Zinaa katika uislamu....

Zinaa katika uislamu....

Ndipo nikauliza wake zako ruksa kuwaingilia jee hawa UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI WAKE ZAKO mbona hamnijibu walimu

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Hiyo habari ya mkono wa kuume siielewi, pengine ni tafsida imetumika hapo ila sababu sijaiongea mimi bas siwezi kuijibia
 
malizia ayat ukishindwa kuoa mmoja basi fanya basi uwaingilie wale UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME={vibubu)

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Aya umeweka wewe niimalizie mimi? Tuwekee hapa mwanzo wake mpaka mwisho wake ndio tuiajadili kwa haki, usi edit chochote.
 
Allah ameiangamiza sodoma halafu tena leo awe ameruhusu jambo alilowaangamiza watu !! acha kupaniki kijana

Ndio sababu ALLAH SIE KABISA huyu allah aliye ruhusu
IMG_20190121_175234_338.jpg
hebu soma na hii
IMG_20190121_175641_189.jpg
asante masudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo anamaanisha mafundisho anayoyatoa ni ujumbe tosha kuwa yeye ametoka kwa Mungu , wewe unaleta ujanja ujanja
MARKO 10:18
"; Yesu akamwambia, kwa nini kuniita mwema? hakuna aliye mwema ila mmoja ,ndiye Mungu";

sasa kama Yesu anasema yeye sio mwema , na anakiri kuwa Mungu pekee ndio mwema hauoni aibu kuokoteza
Kwa akili za kisilamu umepatia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo aya mbona iko sawa, sasa kama picha zinafungua watu si ni kweli kuna picha kibao za Yesu akiwa kavaa kikaptula au vinguo vya watoto, nyingine kavaa sijui ni taulo pale msalabani, hizi picha ajachora muislamu hivyo , kwa vile mmechora wenyewe maana yake mnazipenda, mimi nimekukumbusha unachopenda kuona na kuchora
Kumbe unajua Ninacho penda unasita sita nini kutumia nikipendacho kunivuta kwako una hiana masudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! We jamaa unachekesha kweli! Hivi nilivyokuambia tafsiri wewe umeelewaje?!
Hivi wewe unaposoma Bible unatumia Kihebrania au tafsiri?! Anyway, aya yenyewe ni hii hapa:

وَالْمُحْصَنَاتُ مِنَ النِّسَاءِ إِلَّا مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُكُمْ ۖ كِتَابَ اللَّهِ عَلَيْكُمْ ۚ وَأُحِلَّ لَكُمْ مَا وَرَاءَ ذَٰلِكُمْ أَنْ تَبْتَغُوا بِأَمْوَالِكُمْ مُحْصِنِينَ غَيْرَ مُسَافِحِينَ ۚ فَمَا اسْتَمْتَعْتُمْ بِهِ مِنْهُنَّ فَآتُوهُنَّ أُجُورَهُنَّ فَرِيضَةً ۚ وَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ فِيمَا تَرَاضَيْتُمْ بِهِ مِنْ بَعْدِ الْفَرِيضَةِ ۚ إِنَّ اللَّهَ كَانَ عَلِيمًا حَكِيمًا

Haya, zamu yako sasa...

Nadhani uumeamua kuniambia kuwa huna aya inayokanusha nilichokiandika. Siku hizi kuna translation tools nyingi tu (nimekuambia kutojua Kiarabu siku hiz sio shida tena). English translation ya hicho ulichokileta ni hii:

And protections of women, except that what is in your possession is the Book of Allah upon you, and I will make it lawful for you beyond that, that you may seek your wealth, fortified, not traveling, which ye have enjoyed.

Sasa hebu linganisha na hizo tafsiri ulizoleta, kuna uhusiano gani na aya hii??
 
Back
Top Bottom