Licchie20
Senior Member
- Oct 31, 2016
- 125
- 75
Toka zamani ilikuwa hivi, ukiacha kozi chache za miaka 3 za FTC na ualimu ule wa dipsheria mpya wew na form 4 yako anza cheti ndo ufikilie diploma
duuuuh haya bhanaHuku JF sio wote ni watoto wenzako ukazani wanasoma... Narudia tena KILEZER
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana kwa Ufafanuzi wako mzuriiiiiNafurahi sana kuona battle za hawa mafahali wawili hata siku moja mwanafunzi aliyesoma udsm sio rahisi kuikubali UDOM kutokana na hivyo hata wanafunzi wa UDOM huwa inawawia vigumu sana kuikubali UDSM kutokana na kejeli na ufahali na kujiona kwa wana udsm, hii imepelekea hata kufanya vibaya wawapo field ikiwamo kukataliwa baadhi ya maeneo kufanya field kutokana na majivuno waliyonayo huku wakijikuta hawafanyi vizuri kazi wanayotakiwa kuifanya
Samsung note7
0714531092 WHATSAPP ONLY
heshima iwepo mkuu chenga nani sasa we sifia chuo cha kata icho...na ww chenga kwel, kasome guid book sio kusapot habar za upotoshaji
wewe unawaza kudisko pole washauli vizuli wanao apply si tunapafamu vizuli...ww ulidisco nini, mbna mawazo yako NEGATIVE TU
huu ni ukweli kabisa
Kumbe kozi zinazotelewa U zote zinapatikana SUA! Asante mkuu kwa ufafanuziukikosa U nenda SUA ikikosa SUA achana na mopango ya kusoma
Sent From Ikulu-Magogoni street
Mbona hizo 5 hazipo kwenye guide book? Au ni kujitungia?kwanin kispokeee maombi meng wakat ndo chuo chuo hakina competition ma cutoff points ya 4.0 utashindwa??wakat ud cutoff minimum ni 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Wewe ni product ya UD au bado unasoma?usikariri kitabu ata TCU wameonesha hayo ss unataka ulazmishe udom na us view suti dogo hiyo haiwezekan.ndoana rank ya afrika ud na udom vinafanana??wew na hao wanaorank nan eanatumia vigezo zaid??au kwakua ukiangalia majengo yanarang murua unahis ndo pako juu.hamna graduate utakaemlazimisha kuamin hill lako LA udom kukikaribia us kitaaluma.is to she matuitor karibu wote ni product za udsm.habiel luvanda,peter temu in matuitor pale na nimesoma nao BT product kubwa ya malecture udsm no professors and doctors.kubali yaishe chalii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu na wewe ulishafika chuo kikuu?wewe unawaza kudisko pole washauli vizuli wanao apply si tunapafamu vizuli...