We jamaa nimgeundua ni mgumu wa kuelewa kuliko unavyojijua! Aya zote na tangu siku ya awali nimekupatia aya zinazotaja ni mwanamke gani unawea kuoa na kwa namna ipi na yupi huwezi kuoa! Sasa wewe unataka aya za kukanusha nini? Wewe ukadai kwamba Quran 4:24 inasema:Nadhani uumeamua kuniambia kuwa huna aya inayokanusha nilichokiandika. Siku hizi kuna translation tools nyingi tu (nimekuambia kutojua Kiarabu siku hiz sio shida tena). English translation ya hicho ulichokileta ni hii:
And protections of women, except that what is in your possession is the Book of Allah upon you, and I will make it lawful for you beyond that, that you may seek your wealth, fortified, not traveling, which ye have enjoyed.
Sasa hebu linganisha na hizo tafsiri ulizoleta, kuna uhusiano gani na aya hii??
With confidence, nimekuambia mara kadhaa hapa kwamba WEWE NI MUONGO NA UNAPUMUA UONGO tofauti na Jehova unayedai unamfuata, na nimekutaka kama sio MUONGO, basi weka hapa FULL verse ya hiyo Aya uliyosema ni ya Quran! Hoja yangu mimi na wewe ndo hiyo... nimekuambia uniwekee haya na sio mwanadamu gani kasema nini kwenye blog gani!!Hii hapa;
'So those of them [women] whom you enjoy, give to them their appointed wages' (4:24).
NARUDIA, weka hapa hiyo Aya vinginevyo, SHUHUDIA MBELE YA YULE UNAYEMUAMINI ULIPOTOKA NA KUSEMA UONGO kisha ungama!
For what I know, umeshindwa kujibu swali langu na unachofanya ni kupoteza muda wangu! But again, kaungame kanisani kwa kusema uongo kwa sababu nikukumbushe tu kwamba, kitabu unachokiamini kupitia Mithali 12-15 kinasema:
Ndugu, acha kuwa muongo, na kwavile tangia majuzi umekuwa ukipumua uongo kwenye suala hili, basi kaungame ili Alfa na Omega akufungulie milango ya kuingia kwenye jiji lake vinginevyo utabaki nje ukiwa pamoja na wale walio na mazoea ya kuwasiliana na roho, waasherati, wauaji, pamoja na waabudu-sanamu!Tazama! Ninakuja upesi, nikiwa na thawabu ninayotoa, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake. Mimi ndiye Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho. Wenye furaha ni wale wanaofua kanzu zao, ili wawe na mamlaka ya kwenda kwenye miti ya uzima na waweze kuingia katika jiji kupitia malango yake. Nje kuna mbwa na wale walio na mazoea ya kuwasiliana na roho, waasherati,* wauaji, waabudu-sanamu, na kila mtu anayependa uwongo na aliye na mazoea ya kusema uwongo.

unasita sita nini kutumia nikipendacho kunivuta kwako
una hiana masudi
lengo langu ni kuelewa na nikikuelewa nitakuwa na juhudi kuliko wewe