Zitto amkaribisha Kafulila CHADEMA

hebu tujiuliza, kati ya kafulila na shibuda yupi at least ana common interest na chadema??
mtm, currently kati ya hao hakuna mwenye common interest na cdm, ila shibuda ni soo, mtu uyu hatari wajua kuwa anaudhuria ata warsha mbalimbali za ccm, yaani shibuda hafai ni kiburi, mnafiki nk hana interest na cdm, na ninahamini viongozi wa cdm wako very smart, hawataki kuingia ktk unnecesary confrontation na mwanachama wake kwani logically itakuwa ni kwa manufaa ya ccm na kosa lilikuwa kumkubali agombee kule maswa, kafulila namuona kama mtu anayeweza kuwa moulded uyu bado ni kama samaki mbichi anayeweza kukunjika ata akawa accomodated ktk interest za cdm na naamini atakuwa na adabu uko mbeleni mkuu
 
Kafulila alikuwa na malengo mazuri sana, lakini tatizo ni strategies jamani.... wee angalia Zitto alivyoshindwa kutumia akili hadi akaamua kupiga simu mwenyewe polisi.
 
Anakaribishwa lakini kwa masharti mawili asigombee cheo chochote zaidi ya ubunge na asaini makubaliano ya kutoropoka chochote kuhusu chadema, akikubali hayo atatufaa
 
Tatizo la Zitto ni mwanasiasa lakini siyo mmahiri wa siasa! Ndiyo maana mara nyingi anajikuta ameboronga! Na udhaifu wake huo utaendelea kumuangamiza kisiasa! Na nadhani ameshafikia kwenye point of no return!!!
 
Hata akirudi kuhusu kugombea ubunge lazima kura za maoni zifanyike hata kama alikuwa mbunge!
 
Huyu Zitto nae anatafuta umaarufu wa kisiasa na migogo na viongozi wenzake.

Ni wazi Kafulila akishawika na ombi la Zitto la kurudi, Chadema watampa masharti kuweka mambo sawa jinsi alivyoondoka nani wazi Kafulila hatakataa na uwezekano mkubwa Zitto atamwunga mkono kurudi bila masharti. Kafulila ataamia Cuf au chama kingine, atagombea tena kutetea kiti chake na atashinda.Zitto atakimbilia facebook kuandika message ya kujisifia kuhusu ombi lake like it was a rocket science na kuponda uhamuzi wa chama.
 
Zitto Kabwe swahiba na mshirika wa karibu wa mbunge aliyetimuliwa kwenye chama chake Kafulila,ameweka wazi kutojihusisha na sakata la kafulila kwa namna yoyote.Akiweka maelezo kwenye ukarasa wake wa Facebook ameshindwa kujitetea kuhusu tuhuma za yeye kuwaita polisi.Hata hivyo ameelezea kuwa huwa mara zote yuko upande wa mtu anayeonewa na mnyonge. Mwisho ameweka wazi Kafulila anakaribishwa CDM na kwamba hakufukuzwa hivyo katiba ya Chadema ipo wazi anakaribishwa source FB
...........mh! hii njemba (Kafulila), sio ya kukaribishwa kirahisi ki-vile, hapa nachelea kufananisha tabia zake na za Sitta, yaani unafiki.
 
tatizo la Kafulila ama hashauriki au anachagua watu wakumshauri na wala si ushauri wao!!!
 
kwani huyu kafulila hana haki ya kukata rufaa mahakamani? grounds anazo nyingi sana ikiwemo mamluki waliochahaguliwa na mbatia kwani alisahwapnga kumkataa,mbatia kawa a judge on his own course.
pili tuhuma zake zimethibitishwa pasipo kuacha mashaka??? walifikiria wananchi waliomchagua? kwanii wasiige kwa wenzao magamba
¨kule hata uwe fisadi mla watu haufukuzwi chama unaambiwa vua gamba iweje chama chenye wabunge wawili watatu wamtimue uanachama huku wakijua wanapoteza mbunge na ruzuku itapunguzwa?? huyu mchaga kadata kabisa kaniudhi sana,Kafulila hebu rudi kasulu pale nunua radi ya sh 20 tuma kwa mahasimu wako. Waambie ni kwanii Malecela haendi Kigoma.
 
Heheheeeeee! CDM wasije wakafanya kosa kama ilo la kuingiza kirusi ndani ya chama chao. Aende zake mwanakwenda kwani alilewa sifa za kijinga na akajisahau kufikiri kama binadamu na badala yake akakubali mtu mwingine afikiri kwa niaba yake. matokeo yake amekua akikokotwa kama kondooo.

Kamponza kwa kila hali!
 
Heheheeeeee! CDM wasije wakafanya kosa kama ilo la kuingiza kirusi ndani ya chama chao. Aende zake mwanakwenda kwani alilewa sifa za kijinga na akajisahau kufikiri kama binadamu na badala yake akakubali mtu mwingine afikiri kwa niaba yake. matokeo yake amekua akikokotwa kama kondooo.

hata utoe wazo gani ni bure kwakua wewe ni mshenzi na mwendawa.z.m.u mkubwa!
 
Zitto Kabwe swahiba na mshirika wa karibu wa mbunge aliyetimuliwa kwenye chama chake Kafulila,ameweka wazi kutojihusisha na sakata la kafulila kwa namna yoyote.Akiweka maelezo kwenye ukarasa wake wa Facebook ameshindwa kujitetea kuhusu tuhuma za yeye kuwaita polisi.Hata hivyo ameelezea kuwa huwa mara zote yuko upande wa mtu anayeonewa na mnyonge. Mwisho ameweka wazi Kafulila anakaribishwa CDM na kwamba hakufukuzwa hivyo katiba ya Chadema ipo wazi anakaribishwa source FB

Kwani katiba ya CDM inasemaje? Kafulila anaweza kujiunga na CDM Kama mwanachama tu. CDM isimpe uongozi wa aina yeyote hata ujumbe wa kitongoji. He proved not to be a leader but a power monger. Mtu wa hivyo is dangerous popote atakapoenda. Mtakumbuka alijiunga na Cuf kuikandamiza CDM ili tu awekwe kwenye kamati za bunge!
Zito Hana mamlaka ya kutoa mualiko. Mbinu yake kumtumia Kafulila ili akamsafishie njia ya kuuchukua nccr imeshindwa vibaya.
 
Back
Top Bottom