24hrs
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,632
- 5,968
una niuliza iko wap na wew jf umefikaje nenda google watakusaidiaiko wapi?
una niuliza iko wap na wew jf umefikaje nenda google watakusaidiaiko wapi?
wanafunzi wote sasa udom lakin yatakayowakuta huko mtabaki mdomo wazi///....
Sasa ndugu afisa masoko collage ndio kitu gani?JE WAJUA?
Je wajua product za udom hukubalika maofisini* field na kazini?
JE WAJUA, UDOM pekee ndo chuo kinachodahili koz nyingi zaidi mwaka huu, kinadahili Coz 80...
Pia Ni chuo kikubwa Afrika Mashariki na Kati na Kusini mwa Jangwa la Sahara...
Ndani ya Chuo kiuu cha Dodoma kuna wizara nane za nchi hii, including... wizara ya Elimu, Utumishi, Mali asili, Sheria, na zinginezo
Je wajua UDOM ni chuo pekee chenye hostel za kutosha wa2 wote kwa miaka yote uwapo chuon? ni kwa sh laki moja na 69 tu...
Je wajua udom inamiak 10 toka kuanzishwa kwake? Na chuo kinachokuja kwa kasi.zaidi Africa!
Je wajua collage za udom ni best in Africa? Like cive, walitengeneza celiot ikashika namba 1 Africa! Cnms wametengeneza kifaa cha kutunzia watoto ambao hawajafika(pre mature) wamegundua species za samaki(miaka 10 ya udom)
Je wajua chuo udom hupata nafasi nyingi za field direct kutoka kwenye institutions?
Je waijua college of business na law?
Je waijua collage of natural and mathematical science coz ya bsc in aquatic science??
Je wajua udom pekee TZ hutoa bachelor of science in mathematics & bachelor of science in statistics pia BIOLOGY ?
Je waijua udom ndio chuo best Tz Mwaka 2017 chenye miaka michache toka kuanzishwa?
Je wajua udom imepata nafasi nying za uteuzi wa viongozi wa nchi? Kama mawaziri, madc, maRc? n.k,
Je wajua udom ndio jicho LA Tz kwa sasa? Kama ilivyikuwa ud zamani,
Je wajua udom huongoza kuwa na library za kisasa! Mfano cive inalibrary Tz nzima ambayo hakuna chuo chenye hiyo library inayofanana?
Je wajua kila collage inalibrary Yake?
Je wajua udom.sr? Ni student records ambazo record zako zote hutunzwa online kama matokeo, taarifa za muhimu uchaguzi wa chuo(udoso election) course evaluation ambapp unamjudge lecture aliyekufundisha hapo n.k
Na hii iliundwa na wanafunzi.
Karibu udom kwa matokeo chanya, njoo upate maarifa yatakayokufanya vizuri katika ajira Tz
Karibu ujenge Historia, na utimize ndo zako hapa UDOM
atakuwa anamaanisha app ya kuedit pic!



Program gani hiyo hawaendi field?UDOM Ndio chuo pekee unachoweza kuhitimu shahada bila kwenda field
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho ni kweli mkuu,nasikia hapo baadhi ya walimu wa college Fulani wanashindana kutoa sup...imenishangaza sana hiyo.ndo chuo kinachoongoza kutoa sup
PSPA
wengi ma lecture wanatuhumiwa kuwataka kilazima wanafunzi aina ya masogange bahati mbaya na ma lecture wenyewe wameathirika shit kaijazeni udomHicho ni kweli mkuu,nasikia hapo baadhi ya walimu wa college Fulani wanashindana kutoa sup...imenishangaza sana hiyo.
HahahahUDOM Ndio chuo pekee unachoweza kuhitimu shahada bila kwenda field
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu link ya kuingia udom tafadhaliJE WAJUA?
Je wajua product za udom hukubalika maofisini* field na kazini?
JE WAJUA, UDOM pekee ndo chuo kinachodahili koz nyingi zaidi mwaka huu, kinadahili Coz 80...
Pia Ni chuo kikubwa Afrika Mashariki na Kati na Kusini mwa Jangwa la Sahara...
Ndani ya Chuo kiuu cha Dodoma kuna wizara nane za nchi hii, including... wizara ya Elimu, Utumishi, Mali asili, Sheria, na zinginezo
Je wajua UDOM ni chuo pekee chenye hostel za kutosha wa2 wote kwa miaka yote uwapo chuon? ni kwa sh laki moja na 69 tu...
Je wajua udom inamiak 10 toka kuanzishwa kwake? Na chuo kinachokuja kwa kasi.zaidi Africa!
Je wajua collage za udom ni best in Africa? Like cive, walitengeneza celiot ikashika namba 1 Africa! Cnms wametengeneza kifaa cha kutunzia watoto ambao hawajafika(pre mature) wamegundua species za samaki(miaka 10 ya udom)
Je wajua chuo udom hupata nafasi nyingi za field direct kutoka kwenye institutions?
Je waijua college of business na law?
Je waijua collage of natural and mathematical science coz ya bsc in aquatic science??
Je wajua udom pekee TZ hutoa bachelor of science in mathematics & bachelor of science in statistics pia BIOLOGY ?
Je waijua udom ndio chuo best Tz Mwaka 2017 chenye miaka michache toka kuanzishwa?
Je wajua udom imepata nafasi nying za uteuzi wa viongozi wa nchi? Kama mawaziri, madc, maRc? n.k,
Je wajua udom ndio jicho LA Tz kwa sasa? Kama ilivyikuwa ud zamani,
Je wajua udom huongoza kuwa na library za kisasa! Mfano cive inalibrary Tz nzima ambayo hakuna chuo chenye hiyo library inayofanana?
Je wajua kila collage inalibrary Yake?
Je wajua udom.sr? Ni student records ambazo record zako zote hutunzwa online kama matokeo, taarifa za muhimu uchaguzi wa chuo(udoso election) course evaluation ambapp unamjudge lecture aliyekufundisha hapo n.k
Na hii iliundwa na wanafunzi.
Karibu udom kwa matokeo chanya, njoo upate maarifa yatakayokufanya vizuri katika ajira Tz
Karibu ujenge Historia, na utimize ndo zako hapa UDOM
mkuu link ya kuapply udom fasta online ni ipi?Wewe ni form 4 failure! ...div 4
visit their website kila kitu kiko pale.mkuu link ya kuapply udom fasta online ni ipi?
http://application.udom.ac.tz/mkuu link ya kuingia udom tafadhali