Zitambue sababu za Kwanini usome UDOM?

usikariri kitabu ata TCU wameonesha hayo ss unataka ulazmishe udom na us view suti dogo hiyo haiwezekan.ndoana rank ya afrika ud na udom vinafanana??wew na hao wanaorank nan eanatumia vigezo zaid??au kwakua ukiangalia majengo yanarang murua unahis ndo pako juu.hamna graduate utakaemlazimisha kuamin hill lako LA udom kukikaribia us kitaaluma.is to she matuitor karibu wote ni product za udsm.habiel luvanda,peter temu in matuitor pale na nimesoma nao BT product kubwa ya malecture udsm no professors and doctors.kubali yaishe chalii

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uandishi huu!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sishangai hizi kelele kwa hawa wanafunzi! Baada ya muda kwenda (husasani mwezi wa tatu nakuendelea) utasikia vijana kutoka hivyo vyuo pendwa wakirudi hapa kuomba ushauri na msaada wa kupata ajira!
Nadhani nyie madogo hamjui kuwa siku hizi jina la chuo halina msaada kwenye kupata ajira huku mtaani!

Sent by Ubavu
 
Daaa nmemaliza mwaka huu sina hamu n chuo kigumu sana watt wa mama msiende walahi huwez ku graduate kama narenare
 
Je wajua Udom kuvaa vimini ni marufuku?

Ni mwendo wa masiketi marefu Kama masista wa St. Francisca.

Je wajua Udom ndio chuo chenye watoto wakaliiiiii wa bara. Hawana mambo ya Ki Dar Dar... Yaani ni full watoto wa kuoa.

Je wajua Udom, ndio chuo Baridiiiiii la upepo... hasa usiku? Kama unatokea Dar uje na Blanket, utanishukuru milele.

Na wale mnao penda kubebishana Udom ndio lenyewe Mchuo mkubwa huo, mnaweza amua mfanye Walking na Baby na chuo msikimalize, Na kuna maeneo kibao we na baby mnaweza kaa mkaongea.

Na kama unapenda watoto wa ki Mozambique karibu Udom. Kila mwaka wanaingia wakutosha kabisa.

Ila kuwa makini watoto wa Mama Salma wengi walipelekwa pale sasa sijui walisha maliza au la.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Udom na udsm..nini mwagombania wakati msoto wa kitaa ni ule ule.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa,

Kuna vitu vijana wengi hatuelewi:

Kila chuo nchini ni bora kulingana na nafasi yake;
Kama vijana lazima tuelewe kua ubora wa elimu yetu utaonekana kwa MSAADA WETU KWA FAMILIA NA JAMII ZETU TUNAMOISHI,
na sio majivuno na maneno yasiyo na maana;
Unakuta mtu anatembea anadunda barabarani kisa kasomea ... afu ukifika kwao, hakuna ata kitu kimoja watakwambia ichi alifanya fulan,
na wengine ndio kabisa ukifika kwao unakuta wazazi wao wanalala chini kisa hawana kitanda.

Vijana wenzangu tujitambue kua, ranking inayofanywa na mashirika inazingatia 9% academic kulingana na kwamba kila chuo kina Curriculum yake,
vigezo vingine ni pamoja na:
search engines
No. of professors etc ambavyo vingine vina uhusiano mkubwa sana na umri wa chuo.
na hata tafiti zinazofanywa ziko biases sana ndio maana hazitumiwi na serikali kwa jambo lolote.

Kiujumla vigezo vinavyotumika, wengi wetu hatuna tulichochangia na hasa undergraduates.

Lakini hata pakiwa na chuo bora zaid ya kingine: ikumbukwe binadamu wote ni sawa,
na kwa kuthibitisha hilo ndio maana ukifika chuo chochote nchini,
utawakuta wanafunzi waliotoka shule bora nchini: St Mary, St peter, & other Sts,
lakini pia utawakuta waliotoka shule za kata.
NA CHA AJABU ZAIDI NI KUA WOTE HAWANA UTOFAUTI.
NA PENGINE WALIOTOKA SHULE ZA KATA WANATOKA NA GPA & COMPETENCE NZURI SANA.

Kiujumla ndugu tufanye bidii katika hali yoyote tuliyopo,
haina maana kwa mwanafunzi kujugamba kua shule yake ni bora kitaifa uku yeye ana div.IV na mwingine shule aliyosoma ni ya mwisho kitaifa lkn yeye ana div.II/I.

Elimu tunayoipata vyuoni itusaidie kuziimarisha familia na jamii zetu. Pia itusaidie kuish vzr na watu sio kuwadharau wenzetu.

VERY SORRY KWA NILIYEMKWAZA.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
elimu popote, swala la ajira ni mtu mwenyewe na jitihada zake.. watu siku hizi hwaajiri kwa kuangalia umesoma chuo gani.. kinacho matter ni uwelewa wa kile ulichokisoma na ni namna gani unaweza kuapply maarifa uliyopata katika kazi unayotegemea kufanya. kukaa kuanza kupigiana tambo chuo gani bora na kipi sio bora ni ukosefu wa maarifa
 
elimu popote, swala la ajira ni mtu mwenyewe na jitihada zake.. watu siku hizi hwaajiri kwa kuangalia umesoma chuo gani.. kinacho matter ni uwelewa wa kile ulichokisoma na ni namna gani unaweza kuapply maarifa uliyopata katika kazi unayotegemea kufanya. kukaa kuanza kupigiana tambo chuo gani bora na kipi sio bora ni ukosefu wa maarifa
Ndioo
 
Back
Top Bottom