Zinaa katika uislamu....

Zinaa katika uislamu....

FAIDA NDOGO
kwenu wapinga ukweli

Allah aliposema
نسائكم حرث لكم،فأتوا حرثكم أنى شئتم
Kuna faida kuu mbili
1)Mola wetu alietukuka,amewafananisha wanawake na mfano wa shamba

Shamba hutoa matunda yenye manufaa kwa wanaadam,na ikiwa shamba halitoe matunda,basi hilo si shamba,bali ni pori/msitu/jangwa

2)Mola akutumie tena neno hili(أنى),kwakuwa Quraan imeshuka kwa lugha ya Kiarabu,Basi tuwaulize wenye lugha maana na matumizi ya neno hili(أنى)
Wasomi wa Lugha wanatoa moja ya maana zake ni كيف au كيفية

Tukiangalia mwanzo wa aya na mwisho wake
Tunafaidika kwa haya
Wake zetu,tunapaswa kuwaendea kwa style tunatoka,muda wa kuwa,sehemu tunayoingia,pawe na matunda na faida
na Mtt ni tunda kwako na faida kwa wote

swali
Sehemu ya nyuma
Kuna weza kweli kuwa na faida,na kututolewa matunda mazuri?!!

au ni uchafu tuu

Kabla ya aya hii
Tazama aya ya juu yake

Allah anasema

( ويسألونك عن المحيض قل هو أذى فاعتزلوا النساء في المحيض ولا تقربوهن حتى يطهرن فإذا تطهرن فأتوهن من حيث أمركم الله إن الله يحب التوابين ويحب المتطهرين ( 222 )
Na wanakuuliza kuhusu Hedhi(mwanamke anapokuwa siku zake)Sema kwa kuwaambia,ni uchafu,na jiepusheni na wanawake wanapokuwa siku zao,na wala msiwakurubie mpaka watakapotakasika,na pindi wakitakasika,basi waendeeni pale mlipoamrishwa na Mola wenu,Hakika ya Allah anawapenda wenye kutubia(kuomba msamaha)na anawapenda wale wenye kujitakasa(na mambo machafu)

Tumeamrishwa tuwaendee wake zetu,pale tulipoamrishwa
na tumeamrishwa,tuwaendee pale panapotoa faida na matunda,
nayo ni sehemu ya mbele ya mwanamke

Na Mtume wetu sala na salamu ziwe juu yake anasema

وهو في صحيح الجامع 5865 بل إن النبي صلى الله عليه وسلم قال : " من أتى حائضا أو امرأة في دبرها أو كاهنا فقد كفر بما أنزل على محمد "
Yeyote mwenye kumuendea mwenye hedhi au mwanamke kinyume na maumbile au akamuendea mpiga ramli(mshirikina)Basi hakika amekufuru yale aliyoteremshiwa Mohammad sala na salamu ziwe juu yake

akasema tena

ملعون من أتى امرأة في دبرها " رواه الإمام أحمد 2/479
amelaaniwa mwenye kumuendea mke wake kinyume na maumbile

Kiujumla

Kufanya kitendo cha kumuendea mkeo kinyume na maumbile,ni tendo la laana na hufaaa kukemewa vibaya sana

Shukran

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama wewe kwa ajili ya DHAMIRA NJEMA Aliyo Kuumbia ndani yako, Muumba wetu unaamini ulicho Andika Ubarikiwe

Nina Shaka yule ambaye allah ameagiza kwamba ni Kigezo chema kwenu ili mkitaka kufuzu mumgeze ona hizi hadith
IMG_20190122_170728_954.jpg
IMG_20180825_125006_331.jpg
IMG_20180825_171214_686.jpg
IMG_20180825_171050_498.jpg
IMG_20180825_123641_955.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chief Mgen

Hizi zote hazina asili katika Vitabu ulivyovinukuu

Nakataa kwa Elimu
na sikatai kwa Ujinga

Ww umecopy na ku paste kwa kujua kuwa ni sahihi Bro
Lau nitakuambia,tafuta Hivyo vitabu,kisha angalia mwenye kama utakuta hizo Hadithi chafu,utakuja na kunikubali

Fahamu ndg Fahamu

Tokea zamani,kuna watu kazi zao ni kutunga Hadithi za Uongo,kwa lengo la kuuchafua Uislam
kisha kwa bahati mbaya
wanatoa na marejeo

lkn
Wasomi wakirejea huko,wanakosa hizo Hadithi
Wakiulizwa walikozipata
wanasema katika Vitabu vyenu
Wakiulizwa tena
Tuleteeni basi hivyo vitabu
Wanabaki kimya na kutoa Povu

Nakupa nafasi muhimu sana Chief
Ubarikiwe

Tafuta hivyo vitabu,kisha angalia kama utakuta huo uvundo
Kama wewe kwa ajili ya DHAMIRA NJEMA Aliyo Kuumbia ndani yako, Muumba wetu unaamini ulicho Andika Ubarikiwe

Nina Shaka yule ambaye allah ameagiza kwamba ni Kigezo chema kwenu ili mkitaka kufuzu mumgeze ona hizi hadith View attachment 1002087View attachment 1002146View attachment 1002155View attachment 1002158View attachment 1002160

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nami sikuandika tu hicho nilichokiandika ila nimenukuu maneno matukufu ya ALLAH
Katika surat Najim aya ya 3 na 4.

وَمَا يَنْطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ
3.Wala hatamki kwa matamanio

إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ

Hayakuwa (matamanio) ila wahyi (ufunuo) uliofunuliwa.

Umeniita muongo, sasa kama Wewe ni Mkweli naomba dalili.

Aliwahi hukumia kwa nafsi yake . Kama kuharamisha kilicho halali kwa kutafuta radhi ya wake zake. Kwanini
 
Acha kujitoa ufahamu basi unaambiwa ruksa imetoka kwa Mungu mwenyewe hakuna zinaa hapo, Ibrahim alipewa ruksa na mkewe akamtafuna kijakazi wake na Mungu akatulia tuli tena ameridhika na jina la mtoto likatoka kwa malaika wa bwana, iweje ruksa ya Mungu sisi waislamu kula vijakazi wetu wa vita wewe utoke povu
Waukaye ni heri ungenifundisha kwa kuniwekea Ushahidi kwamba Abram alipata wahyi toka kwa Mungu kwamba ampge mjengo house girl wake lakini ushauri umetoka kwa mkewe bi Sarah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgen ndg yangu

Kuna siku
Uliwahi kuleta Hadithi ya Anas
Kwamba Mola wetu anasema
HAKIKA YA ALLAH NDIO SHETANI

Ukatoa marejeo katika Kitabu cha Umdatul Al Ahkaam

Lkn
Nilikupa nafasi
Soma Kitabu hicho mwanzo mpaka mwisho
Kisha
Leteni sehemu ilipo Hadithi hiyo mnayoikusudia

Mbaya zaidi

Niliwahi kumuona Mchungaji,akiwahutubia waumini wa Kanisa lake

Kisha
akawa anatoa aya ndani ya Quraan,kwa kuisoma kwa Kiarabu kbs

lkn cha kuchekesha

Hayo anayoyasom
Hayapo ndani ya Quraan wala sehemu yoyote ile katika Vitabu
Na waumini wake,anampigia makofi!!!!!

wakishangilia kwa nguvu

Nilijiuliza maswali mengi tu

HIVI!!!UONGO HUU MPAKA LINI?
HIVI!!!HAWA WATU AMBAO LEO WANAPIGA MAKOFI,SIKU WAKIJUA KUWA MCHUNGAJI WAO ALIKUWA ANAWADANGANYA,KWELI WATAENDELEA KUMUAMINI?!!!!


Narudi tena kwenu nyie Wakristo

Uongo huangamiza,na haachi kuwa mtu muongo na mwenye kujipamba na uongo,isipokuwa Mola,humuandika kuwa yeye ni Muongo

Unathubutu vipi wewe kuhubiri neno la Bwana,kwa kutumia UONGO?!

Hv!!!Baraka za Mola utazipataje?!!!

Siku zetu,zinahesabika sana hapa Dunia,usifikiri kuwa utadanganya milele!!!

Ipo siku utatapita,mbele ya yule aliekuumba

NJIA YA MUONGO NI FUPI SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgeni Baba

Hizo nukuu za Hadithi kutoka katika Vitabu
Je!unaweza kutuhakikishia,kutuma picha halisi tu ya hizo Hadithi(Piga picha ukurusa mzima wa Kitabu,chenye hadithi moja baada ya nyengine)

ni ombi tu kwako My Big Brother
samahani kwa usumbufu Mkuu
Kama wewe kwa ajili ya DHAMIRA NJEMA Aliyo Kuumbia ndani yako, Muumba wetu unaamini ulicho Andika Ubarikiwe

Nina Shaka yule ambaye allah ameagiza kwamba ni Kigezo chema kwenu ili mkitaka kufuzu mumgeze ona hizi hadith View attachment 1002087View attachment 1002146View attachment 1002155View attachment 1002158View attachment 1002160

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtafuta Haki
Huwa hachoki hata siku moja

Vitabu leo vipo vingi sana madukani kwa Lugha mbalimbali

Nunua Vitabu,na wala usitegemee mitandao
Nunua Vitabu,kisha kaa chini na usome
Unapopewa jambo,kwa mtu timamu na mwenye akili ya sawa,hutafuta usahihi wake kwanza,kisha husema,huku akiwa ni mwenye kujiamini

Na tufahamu
Hakuna mkamilifu katika sisi Wanaadam
tunakosea sana,
Muhimu ni kukubali mafunzo kutoka kwa mwenzako,Bila kubagua rangi au taifa ua Dini
Muda wa kuwa ni Elimu

Ndio maana tuliamrishwa kusoma na kuitafuta Elimu

TATIZO LETU Wengi wetu,tupo katika Ubishani na si Kufundisha
Tunapenda ushindi
na hatundi kuongoza mtu kwa kumtoa gizani na kumpeleka katika Nuru

Ndio maana
tunatumia maneno ya kashfa dhidi yetu sisi kwa sisi

Sijui wapi tunaelekea?!!!

Jambo la Dini
Husimamiwa na watu wazima wenye busara na elimu
Elimu ikisimamiwa na Vijana wasiokuwa na busara hata kama wana Elimu,Basi hatari ipo mbele

mbaya zaidi
Elimu ikisimamiwa na vijana wasio na Elimu,Basi ni Bora ya kifo kuliko kuishi katika Jamii hiyo

WANA WA JF
wengi hatuna Elimu
Wengi hatuna Busara

Mvuragano kwetu ndio starehe

Naomba tujirekebisheni,ikiwa tunataka kufaulu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si ndio maana nikakwambia kuwa kuna ile picha Mungu wako kapakatwa na ile nyingine kavishwa kakaptula kama askari wa kijerumani

Lakini Masudi hapo cha ajabu nini wakati Hata Allah amebainisha
IMG_20190122_200601_526.jpg
halafu rejea adha aliyo fanyiwa Mtume na makureshi kule Taifu unaambiwa adhabu zoote alipewa Mtume na nyingine tuona fedheha kuzitaja baada ya hapo akakusanya nguo zake akakimbia..rejea kitabu maisha ya Nabii Muhammad uk.24 mtunzi qadi shehe Abdalla Salehe farsi huoni ya Yesu ni madogo wee mkubwa Masudi bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakristo wanatuonea wivu sana sisi kupewa feva ya ugegedaji na bado pepon yaan uislam raha sana..tena nyie mlitakiwa msituingilie maana Yesu hakugegeda nyie mnafuata nani. Tuachieni wanawake wote ni kwaajili yetu
 
Ahahahahaaaahahhahhaaha kadanganye watoto wenzako , humu vitu vya kuokota sio mahali pake, halafu uwa unaleta hadithi za uongo ili upate kitu gani , lakini sishangai kama Mungu wako ndio huyu aliesemwa mpumbavu na DHAIFU , wewe sio kosa lako

WAKORINTHO wa kwanza 1:25
"Kwa sababu UPUMBAVU wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu, na UDHAIFU wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu",

Ahahahahaaaahahhahhaaha unaleta hadithi azina chanzo sijui abdullah bin nani ata chanzo cha uongo pia umekosa, unakuja na tafsiri zako unaita hadithi , hapa ni kitabu na namba ya hadithi , wala sio tafsiri zako
Sawa na hapa umepatia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
N
Jambo la pili ulipo nipa utata
ni ndoa ya Mut-a

Kwa nilivyokuelewa mimi(unahaki ya kunisahihisha Bro)
Mut-a kwa upande wako ni HALALI?!

Sent using Jamii Forums mobile app
naomba ufafanuzi katika kauli yako hii Chief

Kwamba Mtume,aliwaacha Maswahaba wakiwa katika makundi 2
1)Ansaar
2)Muhaajiriin

Na hakusema kuwa kundi hili ni la motoni

Kwa mantiki yako Bro
Haifai kusema watu fulani wamepotea au nimekuelewa vibaya Braza kaka?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hujui au unaleta istizai...inshallah kama hufaham basi ilikua hivyo...kipindi mtume amehamia madina na kusimamisha dola la kiislam kulikua na hayo makundi mawili.1 ni muhajirina.waliohama na mtume kutoka makka.2 ni Answari waliowanusuru watu kutoka makka.makundi haya yalijihidhirisha wazi baada ya kufariki mtume...maana muhajirina walijinasibisha hakuna answar hata mmoja mwenye haki ya kua khalifa.walisema haki hio ipo kwa muhajirina tena kureshiyu na kwa ban hashim...
2;ndoa ya mutah ni kama dufu...khitlafu ni nyingi...inategemea wewe umeipokea ktk mapokeo ya upande upi.kwa sbb hata ibn Abas kuna hadithi nyingi tu zinazoonyesha alikua anaruhusu kua ni halali.mpaka kipindi cha Omary ambae aliipiga marufuku baada ya kupata habar kua mmoja kati ya mabint wa ndugu yake aliolewa kwa ndoa hio.
Kwa mtazamo wangu km unavyotaka nikujibu ni kua ; uhalali wake ni kama alivyoruhusu mtume wa allah...inajuzu kuitumia mkiwa vitan kwa masiku yasiozidi matano km alivyoelekeza mtume wa allah..ama ukharam wake ni pale tu MTU upo tu na wala haupo vitan..ashki zikakupanda unaamua kuitumia ruksa isio kuh usu...utakua unafanya zinaa.
naomba ufafanuzi katika kauli yako hii Chief

Kwamba Mtume,aliwaacha Maswahaba wakiwa katika makundi 2
1)Ansaar
2)Muhaajiriin

Na hakusema kuwa kundi hili ni la motoni

Kwa mantiki yako Bro
Haifai kusema watu fulani wamepotea au nimekuelewa vibaya Braza kaka?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
N


Kweli hujui au unaleta istizai...inshallah kama hufaham basi ilikua hivyo...kipindi mtume amehamia madina na kusimamisha dola la kiislam kulikua na hayo makundi mawili.1 ni muhajirina.waliohama na mtume kutoka makka.2 ni Answari waliowanusuru watu kutoka makka.makundi haya yalijihidhirisha wazi baada ya kufariki mtume...maana muhajirina walijinasibisha hakuna answar hata mmoja mwenye haki ya kua khalifa.walisema haki hio ipo kwa muhajirina tena kureshiyu na kwa ban hashim...
2;ndoa ya mutah ni kama dufu...khitlafu ni nyingi...inategemea wewe umeipokea ktk mapokeo ya upande upi.kwa sbb hata ibn Abas kuna hadithi nyingi tu zinazoonyesha alikua anaruhusu kua ni halali.mpaka kipindi cha Omary ambae aliipiga marufuku baada ya kupata habar kua mmoja kati ya mabint wa ndugu yake aliolewa kwa ndoa hio.
Kwa mtazamo wangu km unavyotaka nikujibu ni kua ; uhalali wake ni kama alivyoruhusu mtume wa allah...inajuzu kuitumia mkiwa vitan kwa masiku yasiozidi matano km alivyoelekeza mtume wa allah..ama ukharam wake ni pale tu MTU upo tu na wala haupo vitan..ashki zikakupanda unaamua kuitumia ruksa isio kuh usu...utakua unafanya zinaa.
mm

Kuhusu kutamka mtu fulan au dhehebu fulan si katika waislam na unafaham anatamka shahada haifai..na nimiongoni mwa kujikufurisha wewe mwenyewe...kwasbb wewe hujui khatma yake wala pia huijui khatma yako.
Yajuzu kutamka hivyo kwa Mayahudi.Manaswara na Mushrikuun.kwa sbb quran imeshahukum juu yao.
 
Shukran Mkuu
Kadhalika,nitakuwa mchache wa adabu kwa kukufanyia Istihzaai

naomba nirudi kwako Mkuu

Nukta mbili,huenda mm sijazielewa au ww hujazielewa

1)NUKTA YA KWANZA
NDOA YA MUT-A,ILIHALALISHWA MWANZO,KISHA IKAHARAMISHWA MOJA KWA MOJA
wala hakuna ruhusa ya aina yoyote iliyotoka kwa Mtume wa Allah ﷺ kuwa inafaa kipindi fulani na haifai kipindi Fulani,
Kwasababu mpaka Mtume ﷺ anafariki,alikuwa ni mwenye kulikataza
Kisha umekuja na Hoja ya Ibn Abbas,Swahaba huyu Ibn Abbas Allah amridhie,Mpaka mwisho wa uhai wake,hakulalisha ndoa ya Mut-a,Bali kuna mapokezi yalikuja na kuashiria Ibn Abbas anajuzisha,mwisho yakaja mapokeza mengine mengi ya halali,ya kukataza Ibn Abbas ndoa hiyo

Labda swali dogo tu

Je!kauli ya Swahaba,ni Hoja kisheria au si Hoja,katika upande wa Ahkaam?!

Hili nalo latakiwa kuangaliwa kwa jicho yakinifu

MWISHO
nakupa ruhusa Mkuu,ya kunifunza haya,kwa kuwa mm bado mwanafunzi mdogo sana,
naomba ushuke jambo hili kwa Hoja Madhubuti
Nataraji faida kutoka kwako in sha Allah

شكرا وبارك الله فيك
N


Kweli hujui au unaleta istizai...inshallah kama hufaham basi ilikua hivyo...kipindi mtume amehamia madina na kusimamisha dola la kiislam kulikua na hayo makundi mawili.1 ni muhajirina.waliohama na mtume kutoka makka.2 ni Answari waliowanusuru watu kutoka makka.makundi haya yalijihidhirisha wazi baada ya kufariki mtume...maana muhajirina walijinasibisha hakuna answar hata mmoja mwenye haki ya kua khalifa.walisema haki hio ipo kwa muhajirina tena kureshiyu na kwa ban hashim...
2;ndoa ya mutah ni kama dufu...khitlafu ni nyingi...inategemea wewe umeipokea ktk mapokeo ya upande upi.kwa sbb hata ibn Abas kuna hadithi nyingi tu zinazoonyesha alikua anaruhusu kua ni halali.mpaka kipindi cha Omary ambae aliipiga marufuku baada ya kupata habar kua mmoja kati ya mabint wa ndugu yake aliolewa kwa ndoa hio.
Kwa mtazamo wangu km unavyotaka nikujibu ni kua ; uhalali wake ni kama alivyoruhusu mtume wa allah...inajuzu kuitumia mkiwa vitan kwa masiku yasiozidi matano km alivyoelekeza mtume wa allah..ama ukharam wake ni pale tu MTU upo tu na wala haupo vitan..ashki zikakupanda unaamua kuitumia ruksa isio kuh usu...utakua unafanya zinaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili nalo

napenda unifunze

Ahli Sunna Wal Jamaa
Wana misingi yao kisheria
Moja wa misingi
Ni kutokumfurisha mtu fulani,isipokuwa kwa Hoja

moja ya misingi
Haifai kumuhukumu moto mtu,isipokuwa wale ambao zimekuja Hoja za wazi dhidi yao,
mfano
Fir-aun au Qaarun au Abuu Jahl nk

LKN
Makundi mapotovu na Fikra chafu,zipo kwa watu,muda wa kuwa Watu bado wanaishi
Kumnyooshea kidole fulani,kuwa ni muovu wa kiitikadi(mfano wa Mashia) baada ya kumpa nasaha na kutoa ubainifu wake,au kuwatahadharisha watu na Fikra fulani au kundi fulani ovu(Kama ISIS au AL-SHABAAB au MASHIA nk)ni jambo lenye kufaa na kujuzu kisheria,na kama Wanachuoni wataukalia uovu huo Kimya bila ya kuwatahadharisha Jamii,Basi dhimma mbele ya Allah mwenye nguvu na Hekima,wataibeba wao

Katika hili pia

Naomba unufunze Bro,ikiwa nimekosea tena

Shukran
Allah akubaarik sana popote ulipo
mm

Kuhusu kutamka mtu fulan au dhehebu fulan si katika waislam na unafaham anatamka shahada haifai..na nimiongoni mwa kujikufurisha wewe mwenyewe...kwasbb wewe hujui khatma yake wala pia huijui khatma yako.
Yajuzu kutamka hivyo kwa Mayahudi.Manaswara na Mushrikuun.kwa sbb quran imeshahukum juu yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtafuta Haki
Huwa hachoki hata siku moja

Vitabu leo vipo vingi sana madukani kwa Lugha mbalimbali

Nunua Vitabu,na wala usitegemee mitandao
Nunua Vitabu,kisha kaa chini na usome
Unapopewa jambo,kwa mtu timamu na mwenye akili ya sawa,hutafuta usahihi wake kwanza,kisha husema,huku akiwa ni mwenye kujiamini

Na tufahamu
Hakuna mkamilifu katika sisi Wanaadam
tunakosea sana,
Muhimu ni kukubali mafunzo kutoka kwa mwenzako,Bila kubagua rangi au taifa ua Dini
Muda wa kuwa ni Elimu

Ndio maana tuliamrishwa kusoma na kuitafuta Elimu

TATIZO LETU Wengi wetu,tupo katika Ubishani na si Kufundisha
Tunapenda ushindi
na hatundi kuongoza mtu kwa kumtoa gizani na kumpeleka katika Nuru

Ndio maana
tunatumia maneno ya kashfa dhidi yetu sisi kwa sisi

Sijui wapi tunaelekea?!!!

Jambo la Dini
Husimamiwa na watu wazima wenye busara na elimu
Elimu ikisimamiwa na Vijana wasiokuwa na busara hata kama wana Elimu,Basi hatari ipo mbele

mbaya zaidi
Elimu ikisimamiwa na vijana wasio na Elimu,Basi ni Bora ya kifo kuliko kuishi katika Jamii hiyo

WANA WA JF
wengi hatuna Elimu
Wengi hatuna Busara

Mvuragano kwetu ndio starehe

Naomba tujirekebisheni,ikiwa tunataka kufaulu

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu nashukuru kwa Andiko lako Naomba Tuanzie hizi ayat za Quran
IMG_20190122_191743_621.jpg
IMG_20190123_101749_906.jpg

Kabla sijakuuliza ili nipate ilimu ziko sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom