Dean
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 636
- 245
Napenda kuona watu wanaojifariji kama hawa.....Ukiwa sehem mbovu lazma ujifunze kujipa moyo mwenyew.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
UnaropokaUDOM Ndio chuo pekee unachoweza kuhitimu shahada bila kwenda field
Sent using Jamii Forums mobile app
na ww chenga kwel, kasome guid book sio kusapot habar za upotoshajibig up mkuu
ni mtazamo wako tu, hatuwez kuupinga
so Unapenda kukaa Gongo la mboto unaibiwaaa kila sikuuu?Umesahau kuwaambia pia UKITOA barabara na miundombinu Bora ya majengo UDOM ni pori lililopo kijijin
Sent using Jamii Forums mobile app
hujafika UDOM, thats why utahis muvi, but stay tuned mwaka huu UDOM imepokea maombi mengi zaid ya udahil kuliko chuo chochote TanzaniaNapenda kuona watu wanaojifariji kama hawa.....Ukiwa sehem mbovu lazma ujifunze kujipa moyo mwenyew.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa nishatambua tatizo lako, kumbe we cant blame you, its your nature, pia nnaweza kutambua unakotokea na kabila pia, due to ur words..... hahahaaahicho ni chuo cha kata na vilazer butu!
nilishasema km nisingesoma ud bora nikae kwanz mtaa kuliko kwenda kusoma kwa vilazer!
Mti wenye matunda hupigwa mawe
ww ulidisco nini, mbna mawazo yako NEGATIVE TUwanafunzi wote sasa udom lakin yatakayowakuta huko mtabaki mdomo wazi///....
typing error
hahahaaaaaa Swal zuri, karibu utanijuaKwa hyo wewe ni nan hapo udom?
sijakuelewa kidogo, ongeza maelezo yakoHivi mtoto JESCA baada ya maksi kutofikia kiwango kizuri alirudia hapo au yuko wapi?
mmh! wee jayleoncy112 kama hujanielewa basi bwana! napenda kucha zangu mie. Yaishe.sijakuelewa kidogo, ongeza maelezo yako
hahahaaaa kijana kuwa makinimmh! wee jayleoncy112 kama hujanielewa basi bwana! napenda kucha zangu mie. Yaishe.
kwanin kispokeee maombi meng wakat ndo chuo chuo hakina competition ma cutoff points ya 4.0 utashindwa??wakat ud cutoff minimum ni 5hujafika UDOM, thats why utahis muvi, but stay tuned mwaka huu UDOM imepokea maombi mengi zaid ya udahil kuliko chuo chochote Tanzania