masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Wewe unakula nguruwe kwa amri gani ikiwa Mungu alimkataza Musa ?Halija pita hadi Leo alio waagiza hawali wala kugusa mzoga wakeView attachment 1001209
View attachment 1001211 ila kuna kiumbe alimbishia Mungu na karuhusu nyama ya nguruwe iliwe mpaka mzoga
Sent using Jamii Forums mobile app

jee hawa UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI WAKE ZAKO