimlaumu huyu Zitto Kabwe ila muilaumu CCM kwa kutufanya watanzania tuwe masikini na kuwa na tamaa za kijinga kama ya Zitto Kabwe. Ikiwezekana kuanzia sasa moderator azuie thread zote zenye jina 'Zitto' kwasababu zinaboa.
 
Jamani naombeni wana JF msimlaumu huyu Zitto Kabwe ila muilaumu CCM kwa kutufanya watanzania tuwe masikini na kuwa na tamaa za kijinga kama ya Zitto Kabwe. Ikiwezekana kuanzia sasa moderator azuie thread zote zenye jina 'Zitto' kwasababu zinaboa.
Tukianza na thread yako hii inaboa, kwanini usingetoa mawazo yako haya kwenye thread zingine zilizopo zinazomhusu zitto?
 
Jamani naombeni wana JF msimlaumu huyu Zitto Kabwe ila muilaumu CCM kwa kutufanya watanzania tuwe masikini na kuwa na tamaa za kijinga kama ya Zitto Kabwe. Ikiwezekana kuanzia sasa moderator azuie thread zote zenye jina 'Zitto' kwasababu zinaboa.


Swadakita!
 
Acha kutetea utumbo Sio kweli kwamba Zitto ni masikini wa kiasi kikubwa hivyo, kwani wewe na zitto nani ni masikini mkubwa? Je unataka kusema watanzania waliompa kura TUNDU LISSU the great ni matajiri kuliko zitto? Ingekuwa Umasikini ulioletwa na ccm ni kigezo basi leo hii wanaCHADEMA tusingekuwa tunajidai kwa ushindi tulioupata mwaka huu. Zitto ni mwehu tu.
 
I hate CCM lakini acha niwaambieni ukweli, labda kama mnafanya kwa kujifurahisha lakini CCM hawatotoka madarakani kwa hizi thread zenu za kwenye JF. Wapiga kura wengi wapo vijijini na hawana uwezo wa kutumia internet. Kama kweli mko serious ni bora mtafute njia nyingine la sivyo tutalalamika hadi Yesu arudi CCM hawatatoka madarakani kamwe.
 
I hate CCM lakini acha niwaambieni ukweli, labda kama mnafanya kwa kujifurahisha lakini CCM hawatotoka madarakani kwa hizi thread zenu za kwenye JF. Wapiga kura wengi wapo vijijini na hawana uwezo wa kutumia internet. Kama kweli mko serious ni bora mtafute njia nyingine la sivyo tutalalamika hadi Yesu arudi CCM hawatatoka madarakani kamwe.

Mkuu kwakuwa wewe ni mwana jf pia basi hiyo njia nyingine ungeanza kutuonyesha wewe.
 
@Ndibalema, hayo uliyoongea ndo vitu vya kujadili huku kwenye JF badala kulalamika na kutukana tuuu. Mimi natokea old moshi maeneo yaleyale anayotokea mama Anna Mkapa lakini unaweza ukakaa mwezi mzima hujaliona gazeti sasa hao walioko kwenye mikoa ya pembezoni inakuwaje? To be honest with you guys, inabidi tujaribu njia nyingine mpya kwasababu miaka mitano siyo mingi. Nafikiria njia mpya na nitaitoa ili nanyie mchangie mawazo yenu. Inabidi watu wote na hasa wa vijijini wawe na uwezo wa kuona tunayoyaandika humu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom