Msajili wa vyama vya siasa angalau angekuwa na kauli au mamlaka flani hivi kisheria inayomruhusu kuamua kama mtu aliyefukuzwa uanachama wa chama fulani taratibu, haki zimefuatwa. Huyu wetu anasimamia RUZUKU tu na kusajili. Msajili pia angeangalia kama fukuzafukuza hii ina maslahi kwa Taifa au inalinda tu maslahi ya wakubwa ndani ya vyama hivi.
Tendwa, peleka marekebisho ya sheria iliyounda ofisi yako ili tusihangaishwe na wenye vyama hivi.
Tendwa, peleka marekebisho ya sheria iliyounda ofisi yako ili tusihangaishwe na wenye vyama hivi.