kigumu twawala
Member
- Nov 23, 2010
- 50
- 2
Punguza kutaja majina hasa ya kiongozi wako(hasa kwa mwelekeo wa kushoto) hapa unaonyesha kikao kilikuwa si cha chama ni cha Mbowe ulitakiwa kusema kulikuwa na kikao cha chama na wewe ulishiriki kama mmoja wa viongozi wakuu wa chama. Usiwe una-personalize vitendo vya chama.[/QUOTE
Huko nyuma alishaeleza jinsi alivyo tumiwa kumuwezesha EL kukutana na FM. Hivi manataka mpaka watu watumie maelezo gani kuona na kuelewa kuwa huyu ZK anatumiwa? jamani! Tahadhari kwenu ni kuwa wachangiaji humu JF ambao hamtumiwi msije na nyie mkatumiwa na wanaotumiwa bila kujijua.
Kweli hukusema CHADEMA kuna udini but kulisema nchi hii ina uchaguzi wa kidini.. Je ni agenda ya chama chako? ni kweli?
Ni vyema ikajulinana kuwa Zitto amekuwa "Zitto" kwa sababu ni mtu mwenye msimamo na anayependa kuweka wazi misimamo yake. Misimamo hiyo inapokuwa kupinga utendaji mbovu wa serikali sote hujarijika na kumpongeza. Hata hivyo, ni vyema tukatambua kuwa utendaji mbovu au makosa hayako serikalini tu. Yako kwa kila mmoja wetu popote tulipo. Na Zitto akiona atasema. Na ninaamini kwa asilimia 100 kuwa hufanya hivyo kwa maslahi ya Taifa.
Sasa basi tusimtake Zitto awe "Zitto kamili" kwenye hoja zinazohusu serikali, huku tukimtaka awe "nusu- Zitto" kwenye hoja za kichama.Kwa maslahi ya Taifa Zitto na watu wenye tabia kama zake wanapaswa kupongezwa, kuungwa mkono na kuongezewa nguvu. Ni kwa jinsi hii tu,tunaweza kupata utawala bora unaojali sheria. Zitto akiogopa kusema maoni yake kwa kisingizio cha maslahi ya Chama ilhali Taifa linahujumiwa, hawezi kuwa Zitto tunayejivunia.
aaaaaha mwisho wa chadema huyoooooooooooo.
CHADEMA is not about Zitto or any one else....is ALL ABOUT PEOPLES POWERS.
Wataondoka na watakuja viranja wengine machachari zaidi ya hao.
aaaaaha mwisho wa chadema huyoooooooooooo.
Hahah! Usihangaike nae. Add ktk ignore List like this:Nimeamini we malaria Sugu Una matatizo!!! si uhamie kwa michuzi
Kuna mwana JF alileta habari kwamba Zitto Kabwe amevuliwa uwanachama. Nimefuatilia na nimepata habari kama ifuatavyo.
Kikao kilichokuwa kimeendelea Zitto alitakiwa kujiuzulu nafasi zote za Uongozi ndani ya chama. Kama vile naibu katibu mkuu, Naibu kiongozi kambi ya upinzani bungeni na vingine vyote kama vipo. Anatakiwa kubakia kama mbunge na mwana chama wa kawaida kama alivyo mzee Sugu.
Kutakuwa na kikao kingine tarehe 9 hivyo bwana Zitto anao muda wa kufikiria mpaka hiyo tarehe kama achape mwendo au vipi.
Source ni gazeti moja lisilo la mafisadi hivyo am not sure kama watazirusha kesho au la.
Kuweni wapole nitaendelea kuwafahamisha.