Zitambue sababu za Kwanini usome UDOM?

Zitambue sababu za Kwanini usome UDOM?

Naona kila mtu anatoa maoni yake kwa hisia na sio ukweli harisi nami pia niseme kidogo mwaka 2010 ndio ilikuwa t.c.u inaanza kufanya kazi moja ya wahanga wa hii kitu ilikuwa ni mimi kwani nilipangiwa kwenda udom kusoma kitu ambacho hata sikihitaji.... sikutaka kuendelea na masoma ila kutokana shinikizo toka nyumbani nililazimika kuendelea....baada ya kumaliza kimbembe cha ajira nacho hiki hapa hapa gpa yangu ni2.9 ajira zikatoka kila mtu aliomba
.... usaili ukafika na mm nikiwemo watu kibao toka vyuo mbali mbali hapa hapa kiluchotokea weka jpa na chuo chako pembeni tujue uelewa wako,watu na vyuo vyao pamoja na gpa za juu chali mimi huyoo kazin kufupisha story hata usome chuo gani uelewa wako ndo silaha yako mhm udom bado sana na changamoto ni nyingi but hata vyuo vingine navyo vinachangamoto zake kikubwa ni kujitambua popote ulipo jina la chuo chako halitakupeleka popote
 
JE WAJUA?

Je wajua product za udom hukubalika maofisini* field na kazini?

JE WAJUA, UDOM pekee ndo chuo kinachodahili koz nyingi zaidi mwaka huu, kinadahili Coz 80...

Pia Ni chuo kikubwa Afrika Mashariki na Kati na Kusini mwa Jangwa la Sahara...

Ndani ya Chuo kiuu cha Dodoma kuna wizara nane za nchi hii, including... wizara ya Elimu, Utumishi, Mali asili, Sheria, na zinginezo

Je wajua UDOM ni chuo pekee chenye hostel za kutosha wa2 wote kwa miaka yote uwapo chuon? ni kwa sh laki moja na 69 tu...

Je wajua udom inamiak 10 toka kuanzishwa kwake? Na chuo kinachokuja kwa kasi.zaidi Africa!

Je wajua collage za udom ni best in Africa? Like cive, walitengeneza celiot ikashika namba 1 Africa! Cnms wametengeneza kifaa cha kutunzia watoto ambao hawajafika(pre mature) wamegundua species za samaki(miaka 10 ya udom)

Je wajua chuo udom hupata nafasi nyingi za field direct kutoka kwenye institutions?

Je waijua college of business na law?

Je waijua collage of natural and mathematical science coz ya bsc in aquatic science??

Je wajua udom pekee TZ hutoa bachelor of science in mathematics & bachelor of science in statistics pia BIOLOGY ?

Je waijua udom ndio chuo best Tz Mwaka 2017 chenye miaka michache toka kuanzishwa?

Je wajua udom imepata nafasi nying za uteuzi wa viongozi wa nchi? Kama mawaziri, madc, maRc? n.k,

Je wajua udom ndio jicho LA Tz kwa sasa? Kama ilivyikuwa ud zamani,

Je wajua udom huongoza kuwa na library za kisasa! Mfano cive inalibrary Tz nzima ambayo hakuna chuo chenye hiyo library inayofanana?

Je wajua kila collage inalibrary Yake?

Je wajua udom.sr? Ni student records ambazo record zako zote hutunzwa online kama matokeo, taarifa za muhimu uchaguzi wa chuo(udoso election) course evaluation ambapp unamjudge lecture aliyekufundisha hapo n.k
Na hii iliundwa na wanafunzi.

Karibu udom kwa matokeo chanya, njoo upate maarifa yatakayokufanya vizuri katika ajira Tz

Karibu ujenge Historia, na utimize ndo zako hapa UDOM
COMPARISON BETWEEN SAMSON AND DAVID????????????
 
Ila udom kwenye ICT pale CIVE wako vizuri tuseme kiukweli.Ingawa mimi ni muhitimu wa SUA ila nimewakubali ktk ICT
 
JE WAJUA?

Je wajua product za udom hukubalika maofisini* field na kazini?

JE WAJUA, UDOM pekee ndo chuo kinachodahili koz nyingi zaidi mwaka huu, kinadahili Coz 80...

Pia Ni chuo kikubwa Afrika Mashariki na Kati na Kusini mwa Jangwa la Sahara...

Ndani ya Chuo kiuu cha Dodoma kuna wizara nane za nchi hii, including... wizara ya Elimu, Utumishi, Mali asili, Sheria, na zinginezo

Je wajua UDOM ni chuo pekee chenye hostel za kutosha wa2 wote kwa miaka yote uwapo chuon? ni kwa sh laki moja na 69 tu...


Je wajua udom inamiak 10 toka kuanzishwa kwake? Na chuo kinachokuja kwa kasi.zaidi Africa!

Je wajua collage za udom ni best in Africa? Like cive, walitengeneza celiot ikashika namba 1 Africa! Cnms wametengeneza kifaa cha kutunzia watoto ambao hawajafika(pre mature) wamegundua species za samaki(miaka 10 ya udom)

Je wajua chuo udom hupata nafasi nyingi za field direct kutoka kwenye institutions?

Je waijua college of business na law?

Je waijua collage of natural and mathematical science coz ya bsc in aquatic science??

Je wajua udom pekee TZ hutoa bachelor of science in mathematics & bachelor of science in statistics pia BIOLOGY ?

Je waijua udom ndio chuo best Tz Mwaka 2017 chenye miaka michache toka kuanzishwa?

Je wajua udom imepata nafasi nying za uteuzi wa viongozi wa nchi? Kama mawaziri, madc, maRc? n.k,

Je wajua udom ndio jicho LA Tz kwa sasa? Kama ilivyikuwa ud zamani,

Je wajua udom huongoza kuwa na library za kisasa! Mfano cive inalibrary Tz nzima ambayo hakuna chuo chenye hiyo library inayofanana?

Je wajua kila collage inalibrary Yake?

Je wajua udom.sr? Ni student records ambazo record zako zote hutunzwa online kama matokeo, taarifa za muhimu uchaguzi wa chuo(udoso election) course evaluation ambapp unamjudge lecture aliyekufundisha hapo n.k
Na hii iliundwa na wanafunzi.

Karibu udom kwa matokeo chanya, njoo upate maarifa yatakayokufanya vizuri katika ajira Tz

Karibu ujenge Historia, na utimize ndo zako hapa UDOM
Karibu udom chuo Cha KATA
 
UDOM-Cive beast.

C*++
Database
Data structure.


………..Bachelors


Software engineering

Multimedia & animation

Telecommunications engineering

Computer science

Computer information security

ICT MCD

Health information system

Business information system

Information system

Computer engineering


Totally BEAST.
 
Back
Top Bottom